Kikosi kikipangwa namna hii Vipers hatoboi!

MTAZAMO

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
19,675
Reaction score
33,583
Wakuu,

Ili game ya kesho tushinde tunahitaji kuwatumia Banda na Phiri kuleta vitu vipya pale mbele na kuwapumzisha kwanza Baleke , Sakho na Boko. Banda ana workrate kubwa na atamsaidia sana Kapombe kuliko Sakho.

Pia kipindi cha pili ni muhimu Kibu aingie badala ya Ntiba ili intensity ya timu isipungue.

Huu ni ubashiri wa kikosi ninachoamini kinaweza kubadili matokeo.

1) Aishi Manula
2) Kapombe
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanoute
7) Banda
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Ntibatokiza

Supersub Washambuliaji: Boko, Kibu, Sakho, Baleke

Tupe lineup yako pia unayoiaminia .... #Nguvumoja[emoji110]️
 
Mechi itachezwa KWA MKAPA HATOKI MTU Au?
 
1. Manula
2. Kapombe
3. Hussein
4. Onyango
5. Kennedy
6. Inonga
7. Bob Marley Kibu
8. Mzamiru
9. Moses
10. Chama
11. Saido


Sub. Quatara, Okra, Mkude, Gadiel, Kapama, Baleke, Banda, Kakolanya.



Kikosi hicho kina uhakika wa 75% + kurudi na point 3.

Sacko, Kanoute, Bocco na Sawadogo hao hata kusafiri na timu ni matumizi mabaya ya fedha

MTAZAMO
 
Dah! Maisha yapo kasi sana... Sacko mwenye gori bora la CAF msimu uliopita saiv ndo hafai hata kukaa benchi
 
Nimekuelewa! Ukiwa na Sakho, Chama, Ntiba na Boko hakuna hata mmoja anasaidia kukaba. Ndio maana Kibu anapewa nafasi ingawa mashabiki hawaelewi! Kibu analeta balance

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Dah! Maisha yapo kasi sana... Sacko mwenye gori bora la CAF msimu uliopita saiv ndo hafai hata kukaa benchi
Hachezi mpira wa malengo, sehemu ya kutulia atoe pass yeye anawaza chenga tu, wakati mwingine anajifanya Sadio Mane kitu kinachopelekea kupoteza mpira au kutoa pass fyongo.

Mpira ni magoli siyo anakwenda anakwenda ...

Huyu jamaa hajui kukaba akipoteza mpira, akisema akabe anaenda kucheza faulo na kuigharimu timu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…