Domo Kaya
JF-Expert Member
- May 29, 2007
- 531
- 60
Waungwana ,
Naomba niiweke hii kitu hapa,ikiwa itabainika kwamba ni udaku basi naomba mods kwa ridhaa yangu waiweke kwenye udaku.
Kama wiki hii iliyopita nilisikia kwenye kipindi cha asubuihi Clauds FM wakimuulizia afande Kova,yaani haonekani pale kwenye maeneo yake aliyo jipangia kila asubuhi kuongoza magari pale kwenye taa za Saranda bridge (surrender bridge).
Baadae wiki hiyo nilipata habari kwamba afande Kova yuko Bagamoyo kwenye shughuli maarum ( msako wa kutafuta ngombe wa Muheshimiwa raisi walio ibiwa)
Wiki kabla ya hiyo,inasemekana watu wasio julikana waliingia shambani mwa muheshimiwa raisi maeneo ya mashamba ya Sanzale na kuiba Ngo;mbe takribani 30 mali ya muheshimiwa raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.kitendo kilicho sababisha afande kova kwenda kuongeza nguvu wa msako wa mifugo hiyo,kitendo kilicho sababisha watu takribani sabini kukamatwa kuhusiana na hilo.
Nikajiuliza kama ni kweli, je inchi hii kuna jeshi la polisi? kiasi cha kwamba mtu mkubwa kama raisi anaweza kuibiwa mifugo yake kweli hivi mali zangu mimi kabwela zitasalimika kweli?
Naomba niiweke hii kitu hapa,ikiwa itabainika kwamba ni udaku basi naomba mods kwa ridhaa yangu waiweke kwenye udaku.
Kama wiki hii iliyopita nilisikia kwenye kipindi cha asubuihi Clauds FM wakimuulizia afande Kova,yaani haonekani pale kwenye maeneo yake aliyo jipangia kila asubuhi kuongoza magari pale kwenye taa za Saranda bridge (surrender bridge).
Baadae wiki hiyo nilipata habari kwamba afande Kova yuko Bagamoyo kwenye shughuli maarum ( msako wa kutafuta ngombe wa Muheshimiwa raisi walio ibiwa)
Wiki kabla ya hiyo,inasemekana watu wasio julikana waliingia shambani mwa muheshimiwa raisi maeneo ya mashamba ya Sanzale na kuiba Ngo;mbe takribani 30 mali ya muheshimiwa raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.kitendo kilicho sababisha afande kova kwenda kuongeza nguvu wa msako wa mifugo hiyo,kitendo kilicho sababisha watu takribani sabini kukamatwa kuhusiana na hilo.
Nikajiuliza kama ni kweli, je inchi hii kuna jeshi la polisi? kiasi cha kwamba mtu mkubwa kama raisi anaweza kuibiwa mifugo yake kweli hivi mali zangu mimi kabwela zitasalimika kweli?