Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

JK yule yule, mfumo ule ule, nyani wale wale ... and then utarajie jipya!!!!!!!! ?????
 

[TH="width: 100%, colspan: 3"] GENERAL
[/TH]

[TD="width: 20%"] Salutation
[/TD]
[TD="width: 38%"] Honourable
[/TD]
[TD="width: 42%"] Member picture

[/TD]

[TD="width: 20%"] First Name:
[/TD]
[TD="width: 38%"] William
[/TD]

[TD="width: 20%"] Middle Name :
[/TD]
[TD="width: 38%"] Augustao
[/TD]

[TD="width: 20%"] Last Name:
[/TD]
[TD="width: 38%"] Mgimwa
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type:
[/TD]
[TD="width: 38%"] Constituency Member
[/TD]

[TD="width: 20%"] Constituent:
[/TD]
[TD="width: 38%"] Kalenga
[/TD]

[TD="width: 20%"] Political Party:
[/TD]
[TD="width: 38%"] CCM
[/TD]

[TD="width: 20%"] Office Location:
[/TD]
[TD="width: 38%"] Box 80373, Dar Es Salaam
[/TD]

[TD="width: 20%"] Office Phone:
[/TD]
[TD="width: 38%"] +255 754 765644/+255 684 765644
[/TD]

[TD="width: 20%"] Ext.:
[/TD]
[TD="width: 38%"][/TD]

[TD="width: 20%"] Office Fax:
[/TD]
[TD="width: 38%"][/TD]

[TD="width: 20%"] Office E-mail:
[/TD]
[TD="width: 38%"] wmgimwa@parliament.go.tz
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Status:
[/TD]
[TD="width: 38%"] Current Member
[/TD]

[TD="width: 20%"] Date of Birth
[/TD]
[TD="width: 38%"] 20 January 1950
[/TD]

[TH="width: 100%, colspan: 5"] EDUCATIONS
[/TH]

[TH="width: 30%"] School Name/Location
[/TH]
[TH="width: 25%"] Course/Degree/Award
[/TH]
[TH="width: 13%"] Start Date
[/TH]
[TH="width: 12%"] End Date
[/TH]
[TH="width: 20%"] Level
[/TH]

[TD="width: 30%"] Wasa Primary School
[/TD]
[TD="width: 25%"] Primary Education
[/TD]
[TD="width: 13%"] 1961
[/TD]
[TD="width: 12%"] 1965
[/TD]
[TD="width: 20%"] PRIMARY
[/TD]

[TD="width: 30%"] Tosa Seminary Primary School
[/TD]
[TD="width: 25%"] Primary Education
[/TD]
[TD="width: 13%"] 1966
[/TD]
[TD="width: 12%"] 1967
[/TD]
[TD="width: 20%"] PRIMARY
[/TD]

[TD="width: 30%"] Tosamaganga Seminary School
[/TD]
[TD="width: 25%"] O-Level Education
[/TD]
[TD="width: 13%"] 1968
[/TD]
[TD="width: 12%"] 1969
[/TD]
[TD="width: 20%"] SECONDARY
[/TD]

[TD="width: 30%"] Mafinga Seminary School
[/TD]
[TD="width: 25%"] O-Level Education
[/TD]
[TD="width: 13%"] 1970
[/TD]
[TD="width: 12%"] 1971
[/TD]
[TD="width: 20%"] SECONDARY
[/TD]

[TD="width: 30%"] Institute of Finance Management, IFM
[/TD]
[TD="width: 25%"] Advanced Diploma (Banking)
[/TD]
[TD="width: 13%"] 1975
[/TD]
[TD="width: 12%"] 1978
[/TD]
[TD="width: 20%"] ADV DIPLOMA
[/TD]

[TD="width: 30%"] Institute of Finance Management, IFM
[/TD]
[TD="width: 25%"] Postgraduate (Finance)
[/TD]
[TD="width: 13%"] 1983
[/TD]
[TD="width: 12%"] 1984
[/TD]
[TD="width: 20%"] POSTGRADUATE
[/TD]

[TD="width: 30%"] Institute of Development Management, IDM, Mzumbe
[/TD]
[TD="width: 25%"] MBA (Finance)
[/TD]
[TD="width: 13%"] 1989
[/TD]
[TD="width: 12%"] 1991
[/TD]
[TD="width: 20%"] MASTERS DEGREE
[/TD]

[TH="width: 100%, colspan: 4"] EMPLOYMENT HISTORY
[/TH]

