Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Wakati wa JK mfumo uliona Rushwa ilivyokithiri ukaona namna Mali za umma zinavyoliwa na watu wachache . Walimwona JK alivyo mwanasiasa mahiri lakini ambaye siyo mwepesi wa kusoMa sana na kwake yeye wasaidizi wake wanaweza wakafanya Kila kitu. Watu walimwona alivyokuwa busy kuzunguka Duniani kutafuta fursa lakini pia kuitangaza Nchi. Watu wa mfumo wakabaini akiondoka anakaimisha ofisi na watu wanapitisha mambo Yao. Wakabaini pia baba kanituma ni wengi n wanadanganya wametumwa kumbe awajatumwa.Zikapigwa zakutosha nyingine kupitia masandarusi; tuliambiwa Bungeni.
Mfumo ukasema huyu mtu adhuiliki, lazima hata kama ataki kusikiliza mfumo unamshauri VIPI lakini uwepo wa wesstle blowers unaweza kumkumbusha na kumwambia anaibiwa. Taarifa zikavujishwa kwenda Kwa akina Zitto, Slaa,Mbowe, Tundu na webgine wengi. Hawa watu Kwa uzalendo mkubwa wakazichakata na kuzipenyeza Bungeni. Spika akashtuka akataka zifanyiwe kazi akiamini wapinzani wanaipaka matope Serikali, Spika akiwa anajiamini hakuna na may be baada ya kumuliza JK nakuambiwa hao ni wapinzani wanatafuta kick akateua kamati za kibunge.
Acha weweee. ...watu wakaenda kupekua majalada nakuibuka na mambo lukuki. Kwa kuwa Mzee wa Msoga hakuwa mtu wa kujitwisha shida za watu ziangaike naye akatoa go ahead spika apokea taarifa na bunge lishauri. Huko ndipo Tanzania ikafahamishwa namna fedha za epa na escrow zilivyoliwa na watu wachache. Waliokula wakapigwa jambajamba wakaona Hali mbaya wakamrudia JK tumekosa Sisi, Mzee wa watu akawasamehe na kujitokeza adharani na kutamka hizo zilizopigwa siyo gfedha za umma. Mission accomplished
Wakati anasema hivyo JPM kimoyomoyo akawa anasali kimoyomoyo akiumia namna watu wanavyokwapua fedha za umma. Akatamani apewe masaa awashuguulikie, mara paap ugomvi ukampa upenyo akapewa bendera....maamaaaaaaa..
Alipoingia ikulu akujipa muda wa kutafakari sana, akatamani yeye awe serikali,Rais,Bunge na Mqhakama nadhani siyo Kwa kupenda Bali alitambua katika mihimili na vyombo anavyosimama hakuna uadilifu na upotoshaji ni mwingi. Akaamua ashike sekta zote atoe maamuzi yeye bila kujali usalama wa maamuzi yake Kwa ustawi wa Taifa.
Hapo ndipo mfumo ukabaini pamoja na mazuri yake tote anatakiwa afungwe speed govonor , wakawaita wazee na kuwaelekeza wamwone Mzee wampunguze speed la sivyo atapeleka Nchi shimoni. JPM akausoma upepo akatamka maneno ambayo yaliwafedheesha wastaafu wote ;alisema " Wapo wastaafu Sijui wazee wana washwawashwa" . Maneno haya yakabebwa na akina Hapi, Makonda na a like wakayabebea bango wazee wakawa wakisema wanaambiwa waache kuwashwa. Nadhani wazee wakaamua kujikalia Kimya wasikose pensheni.
Mfumo nadhani ulipobaini ukipenyeza mambo Yao Kwa upinzani ayatasikika Kwa sababu Nape alishafunga matangazo ya Bunge na vyombo vya habari vipo GIZANI wakamzalisha KIGOGO2014 wa tweeter akawa amejichimbia mizizi kwenye familia ya JPM au Kigogo akawa Moja ya mtu wa karibu wa JPM. Kigogo akaanza kutoa taarifa za mambo ambayo JPM amefanya na anategemea kufanya na taarifa zile zikawa za kweli.
