nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
manula,zana,hussein,juuko,wawa,nyoni,kotei,muzamiru,kagere,boko,okwi.
nyoni atakuwa anasaidia upande wa kushoto kukaba,kotei kulia, muzamiru naye ana uwezo wa kukaba na kupiga pass,maana inabidi ku defend pia,tukienda na plan ya kuwaweka niyonzima na chama na kucheza gemu la kufunguka walahi tutakula goli nane sifuri
nyoni atakuwa anasaidia upande wa kushoto kukaba,kotei kulia, muzamiru naye ana uwezo wa kukaba na kupiga pass,maana inabidi ku defend pia,tukienda na plan ya kuwaweka niyonzima na chama na kucheza gemu la kufunguka walahi tutakula goli nane sifuri