So far nadhani hata wewe umegundua kuwa haijaathiri chochote kile. Chadema bado ipo na haikusambaratika kama vile mlivyotegemea.
Next time inabidi mje na strategy nyingine (kama mnayo) maana hiyo ya ukabila imekufa kifo cha mende .... chaliiiiiiiii
It is true Mwafrika wakati najiunga sikumjua vizuri huyu jamaa akawa anajitambulisha kuwa yeye ni Chadema eti anakikosoa ili kukijenga lakini kwa vile nilivyo makini inawezekanaje mtu uwe unakosoa tu siku zote tena zile zile propaganda zinazoenezwa mitaana na CCM
Luteni uko wapi, umesoma post yangu ya mwanzo kwenye thread hii na kujua I had nothing with chadema as mwafrika depicted?
Yanayoongelewa hapa naona hayahusiani sana na thread hii ni mjumuisho wa threads na posts zako mbalimbali au unataka nilete link hapa ndipo ujue kuwa wewe unaichukia Chadema na chaga hater
Kweli itabidi kutafuta strategy nyingine kama usemavyo, kwa hiyo kulikuwa na uhusiano wa chadema na uchaga?
(assume mimi ccm)
kuwa CCM ni mafisadi kwa hiyo kwa sababu hakijasambaratika ,kwa sababu ya tuhuma ya mafisadi hivyo ni wasafi? na strategy za watu kuwaita CCM mafisadi zibadilike?
Nyie CCM ndio mlijaribu kukihusisha Chadema na Uchaga lakini mkashindwa
Nilikuwa nakuamini umeingia king kiasi hicho?
kwa hiyo umeamini kwa sababu Mwafrika amesema au umeamini kwa kutumia free will judgement?
Leta link
why imekuchukua muda mrefu kudeclare mimi nina wachukia chadema? mbona imekuchukua muda mrefu kujua hivyo kwa nini, na kwa nini imekuchukua masaa kumuamini Mwafrika?
1 + 1 = 2 pamoja na yaliyosemwa na Mwafrika na nilivyokuona kumbe wewe ni mnafiki kiasi hichi LOL!
wala haikunichukua muda mrefu angali posts zangu zilizokujibu si leo wala za jana
Hakuna kufukuzwa mtu hapa ila kila unapokuja na post ya kinafiki popote humuJF unapata kilicho saizi yakeLuteni umeshakuwa mkubwa, mkuu umeshindwa kutoa link unakimbilia kusema mnafiki! kwa sababu mwafrika amesema??
Post yangu ya kwanza kwenye thread hii, je niliandika kitu kinachohusiana na chadema? kuna watu wataisoma ile post na (POST NUMBER 4) halafu wataona nani ni mnafiki kati yangu wewe na mimi.
Ulichofanya hapa umekuwa copied na kuwa pasted kwenye folder usilotaka, najaribu kukufungua haufunguki, mimi sitakusaidia.
Kama kwa upeo wako ukimwita mtu mnafiki ndio anakuwa mnafiki well done! say it again and again, kumbe naweza kusema lolote kwako wewe na likawa kwasababu nimesema au kuandika!
So in future are you ready to reply the post zinazotoka kwa mnafiki? maana ulichosema nimemwambia na ndugu yako kuwa wote humu JF wanajua kuwa mimi mnafiki, ulikuwa wapi kusema siku zote hizi, YES leo umejua mimi mnafiki, so what!
unataka kusemaje kunifukuza JF au kujiridhisha!
Nimekumbuka
nataka link ulizoahidi........
Hakuna kufukuzwa mtu hapa ila kila unapokuja na post ya kinafiki popote humuJF unapata kilicho saizi yake
Yanayoongelewa hapa naona hayahusiani sana na thread hii ni mjumuisho wa threads na posts zako mbalimbali au unataka nilete link hapa ndipo ujue kuwa wewe unaichukia Chadema na chaga hater
addiction!!, mkuu Luteni ndiyo maana watu wanashauri kuwa free thinker na kujibu hoja, ili naona limekuchachia.
wewe kuniita mimi mnafiki hakuniharibii chochote mimi, kwa sababu wewe nikikuita mwanamke hakukubadilishi.
Kumbuka tuna ID zisizo halisi, sura hatujuani what makes you to think kuwa ukisema kitu basi huyo mtu anaona aibu?
wewe umesoma post number 4, umeona ukweli umechagua side ya Mwafrika kwa mbwembwe umesema link zipo, nimekubembeleza weee unipe hizo link, haujazileta. sijajua nani mwenye tatizo ni Mwafrika , wewe au mimi
Mwafrika na mimi tulikuwa tunaenda vizuri umeparamia gari kwa mbele sasa una haha, as if Luteni akisema waberoya mnafiki watu woooote na akili zao watakuunga mkono!!! unachekesha sana unaona watu hawana akili humu, nani sasa anadhalilika hapa wewe uliyesema unauthibitisho au nani? sitaki kabisa kukuweka kwenye kundi la wale 70% sitaki , narudia sitaki! onyesha chuki zangu kwa chadema! Ila be careful ukisema lililo la kweli utakuwa unajiweka pabaya tena kutetea jambo kama halitakiwi kuwa hivyo!
lets make a deal?
unaonaje katika maisha yako yoote ukiona post yangu ujue ya mnafiki, unasemaje??
na unaonaje usijibu kwa sababu umeshatangaza na kila mtu anajua mimi ni mnafiki?