[TH="width: 48%"] Company Name
[/TH]
[TH="width: 32%"] Position
[/TH]
[TH="width: 12%"] From Date
[/TH]
[TH="width: 9%"] To Date
[/TH]

[TD="width: 48%"] The Parliament of Tanzania
[/TD]
[TD="width: 32%"] Member - Kalenga Constituency
[/TD]
[TD="width: 12%"] 2010
[/TD]
[TD="width: 9%"] 2015
[/TD]

[TD="width: 48%"] Bank of Tanzania Training Institute (Mwanza)
[/TD]
[TD="width: 32%"] Principal
[/TD]
[TD="width: 12%"] 2000
[/TD]
[TD="width: 9%"] 2010
[/TD]

[TD="width: 48%"] The National Bank of Commerce (NBC) - Bank
[/TD]
[TD="width: 32%"] Director
[/TD]
[TD="width: 12%"] 1997
[/TD]
[TD="width: 9%"] 2000
[/TD]

[TD="width: 48%"] The National Bank of Commerce (NBC) - Bank
[/TD]
[TD="width: 32%"] Manager
[/TD]
[TD="width: 12%"] 1996
[/TD]
[TD="width: 9%"] 1997
[/TD]

[TD="width: 48%"] The National Bank of Commerce (NBC) - College
[/TD]
[TD="width: 32%"] Lecturer
[/TD]
[TD="width: 12%"] 1981
[/TD]
[TD="width: 9%"] 1989
[/TD]

[TD="width: 48%"] The National Bank of Commerce (NBC) - Bank
[/TD]
[TD="width: 32%"] Accountant
[/TD]
[TD="width: 12%"] 1980
[/TD]
[TD="width: 9%"] 1981
[/TD]

[TH="width: 100%, colspan: 4"] POLITICAL EXPERIENCE
[/TH]

[TH="width: 47%"] Ministry/Political Party/Location
[/TH]
[TH="width: 31%"] Position
[/TH]
[TH="width: 12%"] From
[/TH]
[TH="width: 10%"] To
[/TH]

[TD="width: 47%"] Chama Cha Mapinduzi, CCM
[/TD]
[TD="width: 31%"] Ward Guardian (Wasa, Iringa)
[/TD]
[TD="width: 12%"] 2008
[/TD]
[TD="width: 10%"] 2010
[/TD]

[TD="width: 47%"] Chama Cha Mapinduzi, CCM
[/TD]
[TD="width: 31%"] Assistant Commander (UVCCM)
[/TD]
[TD="width: 12%"] 1994
[/TD]
[TD="width: 10%"] 1995
[/TD]

[TD="width: 47%"] Chama Cha Mapinduzi, CCM
[/TD]
[TD="width: 31%"] Councillor (Gangilonga Ward)
[/TD]
[TD="width: 12%"] 1991
[/TD]
[TD="width: 10%"] 1994
[/TD]

[TH="width: 100%, colspan: 2"] PUBLICATIONS
[/TH]

[TH="width: 93%"] Description
[/TH]
[TH="width: 7%"] Date
[/TH]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Liquidity Management, Tanzania Bankers Journal, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 1994
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Commercial Bank Lending Journal, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 1995
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Advanced Credit Operations, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 2007
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Advanced Treasury Management, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 2009
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Liquidity Management, Tanzania Bankers Journal, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 1994
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Commercial Bank Lending Journal, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 1995
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Advanced Credit Operations, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 2007
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Advanced Treasury Management, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 2009
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Liquidity Management, Tanzania Bankers Journal, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 1994
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Commercial Bank Lending Journal, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 1995
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Advanced Credit Operations, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 2007
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Advanced Treasury Management, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 2009
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Liquidity Management, Tanzania Bankers Journal, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 1994
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Commercial Bank Lending Journal, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 1995
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Advanced Credit Operations, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 2007
[/TD]

[TD="width: 93%"] W. Mgimwa: Advanced Treasury Management, Dar Es Salaam.
[/TD]
[TD="width: 7%"] 2009
[/TD]




MY TAKE
CV yako imejitosheleza,all the best its time to deliver
 

Mkuu nakuambia weka kipande hiki cha gazeti kwa ushahidi, atakuja kuruka kimanga kuwa si yeye alisema bali mwandishi alikosea akamnukuu vibaya!!! Waongo hawa!!! hebu tuone atakavyoibana TRA na wizi wao walete revenue!! Pia naomba KITILYA wa TRA aondoke na kitengo cha Investigation kiimarishwe!!! Vinginevyo hakuna jipya wimbo ni ule ule tu.
 
