Kikosi kazi cha simba kilichopaa kwenda Zambia

Tuwe wazalendo bila kujali unazi tuisapoti Simba
Naiona Simba ikicheza fainali ya klabu bingwa mwaka huu
Ujue hata ukifuatilia post zangu za nyuma nilikuwa natoa sapoti sana kwa hawa jamaa wanapocheza kimataifa ila nikajua gundu hata uwashangilie vipi wakishinda utapata tabu sana. Niko tayari kuwa mzalendo kwenye mambo mengine ila kwa Mikia Fc uzalendo umenishinda. Ila hapo nilipobold nimecheka sana.
 
Usijitese mkuu mnyama ni kama maji usipoyaoga utakunywa kupitia kupitia drip[emoji28][emoji28]
 
Karibuni sana Nkana FC stadium [emoji909]. Uwanja una kipara kidogo hivyo ukidunda Manula awe makini. Sababu za kule Nangwanda stadium hatutaki.
Ila hapa mkishinda sana ni sare, sioni dalili ya Mkia kushinda, labda second leg
 
Ukiangalia picha za mapokezi airport Zambia, Kwasi naye yumo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…