ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Wajinga ndio wanaoliwaNgoja nimuombe anifundishe kubet
Una shida na odds ngapi nikupe Kama Ni tatu tu mi mwenyewe Ni hodari SanaNgoja nimuombe anifundishe kubet
Nimeongea utani tu sijui hata odds ni niniUna shida na odds ngapi nikupe Kama Ni tatu tu mi mwenyewe Ni hodari Sana
Usiingie kweny huo mchezo ndugu hakuna anaeujua na hakuna bingwa wa kubet mm Nina marafik karb kila nchi lakn tunakula za uso tu na nimeacha na app zote nimefutaNgoja nimuombe anifundishe kubet
Kwa haraka haraka tu mpaka sa hivi umeliwa kama shingapi?Usiingie kweny huo mchezo ndugu hakuna anaeujua na hakuna bingwa wa kubet mm Nina marafik karb kila nchi lakn tunakula za uso tu na nimeacha na app zote nimefuta
Juzi ulikula kiasi gani?Una shida na odds ngapi nikupe Kama Ni tatu tu mi mwenyewe Ni hodari Sana
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787] mdogo mdogo tutafika tuView attachment 1638949View attachment 1638950View attachment 1638951Juzi ulikula kiasi gani?
Ahahaha weka ya soka.[emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787] mdogo mdogo tutafika tuView attachment 1638949View attachment 1638950View attachment 1638951View attachment 1638952
Hi hapa.uefa ya week ile iliyopitaAhahaha weka ya soka.
Wewe ni noma, mie namkosa kosa tuu muhindi.Hi hapa.uefa ya week ile iliyopitaView attachment 1638954