Kikundi cha nyimbo za injili "Makoma"

Kikundi cha nyimbo za injili "Makoma"

ukwaju_wa_ kitambo

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
150
Reaction score
173
MAKOMA

Makoma ilikuwa bendi ya muziki wa Injili kutoka nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Makoma wanaimba kwa Kilingala, Kiingereza na Kifaransa, na wakati mwingine Kiholanzi na Ujerumani.

Makoma iliundwa na:

Nathalie Makoma
Annie Makoma
Pengani Makoma
Tutala Makoma
Duma Makoma
Martin Makoma
Patrick Badine
Papaa Letoni

Je? Ni wimbo Gani unaupenda kutoka kwenye kundi hili la nyimbo za injili kutoka DRC CONGO

ukwaju_wa_ kitambo
1726522047005.jpg


#FUNGUKA
 
Kuna kisa kimoja sijui kama ni cha kweli au ulikua uzushi ni kwamba hawa jamaa UKIMWI ndo uliwamaliza?
 
Shehe Una nongwa sana
Hapana mkuu nilisikia hivo lkn sina uhakika kama unavojua muziki miaka ile ulikua ni sehemu chache tunaupata pia watu wazushi walikua ni wengi hasa wale mabaharia wa kwenda kwenda S. A
 
MAKOMA

Makoma ilikuwa bendi ya muziki wa Injili kutoka nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Makoma wanaimba kwa Kilingala, Kiingereza na Kifaransa, na wakati mwingine Kiholanzi na Ujerumani.

Makoma iliundwa na:

Nathalie Makoma
Annie Makoma
Pengani Makoma
Tutala Makoma
Duma Makoma
Martin Makoma
Patrick Badine
Papaa Letoni

Je? Ni wimbo Gani unaupenda kutoka kwenye kundi hili la nyimbo za injili kutoka DRC CONGO

ukwaju_wa_ kitambo
0767 542 202 View attachment 3097943


#FUNGUKA
Napesi
 
Back
Top Bottom