KIKUU wataacha lini kuuza bidhaa feki?

KIKUU wataacha lini kuuza bidhaa feki?

Tatizo wabongo tumekua wavivu hadi kusoma description ya bidhaa, kuna incidence ilitokea mwaka jana jamaa alinunua phone cover akijua ni simu kwa sababu tu aliangalia picha za juu bila kusoma desc' af alivyoona bei ndogo ndio akadata kabisa.

Muwe mnasoma deacription ya bidhaa kwanza kabla ya kulipia na sio kuangalia picha tu
 
Mm siaminig kabisa kufanya biashara za online eti MTU yupo ulaya huko mm nipo bongo land nimtumie pesa kwa mtandao anitumie TV,au radio

Bora nidumbukie k/koo tu liwalo na liwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau tusiwalaumu KIKUU kwamba wanauza bidhaa zisizokuwa na viwango. KIKUU Ni Kama app ya KUPATANA kwamba muuzaji anajisajili katika app Kisha anatangaza bidhaa zake kupitia app.

KIKUU wenyewe walishatoa tahadhari kua kabla hujanunua bidhaa soma kwanza maoni ya waliowahi kununua bidhaa husika. Pia Kama umenunua bidhaa na haijakidhi matarajio kwa maana ya bidhaa haina viwango unatakiwa kureport ili wamfungie muuzaji wa bidhaa husika.

Kwahiyo ukinunua bidhaa ukakuta Ni fake huwezi kuwalaumu KIKUU kwakua wao sio wamiliki wa bidhaa Bali wanaendesha app ambayo wauzaji wa bidhaa wanaitumia kuuza bidhaa zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau tusiwalaumu KIKUU kwamba wanauza bidhaa zisizokuwa na viwango. KIKUU Ni Kama app ya KUPATANA kwamba muuzaji anajisajili katika app Kisha anatangaza bidhaa zake kupitia app.

KIKUU wenyewe walishatoa tahadhari kua kabla hujanunua bidhaa soma kwanza maoni ya waliowahi kununua bidhaa husika. Pia Kama umenunua bidhaa na haijakidhi matarajio kwa maana ya bidhaa haina viwango unatakiwa kureport ili wamfungie muuzaji wa bidhaa husika.

Kwahiyo ukinunua bidhaa ukakuta Ni fake huwezi kuwalaumu KIKUU kwakua wao sio wamiliki wa bidhaa Bali wanaendesha app ambayo wauzaji wa bidhaa wanaitumia kuuza bidhaa zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora ww umesomeka mkuu, si hawa wengine lawama mwanzo mwisho!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ubavu wangu hununua viuremborembo huko ,hawawahi lalamika...nawanaleta Hadi kwa Malecela.
 
Wadau tusiwalaumu KIKUU kwamba wanauza bidhaa zisizokuwa na viwango. KIKUU Ni Kama app ya KUPATANA kwamba muuzaji anajisajili katika app Kisha anatangaza bidhaa zake kupitia app.

KIKUU wenyewe walishatoa tahadhari kua kabla hujanunua bidhaa soma kwanza maoni ya waliowahi kununua bidhaa husika. Pia Kama umenunua bidhaa na haijakidhi matarajio kwa maana ya bidhaa haina viwango unatakiwa kureport ili wamfungie muuzaji wa bidhaa husika.

Kwahiyo ukinunua bidhaa ukakuta Ni fake huwezi kuwalaumu KIKUU kwakua wao sio wamiliki wa bidhaa Bali wanaendesha app ambayo wauzaji wa bidhaa wanaitumia kuuza bidhaa zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hivyo huwezi kutoa tahadhari bila kuwataja hao KIKUU kama ambavyo huwezi kulaumu vibaka bila kutaja eg. Manseze! Mtu atasema ''Manzese haifai, ina vibaka kweli''. Hivyo hivyo mtu atasema KIKUU haifai kuna bidhaa fake kweli.
 
Inawezekana mwaka wa 5 huu, natumia hiyo app
Nilishawahi mnunulia uncle wangu begi la shule aisee lilikuja kadogoo, basi nikawarudishia na hawakua na kubwa zaidi ya ile. Siku ya2 yake hela yangu ikarudiashwa tigopesa
Unarudishaje mzigo
 
Wakuu,

Hawa jamaa nimewachoka sasa. Mara ya kwanza niliagiza mzigo mwaka jana, ilikua ni Flash ya 128 GB kwenye Limited Offer.
Cha kushangaza ilidumu kwa siku 5 tu, ikawa haifanyi kazi tena kwenye computer.

Chengine kinachoboa zaidi ni muda unaochukua mpaka kupata bidhaa yako.
Mali yako inakaa mpaka unasahau kama uliagiza mzigo.

Juzi kati hivi, kuna jamaa yangu aliagiza Projector kwa ajili ya kuonyeshea mpira, quality imekuja mbovu kabisa ukilinganisha na specification walizoweka kwenye mtandao wao.

Kuna mwengine nilimsikia eti alinunua iPhone 6 kwenye Limited Offer kwa 290, kuja kuiwasha ni fake! fake! fake! Haifai!!

Hakuna namna nyengine zaidi ya kuwakimbia tu.

Tuendelee kuingia Kariakoo, maisha yaendelee.
Biashara yenyewe imejengwa kwa misingi ya kuuza knock off and cheap products from China, unategemeaje wabadili na kuwa wanauza vitu OG. Kwanza can the target market afford them?
 
Back
Top Bottom