Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Ni kama kuna pointi ya kweli hapa.Upo sahihi kabisa
Zote ni nguvu zisizofafanulika ila zinavikwa sifa tofauti
Just bear with me, I'm trying to prove a point to these theists
Sorcery in its literal meaning, isn't part of christian lore/mythology
Kila dini ina kanuni zake.Kutoka 22:18 Usimwache mwanamke mchawi aishi.
Mleta mada, kwanini unaongelea vitu usivyovijua?
1. Ni imani za jadi tumechanganya na ukristo. Muulize Kiranga kama huko mambele wakristo wanaamini kwenye ulozi.mbona uhahamisha mada, hapa hatuongelei majini
hapa tunaongelea uchawi, yaani imani juu ya uchawi, jiulize je bibilia ama kanisani Uchawi ama wachawi hawazungumziwi kwenye ibada ama maombi ?
mfano mimi ni Atheist siamini dini yoyote, na wala siamini uwepo wa Mungu, naanzia wapi kuamini uwepo wa Uchawi ama wachawi ? maana biblia iliyotaja kuhusu wachawi sina imani nayo, quran iliyotaja kuhusu wachawi sina imani nayo.
Ukiona unaamini Ukristo maana yake unaamini uchawi upo pia, maana mafundisho ya ukristo yanatambua uchawi upo
Soma na hapa Mkuu Kumbukumbu la Torati 18:11–12 “alogaye, au mtu alogaye kwa pepo, au mwenye pepo, au awaulizaye wafu .Kila dini ina kanuni zake.
Dini zote zina pande mbili, wa giza, na wa nuru
Kikristo giza ni la shetani, nuru ni ya mungu
Nataka nione mahali bibilia inasema uchawi umetoka kwa shetani/ni kazi ya shetani
Uchawi uliozungumziwa hapo, unatoka kwenye dini zingine, yaani huyo mwanamke anafuata ibada za kipagani
Je, huo uchawi aliutoa wapi?Matendo 8:18
Simoni aliyekuwa mchawi alipoona Roho Mtakatifu anatolewa kwa watu kwa kuweka mikono juu yao. Aliwapa pesa mitume. 19 Akasema, “Nipeni na mimi nguvu hii ili nitakapoweka mikono yangu juu ya mtu yeyote, atampata Roho Mtakatifu.”
New revised standard version ndo toleo sahihi kuliko yote ya bibiliaSoma na hapa Mkuu Kumbukumbu la Torati 18:11–12 “alogaye, au mtu alogaye kwa pepo, au mwenye pepo, au awaulizaye wafu .
Uelewa wako Bado ni Mdogo sana kuweza mimi kukujibu.Napinga.
Uchawi upo kwenye dini zingine ila sio ukristo
Najikita kwenye mantiki
Hakuna mahali popote kwenye bibilia shetani au mungu amehusishwa na uchawi
Ni kama majini, wao ni wahusika wa kiislamu tu, wanatumika kwenye misaafu ya kiislamu tu
Huwezi bibilia inazungumzia majini
Kila dini ina Lore(Simulizi) yake ya kipekee juu ya mungu, nguvu za giza na viumbe wasioonekana. Haziingiliani.
imani za kimisri kipindi hicho zilikua zinaruhusu uchawi
Sawa, jenga hoja.Uelewa wako Bado ni Mdogo sana kuweza mimi kukujibu.
Unahitaji kusoma sana juu ya imani ya Ukristo.
Andiko lako lina makosa mengi sana ya kuwa chini ya viwango.
Naongelea nguvu binadamu wa kawaida hana .Kwahiyo Mungu akimponya mtu huo ni uchawi?
Chochote kisichoelezeka ni uchawi?
1. Ni imani za jadi tumechanganya na ukristo. Muulize Kiranga kama huko mambele wakristo wanaamini kwenye ulozi.
2. Ukristo unatambua uchawi ndio. Lakini hausemi kwamba umetoka kwa mungu wala shetani. Uchawi ilikua ni kufuata dini zingine mfano kina Baal, Dagon...