Uwekezaji mkubwa ukafanyika kudukua watu wake wa karibu matokeo yake wakabainika akina nape, Januari ,Mzee makamaba na akina Kinana lakini wao wakabainika wanamdis Mzee akashughulika nao lakini Kigogo akaendelea kutoa za ndani ambazo unaweza kusema zilitoka Kwa wapishi. Mzee akawa anakimbizana huku lakini maovu na njama zake zikawa zinavuja. Kigogo akaenda Hadi Mzee anaondoka Duniani.
Baadaya kuondoka Kigogo akatuambia ipo Vita ya madaraka inafukuta tukadhani uongo Hadi tuliona mama Samia anasafisha nyumba na baada yakumaliza tu kudeki nyumba nadhani akaondoa na Kigogo bila yeye kujua amemwondoa Kigogo. Historia itabaki kumkumbuka Kigogo na mfumo utabaki kupongezwa Kwa KAZI kubwa la sivyo situation ingekuwa mbaya zaidi.
Mama ameingia madarakani anaupiga mwingi lakini Sasa kosa alilofanya nikuruhusu mfumo umwaminishe kwamba wabaya wake ni Chadema. Akaanza nao kumbe masalia ya JPM yapo nyuma yake; ameenda na kesi y Mbowe sasa imefika wakati Kila mtu anajiuliza CCM inanufaikaje na kesi hii? Mkakati huu unalenga kumnufaisha Nani? Kivipi?
Nadhani Sasa mama anapaswa kutambua mfumo unavyojizungusha zungusha kwa nia njema au mbaya. Anapaswa kuufanyia surprise mfumo kama alivyomsambaratisha kigogo bila kufahamu kwamba amemsambaratisha na Sasa taarifa za ikulu zipo salama naatuoni zikivuja.
Yawezekani kuna Jambo analiona kama Mkuu wa nchi lakini alione Kwa angle zote asije akaliona hivi wakati limetegeshwa hivi. JPm aliaminishwa Kigogo ni watu Wapo upinzani na siyo Wana CCM lakini Leo angeamka akajua kwamba mbio za Kigogo zimeishia ukingoni angejutia alivyotumia nguvu kupambana na maadui nje kumbe watoa sirianaambatana nao akiwalipa vizuri.
Vita hizi dawa yake ni haki na chanzo Cha haki ni Katiba.
Mfumo ukasema huyu mtu adhuiliki, lazima hata kama ataki kusikiliza mfumo unamshauri VIPI lakini uwepo wa wesstle blowers unaweza kumkumbusha na kumwambia anaibiwa. Taarifa zikavujishwa kwenda Kwa akina Zitto, Slaa,Mbowe, Tundu na webgine wengi. Hawa watu Kwa uzalendo mkubwa wakazichakata na kuzipenyeza Bungeni. Spika akashtuka akataka zifanyiwe kazi akiamini wapinzani wanaipaka matope Serikali, Spika akiwa anajiamini hakuna na may be baada ya kumuliza JK nakuambiwa hao ni wapinzani wanatafuta kick akateua kamati za kibunge.
Acha weweee. ...watu wakaenda kupekua majalada nakuibuka na mambo lukuki. Kwa kuwa Mzee wa Msoga hakuwa mtu wa kujitwisha shida za watu ziangaike naye akatoa go ahead spika apokea taarifa na bunge lishauri. Huko ndipo Tanzania ikafahamishwa namna fedha za epa na escrow zilivyoliwa na watu wachache. Waliokula wakapigwa jambajamba wakaona Hali mbaya wakamrudia JK tumekosa Sisi, Mzee wa watu akawasamehe na kujitokeza adharani na kutamka hizo zilizopigwa siyo gfedha za umma. Mission accomplished
Wakati anasema hivyo JPM kimoyomoyo akawa anasali kimoyomoyo akiumia namna watu wanavyokwapua fedha za umma. Akatamani apewe masaa awashuguulikie, mara paap ugomvi ukampa upenyo akapewa bendera....maamaaaaaaa..
