Kikula Mkuu wa chuo leo kasema chuo kimedahiri wanfunzi wachache kwa jili ya ukosefu wa walimu lakini akasema kwa sasa wameajiri walimu kutoka India,Korea,China,Japan,Marekani,Uingereza wakati waalimu wasaidizi wakipelekwa kusomea PHD
Source :Taarifa ya habari saa mbili Star TV
my take KIkula ameingia kwenye siasa chuo kina umri zaidi ya miaka saba je walishindwaje kuandaa walimu
uongozi wake wa kiimla umelalamikiwa na waalimu na wanafunzi UDOM ni saccos yake
Je mpango wa elimu ya juu wa Raisi kikwete umeshindwa kabisa
Source :Taarifa ya habari saa mbili Star TV
my take KIkula ameingia kwenye siasa chuo kina umri zaidi ya miaka saba je walishindwaje kuandaa walimu
uongozi wake wa kiimla umelalamikiwa na waalimu na wanafunzi UDOM ni saccos yake
Je mpango wa elimu ya juu wa Raisi kikwete umeshindwa kabisa