Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu wadau, kama mnafuatilia vizuri, hawa jamaa, leo wana apa kutumia katiba, siyo vitabu vya dini. Je, hii ina maana gani?
Tufahamu kuwa, tuna apa kuilinda katiba, lakini hatuapi kwa kutumia katiba. Kiapo, ni komitment inayoambatana na imani ya mtu. Ndiyo maana hata mahakamani mtu anapotaka kutoa ushahidi ana apishwa. Hivyo, si sahihi kuapa kwa kutumia katiba.