Kikristo, uchawi haupo

Farao aliita wachawi na waganga.............
Musa akatupa fimbo ikawa nyoka....nao wakatupa fimbo zikawa nyoka.....lakini nyoka ya Musa ikameza nyoka za wachawi.......
 
asa hao viumbe wasio onekana waliumbwa kwaajili yanini mbon hawana faida nasisi.? au ndo hao virus na bacteria hadi tutumie binoculars.?
 
mungu kwanin asimuue mwenyew tu huyo mchawi anatuambia sisi.? natena anasema tusihukumu tutahukumiwa.? tena kasema tusiuwe.? mbon mambo yanakua na process nyingi ivi😳.? hapo ndo napishana na waislamu ivi wale wapiganaji wakiislamu kwanin hua wana mfanyia mungu majukumu yake mfano mtu akiacha uislamu inabini auwawe. ivi mungu simuweza wayote ashindwi na chochote.? ivi kweli atakosa chakumfanya mtu alie msaliti.!? 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…