Hivi hao wabunge walio mawaziri wanapokea mishahara na marupurupu kutoka kotekote au inakuwaje?
 
Huyu waziri wa fedha ana historia gani,ana track record yeyote?Wizara ya fedha ni nyeti sana kupewa mtu asiye na track record yeyote,isije ikawa yale ya Zakhia Meghji...mwenye cv ya huyu waziri mpya wa fedha tafadhali aturushie.

Nimejaribu kutafuta CV yake siioni!!
 
Ni wa kuhurumiwa kijana huyu! sidhani kama atarudi 2015
 

Ss tunataka apunguze inflation rate, pamoja na kuinua sarafu yetu dhidi ya fedha za kigeni.naona yy ni mwana uchumi, naibu wake mwanauchumi, let give them time and see what proposal they will come in next budget meeting
 
Kafumu ni failure. Pale Wizarani kila mtu anamjua vyema. Masselle ni kifaa.
 
Kumbe kipindi zitto na Mdee waliposema kuwa J.makamba ni mnafiki ilikuwa ni kweli kabisa kwan j.makamba alijua kabisa faida za kutoku-sign hile karatasi ya Zitto na hatimaye leo hii kateuliwa na Rais kuwa naibu waziri wa wizara ya mawasiliano.
My take:
jmakamba kashapata alichokitaka( madaraka), je zitto atamuunga mkono tena ?
 
well...at least pale afya wamemweka kichwa makini katika unaibu waziri......Dr.Seif Rashid....the Rufiji MP.......this was ngosha's pick......na nashukuru huyu jamaa wamempa uwaziri.....hiki kwa ukweli ni kichwa makini.... i strongly recommended this MP for the health post.......Anaweza kufanya kazi vizuri sana huyu na Dr.Hussein Mwinyi .....mana kwanza wote ni medical personell.....pamoja na madhaifu ya Mwinyi kule ulinzi......i hope atafanya better hapo afya......haswa kwa msaada mkubwa wa Dr.Seif....yaani experience ya Dr.Seif inamzidi hata Dr.Mwinyi......Dr.Seif ni mtendaji....si mwanasiasa wa bla bla.......you want to know about this humble fellow.....go ask the Red Cross TZ....how they badly miss his services..............
 
Wadau JF,heshima mbele.napenda kumpongeza sana Dr William....mbunge wa .......kuteuliwa kuwa waziri wa Fedha wa JMT,kwa yeyote anayejua cv yake atusaidie huyu ni nani na ametokea wapi hadi hapo alipofikia?hongera zake sana!!!!tunategemea makubwa sana kutoka kwake!
 
CV si kitu wakati mfumo ni ule ule na JK ni yule yule.
 
Jk amekuwa rais legelege sanaa hili ni kutokana na kulivua gamba baraza lake la mawaziri mara mbili katika vipindi vyake viwili na mara nyingi katika kubadili watendaji wake toka wizara moja hadi nyingine.

Haijaishia hapo wakuu wa mikoa na wilaya inekuwa kama kawaida ukiiba hapa au kuharibu basi anapelekwa kwingine kwamba wananchi wasahau.

Hii kwa mtazami wangu ni kushindwa kwa rais katika kuongoza nchi ni kwa nini nae asiwajibike kwa watanzania kwa kujiuzuru?

Naamini kama hatofanya ivyo vilio vya watanzania vitamfanya akose usingizi ktk miaka 3 iliyobaki na yawezekana........
 
Ila ata Magufuri anaperform ndani ya mfumo huo huo na JK uyo uyo
 
CV never applies in real life I'm afried!!! Atakutana na mijizi pale wizarani haijui priciples wao ni wizi tu!!!
 
Mwandosya kwa Wanyakyusa hawaambiwi kitu kwanza wanamtegemea aje kuwa rais kwahiyo wamepima upepo na kuona kuwa Mbeya kutakuwa hakuendeki kwa wana CCM kama wangemwacha kabisa.
hali yake kiafya ni mbaya sana amepewa tu kulindana!!
 
Sijui atapewa wasidizi au ofisi yake ni popote akijisikia? Akiamua kwenda wizara ya fedha sijui kama mwenzake atamwachia kiti teeh teh! Hii kituko daa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…