Nyalandu Maliasili .... nimechoka kabisa
Watanzania mna moyo; mmekaa, mmeombea, mmesubiria na hatimaye mmepewa mlichotaka. Na nyinyi wa kwenye mitandao ndio mtakiona cha mtema kuni kwa kuisababisha CCM hasara sana 2010... sasa kichaa kapewa sime sokoni..
Iliyoniacha hoi ni waziri asiye na wizara maalum. Is it necessary to have such kind of ministry?
Watanzania mna moyo; mmekaa, mmeombea, mmesubiria na hatimaye mmepewa mlichotaka. Na nyinyi wa kwenye mitandao ndio mtakiona cha mtema kuni kwa kuisababisha CCM hasara sana 2010... sasa kichaa kapewa sime sokoni..
Nyalandu Maliasili .... nimechoka kabisa