Ina maana mapendekezo ya Zitto - kuwasha IPTL na kutaifisha Dowans - ndio silver bullet ya matatizo ya umeme Tanzania?
Kuanzia wakati ule (almost a year) ambapo mkurugenzi wa Tanesco alionya kuwa mgao wa umeme unakuja?
Mkuu,
katika pita pita zangu katika thread hii sijaona mahali huu ushauri wa kutumia IPTL ukisifiwa kama unavyodai labda kama nimeona kengeza!
Wengi wa wachangiaji wanashangaa JK alikuwa wapi siku zote hizi haya maamuzi hayachukuliwa mpaka wawekezaji na wafanya biashara wakubwa walamike wakati kuna wazalendo kama akina Zitto walikwisha suggest similar things!
Mkuu,
katika pita pita zangu katika thread hii sijaona mahali huu ushauri wa kutumia IPTL ukisifiwa kama unavyodai labda kama nimeona kengeza!
Wengi wa wachangiaji wanashangaa JK alikuwa wapi siku zote hizi haya maamuzi hayachukuliwa mpaka wawekezaji na wafanya biashara wakubwa walamike wakati kuna wazalendo kama akina Zitto walikwisha suggest similar things!
Sasa mimi role yangu ipi kuulizwa nilikuwa wapi?
Solomon Vipi bana, kwani hujui hawa jamaa hawaoni mbali...zima moto...zima zima...wanapigania 140MW wakati watanzania 88% wako gizani, hili hawaongelei na wala hawalioni, hili ndilo kubwa zaidi.
Umejikwoti hapo juu ukieleza kuwa ulishauri kuhusu IPTL.
Je ulipendekeza IPTL na Dowans baada ya kuulizwa au ni uamuzi binafsi?
Lakini JK amelaumiwa, na hapa hasitahili sifa yoyote. Imesemwa tayari kama Ngeleja ni bomu kwa nini alimchagua? anayesitahili kubeba lawama ya matatizo ya umeme ni yeye JK.
Zitto aliongelea kwa solution ya haraka ya kuokoa Taifa na giza na hakusema ndiyo ufumbuzi wa kudumu .Zitto aliuliza kwa nini Nchi iko kwenye giza na mitambo ipo ?
Hivi nini maana ya kuwa rais kuwa na wasaidizi????????
Maana kila kitu saa hivi ni JK!
inawezekana ngeleja ni bomu ndio maana kampeleka mtu wake wa karibu kuwa katibu mkuu hapo madini na nishatiMkuu Kevo heshima mbele kiongozi.
JK alikuwa anajua waziri Ngeleja angeweza kutatua hili tatizo, kumbe hakujua jamaa ni bomu vibaya sana.
Si kila kitu anatakiwa kufanya yeye ndiyo maana ana mawaziri na mawaziri ni watu wakubwa sana serikalini, sisi wetu sijui hawajui hilo.
Unapo mshangaa JK kwa kutoitisha IPTL kuwashwa mapema una maana gani kuhusu IPTL?
1. ni suluhisho bora
2. Isi suluhisho bora
3. Havina uhusiano wowote
Hivi nini maana ya kuwa rais kuwa na wasaidizi????????
Maana kila kitu saa hivi ni JK!
Ninajiquote nilichosema tarehe 15/10/2009
Ninapendekeza;
Mnisamehe kwa kujiquote!
- Serikali ihakikishe mitambo ya IPTL inawashwa mara moja wakati mazungumzo yake na IPTL yakiendelea kwa kuharakishwa (fast tracking). Hali ya nchi ni mbaya, ni sawa na vita, haiwezekani serikali yenye mamlaka ishindwe kuhakikisha IPTL inazalisha umeme wakati mazungumzo yakiendelea. Haiwezekani.Labda kama haina uchungu na maisha ya watu wake.
- Sikutaka kusema chochote nikiamini kwamba Shirika la TANESCO, Serikali, na kwa upande wa bunge, Kamati ya masuala ya Nishati na Madini, wangeweza kutoa majibu ya tatizo linatukabili. Badala yake, juhudi nyingi zimetumika kutafuta chanzo cha tatizo na kuchelea kutoa suluhuInaumiza sana kuona kuwa tunaendekeza siasa rahisi tunaposhugulikia masuala mazito ya kitaifa kama Nishati. Inasikitisha zaidi pale tunapoona kuwa serikali inashindwa kuchukua hatua mahususi za kuhami uchumi wa Taifa letu. Serikali na Bunge hazitoi suluhisho la hali hii na ni wazi kuna kutupiana mpira wakati nchi inaumia. Serikali imewekwa madarakani ili ifanye maamuzi na tuihukumu kwa maamuzi hayo. Serikali ni lazima sasa iamue.
- Mazingira magumu kama haya yanahitaji maamuzi magumu (extra ordinary circumstances require extra ordinary decisions). Ninaamini serikali itazingatia ushauri wangu.
Ikulu inasema wafanyabiashara ndio wamemwomba Rais. Ni sawa tu........
Zitto said:Sina swali tena.
Mimi nilikuwa wapi muda wote? Naomba urudie swali tafadhali.......
Lakini bado inabidi tumuulize kwanini tumefikia hapa tulipo?
Mkuu nilishakukanya kwamba usipoteze muda na watu kama hao... Wataelewa mbele kwa mbele. Juzi walikuwa wanakupinga hapa leo aibu tupu.