Luteni anatoa size ya kila mtu humu, kuna member sijui wana nguvu gani
Ni kweli ni vita hasa dhidi ya wanafiki wanaojifanya kuwa ni wapinzani kumbe ni mapandikizi tu ya ccm
Huwezi kuipata kwa vile wewe si mwenzao
Ulifurahia sana ulivyoona FMES kaandika kila unachokipenda... ha ha ha ha! daganya watoto wa mtaani mkuu ila sio wana JF.
Vilio vya nini sasa! pamoja na uwaziri wote wa daruso bado unalia lia kaa kitoto kichanga!
ha ha ha ... hapa chichemi
Slaa sio mnafiki.. usijaribu hata kujipa cheo usichokuwa nacho
Chadema haitaki watu wanafiki kama wewe. Thanks but no thanks!
mwafrika yuko kwenye mission kufukua mamluki wa ccm wanaojipendekeza hapa na kujivika vazi la upinzani. imekuwa tu bahati mbaya kwako kuwa wewe ndiye uko kwenye mwanga leo.
Mnafiki hawezi kusema ukweli... kwa sababu hakuna ukweli kwenye unafiki (to begin with).
hayo unayasema wewe.... kinachofanyika hapa ni kukufunua na kuanika unafiki wako ili wasomaji wakujue (chaga hater) jinsi ulivyo.
Kwani ni lini umezuiwa kuikosoa chadema? mbona unajiabisha? au ndio mwanzo wa vilio unataka kuanza? kinachofanyayika hapa (again) ni kukufunua ulivyo na wala sio tofauti na hapo.
kwani lini ulijua mimi ni mnafiki? na kwa nini leo umenijia juu? wakati unajua mimi ni mafiki na watu wote wanjua hivyo? nani aliyekuomba kazi ya kuwakumbusha wasomaji kuwa mimi ni manfiki na wao wanasoma humu na wanajua fika mimi ni mnafiki?
au ulisahau kuwa mimi ni mafiki?
Unaweza kuwaomba msamaha wachaga wote uliowatusi na kuwaonyesha chuki kubwa hapa jamvini. Hayo ya uchaga na chadema nikuulize wewe uliyeyaleta kipindi kile
sijasahu kuwa wewe ni mnafiki. ni kazi yangu hapa jf kukuumbua kila mara unapoleta unafiki wako kwa muda mrefu sana ujao. Wasomaji wote watakuwa wanakumbushwa unafiki wako na chuki zako zilizokubuhu dhidi ya wachaga
1 + 1 = 2 pamoja na yaliyosemwa na Mwafrika na nilivyokuona kumbe wewe ni mnafiki kiasi hichi LOL!
Nafikiri nimeshajibu kwanini nakuita mnafiki sitajibu tena swali hili ukitaka zaidi muulize Mwafrikaaddiction!!, mkuu Luteni ndiyo maana watu wanashauri kuwa free thinker na kujibu hoja, ili naona limekuchachia.
wewe kuniita mimi mnafiki hakuniharibii chochote mimi, kwa sababu wewe nikikuita mwanamke hakukubadilishi.
Kumbuka tuna ID zisizo halisi, sura hatujuani what makes you to think kuwa ukisema kitu basi huyo mtu anaona aibu?
wewe umesoma post number 4, umeona ukweli umechagua side ya Mwafrika kwa mbwembwe umesema link zipo, nimekubembeleza weee unipe hizo link, haujazileta. sijajua nani mwenye tatizo ni Mwafrika , wewe au mimi
Mwafrika na mimi tulikuwa tunaenda vizuri umeparamia gari kwa mbele sasa una haha, as if Luteni akisema waberoya mnafiki watu woooote na akili zao watakuunga mkono!!! unachekesha sana unaona watu hawana akili humu, nani sasa anadhalilika hapa wewe uliyesema unauthibitisho au nani? sitaki kabisa kukuweka kwenye kundi la wale 70% sitaki , narudia sitaki! onyesha chuki zangu kwa chadema! Ila be careful ukisema lililo la kweli utakuwa unajiweka pabaya tena kutetea jambo kama halitakiwi kuwa hivyo!
lets make a deal?
unaonaje katika maisha yako yoote ukiona post yangu ujue ya mnafiki, unasemaje??
na unaonaje usijibu kwa sababu umeshatangaza na kila mtu anajua mimi ni mnafiki?
Luteni anatoa size ya kila mtu humu, kuna member sijui wana nguvu gani