Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Wanacheza na njumu ..wanakazaje buti Sasa ....wafungwe tu....mhindi apasukeWachezaji wakaze buti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanacheza na njumu ..wanakazaje buti Sasa ....wafungwe tu....mhindi apasukeWachezaji wakaze buti
Asilimia ni chache mnoo, mie natoa 5 za ushindi kwetu, 25 droo na 70 ni kipigo.Tunaweza kushinda
Mawazo ya mwalimukutokana na kuangalia wachezaji waliotwa KIKOSI kikianza ivi kitamshangaza mkongo
1. YONA AMOS - anajiamini japo Kuna goal mechi na Yanga kama aliamua tu kujishushia heshima
2. LUSAJO MWAIKENDA- No comments✓
3. MOHAMED HUSEIN -
4. IBRAHIM BACCA -japo h uyu jamaa simkubali I bet Leo atachomesha
5. DICKSON JOB- ✓
6. ALDORLF MTASINGWA - Asisitwezwe ubongo wake kuwa sharp Huwa ana delay Kuna mda
7. NASSOR SAADUN - yupo vizuri haogopi ni giat na fighter
8. MUDATHIR YAHYA -✓
9. BWANNA SAMATA✓
10. FEISAL SALUM TOTO - [emoji91]
11. KIBU DENIS PROSPER
Napenda kuuliza hivi mbona sijawahi kuona FEITOTO ata akipiga story na MUDATHIR YAHYA. waga Wana ugomvi hau?
Kipo sawa, labda kwa saduni apo daah, bado hajqpqta uzoefu wa mechi kubwa kama hizzi.Mawazo ya mwalimu
Wawili tu ndiyo kocha kabadirisha na nilivyopangakutokana na kuangalia wachezaji waliotwa KIKOSI kikianza ivi kitamshangaza mkongo
1. YONA AMOS - anajiamini japo Kuna goal mechi na Yanga kama aliamua tu kujishushia heshima
2. LUSAJO MWAIKENDA- No comments✓
3. MOHAMED HUSEIN -
4. IBRAHIM BACCA -japo h uyu jamaa simkubali I bet Leo atachomesha
5. DICKSON JOB- ✓
6. ALDORLF MTASINGWA - Asisitwezwe ubongo wake kuwa sharp Huwa ana delay Kuna mda
7. NASSOR SAADUN - yupo vizuri haogopi ni giat na fighter
8. MUDATHIR YAHYA -✓
9. BWANNA SAMATA✓
10. FEISAL SALUM TOTO - [emoji91]
11. KIBU DENIS PROSPER
Napenda kuuliza hivi mbona sijawahi kuona FEITOTO ata akipiga story na MUDATHIR YAHYA. waga Wana ugomvi au?
Kama mchezaji gani?Hujui ata namba za wachezaji
Msindo anaweza cheza tokea chini piaMsindo acheze lusajo nje hao wanacheza namba sawa?
😂😂 namba mbili mkuu.Chini namba ngapi jibu sasa