Kikosi kazi:matokeo ya wizara ya afya

Kikosi kazi:matokeo ya wizara ya afya

Kumfuata wizarani mtakuwa mnadanganyana...nyie tumieni mtandao,mfateni kwenye wall yake facebook mkaichafue kwa kumshinikiza lazima atastuka...au muende kwenye blog yake kama anayo muivamie tena kwa nguvu zote..then kesho mtaniambia!
 
Wizara ya mtoto wa 2nd presida ndo hyo,uwezo hana lkn anabebwa na koti ya 2nd presida! Kama vp tafuten mahali mkutane na vyombo vya habar mfunguke may be itawaamusha kutoka waliko lala,poleni wapendwa

Kaka, umenena hawa wadogo zt wasivyofanya hvyo watazd kukaa nyumban.
 
Kumfuata wizarani mtakuwa mnadanganyana...nyie tumieni mtandao,mfateni kwenye wall yake facebook mkaichafue kwa kumshinikiza lazima atastuka...au muende kwenye blog yake kama anayo muivamie tena kwa nguvu zote..then kesho mtaniambia!

Km una blog yk ni2mie. Nimfundshe kaz.
 
kuna jamaa wa songea anasema yamebandkwa chuon kwao ila kanda ile c yangu,mimi kesho mchana nafika cedha nijue ya kanda hii
 
inabid yanabandikwa vyuon tu?? Tuliopo mbali na vyuo tutayapataje??
 
Nami nimepata taarifa hizo za matokeo ya wizara ya afya kubandikwa kwa kila kanda husika.
MPAKA SASA MBONA NI MIKOA MI3 TU YAMEBANDIKWA!?
 
Wadogo zangu tatizo kubwa ni waziri ameshakabiziwa sasa nijukumu lake kutangaza hili watu watoe Ila ndio hivyo viongozi wetu.mm natamani hata sasa yatoke Ila ndio hivyo mpaka waziri aseme.kiukweli hakuna wazir mzembe kama mwinyi.

dada mbona kimya hamna updates zozote naomba bc unijulishe kupitia email yangu younglove152@gmail.com
 
unauhakika icjeikawa maneno ya kwenye kahawa kweni matangazo walitoa wapi kama sio kwenye web acheni hizo

Nikudanganye kwa lp kwan kwny form wizara waliandika majina watayatoa ktk shm zp? Km unazijua nakuomba urud tena hapa. Mie nimepgwa cmu na m2 wa mtwara, na Mwanza kuwa yko tayar lakn kigoma kuna jamaa yng kaambiwa.
 
Mliopo kigoma,Songea na mwanza ni vp heb tupen uhakika et wametoa kwenu huko jaman? .WA KANDA YA MBEYA N VIP MBONA HATUZUNGUMZI TUJULISHEN MLIOPO HAPO MBEYA.
 
Dah wadau Dodoma lini au yameshabandikwa so tired.
 
Back
Top Bottom