CCM wanavyosemwa wangekuwa ndiyo wewe mkuu sijui ungejitundika! mbona kuna wanachadema wanadharau post zangu na kuona ni mtu tu anayetoa maoni yake?
angalia sasa unapojiweka kwenye childish corner, kuwa ukimkosoa mtu basi inabidi uwe nafasi yake!
So leo Mwafrika ukisema JK hawezi kuongoza basi jibu lake ukachukue nafasi ya urais? yaani ukikosoa tu inabidi uwe substitute ya uliyemkosoa! this is too cheap!
Huwa nasema na nitarudia, vyama vya siasa vimelala, haihitaji degree kujua au kuamini hivyo, wala haihitaji kutuma post kubisha hilo, vinajieleza na kujionyesha! katika hao chadema wamo , so kama unaona post zangu zinakusumbua, pole sana, zitakusumbua sana mwaka huu na miaka yote ijayo. I will speak loud and clear!, kama wewe utapoteza muda wako kusubiri post ya waberoya inayoponda vyama , we subiri utazijibu sana, ila tafadhali uwe unazijibu kwa hoja!
Inaonyesha una mengi unayoyajua kuhusu mimi, uwanja wa wazi huu wewe sema tu, kama unaona kuandika chochote inakupa raha!
Nafurahi unanipa title ya kuwa mimi ni CCM, wa CCM nao wananichukia kama wewe!
Mwafrika mkuu, tuliza boli, just think for a minute, ninaharibu nini chadema mimi kama waberoya? na je chadema wanagain chochote kutokana na hizi critics? kama hizi crititics hazileti faida kwa chadema, then what will be difference btn chadema and CCM?
umekuwa kama Marmo si marmo, chiligati si chligati, makamba si makamba wa Chadema!!
ukiona post zangu just consider I am a fool!! hakuna watu unaowaona na kuwadharau katika misha yako???, kwa nini mimi nisiwe mmoja wapo?, naomba uniweke kwenye hilo kundi, ukiona post zangu '' just say jinga hili'' maana utapata ugonjwa wa moyo, wengine tuna shock absrober ndiyo maana unaweza kucriticise vitu vilivyo wazi na tuko tayari kukosolewa vile vile!
yaani toka mwaka 1995 kila mwaka uliofuatia vyama vinapata kura pungufu , wewe unaona hamna tatizo hapo! umerela!!x, because you like chadema so much. Halafu ukiona wana CCM wanampokea EL, RA na Chenge kwa mazuria unaona hawana akili, kumbe mko sawa kwa viwango na majina ya vyama tofauti.
Dear Mwafrika, Chadema ikizibeba hizi critics na kuzifanyia kazi wanapata kura na tutashangilia wote, kuna faida gani ya kupeana matumaini pasipo na matumaini??
Au umefikia level ya kuona leo hii mgombea wa chadema atakuwa threat kwa CCM huku kiongozi wenu shida salumu anasema JK forever!!