Wanaopaa na ungo je?Naongelea nguvu binadamu wa kawaida hana .
Toleo zuri la biblia yoyote ni toleo kabla ya mambo ya feminism ina maana toleo la 1970 kurudi nyuma. Hayo ndio yako sawa.New revised standard version ndo toleo sahihi kuliko yote ya bibilia
View attachment 2925335
Ni wapi bibilia inasema kwamba uchawi umetokana na mungu au shetani?ukristo baada ya kuanzishwa ulienea sana ulaya kipindi cha mediaval age ( middle age) kipindi hiki ( canon laws) ama sheria zilizokuwa zinatumika kwenye maisha ni sheria za kikristo ama sheria za kanisa. kitu kilichoandikwa kwenye biblia ndio kilikuwa kinafatwa.
uchawi hapo ndipo ulipovuma pia. watu waliokuwa anti church ama hawaeleweki walitambulika kama wachawi na hukumu yao walikuwa wanauwawa kwa kunyongwa hadharani, maana biblia imeandika usimuache mchawi aishi.
mbeleni kwenye modern era wazungu wakagundua uchawi haupo ndipo wakaachana na hizo laws.
Ukristo na uchawi ni vitu vinavyosapotiana yaani kama Mungu na Shetani
ukiamini ukristo ni lazima uamini na uchawi upo
theologists ndo wanatumia...Toleo zuri la biblia yoyote ni toleo kabla ya mambo ya feminism ina maana toleo la 1970 kurudi nyuma. Hayo ndio yako sawa.
Mfano usishangae ukakuta biblia.za sasa zinazosema usimuache Mtu mchawi aishi. yaani wametoa neno Mwanamke na kuweka Mtu. Sasa haya matoleo mapya sio matoleo bora kiivyo.
umeandika utumboKibongo bongo wakristo wengi wanaamini kwenye uchawi.
Ndio wanauchukulia kama kitu kibaya, lakini kwa vile wanakubali uwepo wake basi inamaanisha wanaamini upo.
Lakini cha kushangaza, kimantiki, bibilia haiongelei kabisa kuhusu uchawi.
Nikimaanisha kwamba hakuna mahali ilipoandikwa kwamba mungu au shetani wana uhusiano wowote na uchawi.
Vimekatazwa kwasababu ni njia za ibada za mataifa mengine kama canaanites, romans nk, ni kutoka nje ya misingi ya dini...
Bibilia imelaani vitu kama kuabudu sanamu, kuongea na wafu, foreseeing(kutumia uchawi kutabiri nyakati) lakini haijasema kwamba hivyo vitu vinahusiana na shetani.
Na hata hadithi zote za mapepo, hakuna mahali ulozi umetajwa kama chanzo, na imesemwa mapepo ni wale malaika waasi.
Ninachokiona ni kwamba haya mambo ya uchawi ni ya kwetu sisi, ukristo uliyakuta, tukayachanganya na ukristo.
Mambo kama irizi, matambiko, misukule nk ni imani za jadi kabisa.
Na ndio maana wakristo wa nchi zilizoendelea hawaamini kwenye uchawi, wanaamini kwenye mapepo.
Hata mambo ya nyota, sijui nyayo, anga, viganja hayapo kwenye bibilia, ni mistari inatafsiriwa kitofauti.
Kwahiyo kikristo kweye upande wa mwanga kuna Yahweh na malaika wake, kwenye giza kuna shetani na mapepo yake.
Kimantiki mkristo ukiamini uchawi maana yake unahama dini/unachanganya dini tofauti.
Dini ni siasa ya kumtawala mwanadamu, madhehebu ni kama vyama tu Mkuu.theologists ndo wanatumia...
Ni wapi bibilia inasema kwamba uchawi umetokana na mungu au shetani?
Tunaambiwa tukipata shida tuombe na tutubu
Tutoe sadaka
Ni wapi imeandikwa 'shetani alileta uchawi duniani, ili kuwatesa watu wa mungu'?
Umenielewa?
Uchawi sio sehemu ya ukristo, ni mapokeo ya kijamii