Bora umesema wanasomea kuliko ungesema wanasomeshwa kama ambavyo Kikula hupenda kudanganya. Prof Kikula unajua hao wanaosoma PhD na masters wengi wao wanajisomesha japo ni wafanyakazi wa chuo unachokiongoza? Leo zaidi ya nusu ya wanaosoma PhD hawajapata hata senti toka Bodi ya mikopo na chuo chako hata kimefumba macho wakati watu hawa wanasoma PhD zao na kufundisha full courses? Chukua hatua katika hili la masomo yao na fedha za kujikimu na stationaery allowance zao ni mbaya sana tena inasikitisha kuwa watu tangu waanze shule zao june na wengine mwanzoni mwa mwaka 2012 lakini hawajawahi pata chochote toka bodi ya mikopo wala chuo chakombona kuna watu wengi sana wanasomea PhD na Masters. uliza utaambiwa. usikurupuke tu. jamaa yupo sahihi.
mbona kuna watu wengi sana wanasomea PhD na Masters. uliza utaambiwa. usikurupuke tu. jamaa yupo sahihi.
lakini mbona Prof. kikula huyuhuyu akiwa mkuu wa chuo pale uclas hakukuwa na maneno? what is the difference? I see something fish behind.This guy is not serious at all! why every every day and every date is prof Kikula? at UDOM. Gorvoment is also observing, haya haribuni system zote na tena kotekote.
mkuu nashukuru kwa kunipa habari mpya. lakini mimi wote ninaowafahamu wanalipiwa na chuo. kumbe kuna wengine wanajisomesha?Bora umesema wanasomea kuliko ungesema wanasomeshwa kama ambavyo Kikula hupenda kudanganya. Prof Kikula unajua hao wanaosoma PhD na masters wengi wao wanajisomesha japo ni wafanyakazi wa chuo unachokiongoza? Leo zaidi ya nusu ya wanaosoma PhD hawajapata hata senti toka Bodi ya mikopo na chuo chako hata kimefumba macho wakati watu hawa wanasoma PhD zao na kufundisha full courses? Chukua hatua katika hili la masomo yao na fedha za kujikimu na stationaery allowance zao ni mbaya sana tena inasikitisha kuwa watu tangu waanze shule zao june na wengine mwanzoni mwa mwaka 2012 lakini hawajawahi pata chochote toka bodi ya mikopo wala chuo chako