Alipoingia ikulu akujipa muda wa kutafakari sana, akatamani yeye awe serikali,Rais,Bunge na Mqhakama nadhani siyo Kwa kupenda Bali alitambua katika mihimili na vyombo anavyosimama hakuna uadilifu na upotoshaji ni mwingi. Akaamua ashike sekta zote atoe maamuzi yeye bila kujali usalama wa maamuzi yake Kwa ustawi wa Taifa.
Hapo ndipo mfumo ukabaini pamoja na mazuri yake tote anatakiwa afungwe speed govonor , wakawaita wazee na kuwaelekeza wamwone Mzee wampunguze speed la sivyo atapeleka Nchi shimoni. JPM akausoma upepo akatamka maneno ambayo yaliwafedheesha wastaafu wote ;alisema " Wapo wastaafu Sijui wazee wana washwawashwa" . Maneno haya yakabebwa na akina Hapi, Makonda na a like wakayabebea bango wazee wakawa wakisema wanaambiwa waache kuwashwa. Nadhani wazee wakaamua kujikalia Kimya wasikose pensheni.
Mfumo nadhani ulipobaini ukipenyeza mambo Yao Kwa upinzani ayatasikika Kwa sababu Nape alishafunga matangazo ya Bunge na vyombo vya habari vipo GIZANI wakamzalisha KIGOGO2014 wa tweeter akawa amejichimbia mizizi kwenye familia ya JPM au Kigogo akawa Moja ya mtu wa karibu wa JPM. Kigogo akaanza kutoa taarifa za mambo ambayo JPM amefanya na anategemea kufanya na taarifa zile zikawa za kweli.
Uwekezaji mkubwa ukafanyika kudukua watu wake wa karibu matokeo yake wakabainika akina nape, Januari ,Mzee makamaba na akina Kinana lakini wao wakabainika wanamdis Mzee akashughulika nao lakini Kigogo akaendelea kutoa za ndani ambazo unaweza kusema zilitoka Kwa wapishi. Mzee akawa anakimbizana huku lakini maovu na njama zake zikawa zinavuja. Kigogo akaenda Hadi Mzee anaondoka Duniani.
Baadaya kuondoka Kigogo akatuambia ipo Vita ya madaraka inafukuta tukadhani uongo Hadi tuliona mama Samia anasafisha nyumba na baada yakumaliza tu kudeki nyumba nadhani akaondoa na Kigogo bila yeye kujua amemwondoa Kigogo. Historia itabaki kumkumbuka Kigogo na mfumo utabaki kupongezwa Kwa KAZI kubwa la sivyo situation ingekuwa mbaya zaidi.
Mama ameingia madarakani anaupiga mwingi lakini Sasa kosa alilofanya nikuruhusu mfumo umwaminishe kwamba wabaya wake ni Chadema. Akaanza nao kumbe masalia ya JPM yapo nyuma yake; ameenda na kesi y Mbowe sasa imefika wakati Kila mtu anajiuliza CCM inanufaikaje na kesi hii? Mkakati huu unalenga kumnufaisha Nani? Kivipi?
Nadhani Sasa mama anapaswa kutambua mfumo unavyojizungusha zungusha kwa nia njema au mbaya. Anapaswa kuufanyia surprise mfumo kama alivyomsambaratisha kigogo bila kufahamu kwamba amemsambaratisha na Sasa taarifa za ikulu zipo salama naatuoni zikivuja.
Yawezekani kuna Jambo analiona kama Mkuu wa nchi lakini alione Kwa angle zote asije akaliona hivi wakati limetegeshwa hivi. JPm aliaminishwa Kigogo ni watu Wapo upinzani na siyo Wana CCM lakini Leo angeamka akajua kwamba mbio za Kigogo zimeishia ukingoni angejutia alivyotumia nguvu kupambana na maadui nje kumbe watoa sirianaambatana nao akiwalipa vizuri.
Vita hizi dawa yake ni haki na chanzo Cha haki ni Katiba.