Kikosi kikipangwa hivi Taifa Stars anashinda leo dhidi ya DR Congo

Kikosi kikipangwa hivi Taifa Stars anashinda leo dhidi ya DR Congo

kutokana na kuangalia wachezaji waliotwa KIKOSI kikianza ivi kitamshangaza mkongo

1. YONA AMOS - anajiamini japo Kuna goal mechi na Yanga kama aliamua tu kujishushia heshima

2. LUSAJO MWAIKENDA- No comments✓

3. MOHAMED HUSEIN -

4. IBRAHIM BACCA -japo h uyu jamaa simkubali I bet Leo atachomesha

5. DICKSON JOB- ✓

6. ALDORLF MTASINGWA - Asisitwezwe ubongo wake kuwa sharp Huwa ana delay Kuna mda

7. NASSOR SAADUN - yupo vizuri haogopi ni giat na fighter

8. MUDATHIR YAHYA -✓

9. BWANNA SAMATA✓

10. FEISAL SALUM TOTO - [emoji91]

11. KIBU DENIS PROSPER

Napenda kuuliza hivi mbona sijawahi kuona FEITOTO ata akipiga story na MUDATHIR YAHYA. waga Wana ugomvi hau?
Mawazo ya mwalimu
 
Toa Yona Amos weka Ally Salim, Toa Lusajo weka Pascal Msindo, Toa Samatta weka Mzize. Samatta alipaswa atafutiwe mechi ya kuagwa kwa heshima sio kuitwa kwenye mecgi za mashindano kama hivi.
 
Toa Yona Amos weka Ally Salim, Toa Lusajo weka Pascal Msindo, Toa Samatta weka Mzize. Samatta alipaswa atafutiwe mechi ya kuagwa kwa heshima sio kuitwa kwenye mecgi za mashindano kama hivi.
Hujui ata namba za wachezaji
 
kutokana na kuangalia wachezaji waliotwa KIKOSI kikianza ivi kitamshangaza mkongo

1. YONA AMOS - anajiamini japo Kuna goal mechi na Yanga kama aliamua tu kujishushia heshima

2. LUSAJO MWAIKENDA- No comments✓

3. MOHAMED HUSEIN -

4. IBRAHIM BACCA -japo h uyu jamaa simkubali I bet Leo atachomesha

5. DICKSON JOB- ✓

6. ALDORLF MTASINGWA - Asisitwezwe ubongo wake kuwa sharp Huwa ana delay Kuna mda

7. NASSOR SAADUN - yupo vizuri haogopi ni giat na fighter

8. MUDATHIR YAHYA -✓

9. BWANNA SAMATA✓

10. FEISAL SALUM TOTO - [emoji91]

11. KIBU DENIS PROSPER

Napenda kuuliza hivi mbona sijawahi kuona FEITOTO ata akipiga story na MUDATHIR YAHYA. waga Wana ugomvi au?
Wawili tu ndiyo kocha kabadirisha na nilivyopanga
 
Back
Top Bottom