Kikosi Changu cha VPL ni Hiki, Je Mwenzangu Chako ni Kipi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kikosi Changu Cha Timu Ya Wachezaji Wangu Bora Wa Ligi Kuu au Vodacom Ni Hiki Kifuatacho :


  1. Ivo Mapunda
  2. Ramazan Kessy
  3. Mohamed Hussein
  4. Hassan Isihaka
  5. Juurko Murshid
  6. Jonas Mkude
  7. Awadh Juma
  8. Said Ndemla
  9. Ibrahim Hajibu
  10. Emanuel Okwi
  11. Ramazan Singano

Wakaa Benchi Ni :


  1. Ally Mustapha
  2. Oscar Joshua
  3. Mbuyu Twite
  4. Haruna Niyonzima
  5. Salum Telela
  6. Amis Tambwe

Kocha Wao Atakuwa Ni Kopunovic.

Hiko Ndiyo Kikosi Bora Cha Ligi Kuu Ya Vodacom Ya Msimu Wa 2014 / 2015. Je Na Wewe Mwana JF Kikosi Chako Ni Kipi? Tiririkeni Wadau.
 
Wewe utakuwa simba wewe,
Kikosi bora msimu huu ni timu yote ya yanga na kocha wao ni wa yanga babu.
 
sasa hiko kikosi bora cha ligi kuu au kikosi bora cha simba?...siku nyingine tumia kichwa kufikiria sio kufugia nyweli nyingi kisa umeambiwa akili ni nywele
 
binafsi sijui lakini soma hapa chini gazeti la Mwananchi lilivyoripoti.....


 
Kikosi bora kinashika nafasi ya kwanza na siyo ya tatu.
 
binafsi sijui lakini soma hapa chini gazeti la Mwananchi lilivyoripoti.....

Kwahiyo Gazeti La Mwananchi Wakikuambia Ule MIKIMBA Yako Utakula? Wewe Umeshindwa Kufanya UTAFITI Wako Kisha Uje Na Kikosi Chako Bora Cha VPL? Na Kwa Taarifa Yako Tu Hicho Kikosi Changu Kimepitishwa Hata Na Kocha Pep Guardiola Mara Baada Ya Kupelekewa DVD's Zote Za Mechi Za Ligi Kuu Ya Tanzania Na Sijui Ni Kwa Bahati Mbaya au Nzuri Guardiola Akajikuta ANAKICHAGUA Hicho Kikosi Nilichokiweka Hadharani Ambacho Kimejaa Wachezaji Tupu Ya Simba.Labda Alidhani Ni Barcelona!
 

taratibu basi kaka, tumia lugha nyepesi. hayo siyo maoni ya gazeti la Mwananchi bali ameratibu maoni ya wadau wa soka, wakiwemo akina "Guardiola" wa Tanzania.

para 3 ya article hiyo inasema.....


Simba jipangeni kwa msimu ujao.....timu yenu si mbaya kivile. mnahitaji stability kwenye leadership yenu tu.....that's all.
 

Huyo kocha ana majanga yake ya kupindua matokeo ya 3-0, atakuwa na muda wa kuangalia mi-DVD ya ligi 'nchanga' yetu?
 
nafikiri kikosi bora nikilekilichotajwa na cannavaro ingawa sikubaliane naye na kumwacha okwi nje wengi wanataja vikosi wakisukumwa na ushabiki
 
Bange mbaya.....
 
Mtoa post lazima atakuwa Geofrey Nyange Kaburu a.k.a Mzee wa kadi 3.
 
simba ni timu ya kwanza inayoongoza kwa kuwa na mitindo mingi ya kujifariji hongereni kwa hilo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…