Kikwete alitamani kutuachia Katiba mpya lakini hakuweza. Ni wakati wa Samia kufanikisha hilo

Kikwete alitamani kutuachia Katiba mpya lakini hakuweza. Ni wakati wa Samia kufanikisha hilo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kila kusudi Lina wakati wake na ukifika ni lazima litimie.

Mzee Kikwete alitamani kutuachia Katiba Mpya Lakini Wakati Ule haukuwa na kusudi la Katiba Mpya ndio Sababu alipata Upinzani ndani ya chama chake.

Wakati tulionao sasa ndio wakati wenye kusudi la Katiba Mpya.

Rais Samia akitamani kuacha Katiba ya Wananchi ambayo haijawahi kuwepo na kuacha alama ya milele, Wakati huo ni sasa.

Ikumbukwe Tanganyika ilikopi Katiba ya Muingereza na tukaifanyia marekebisho 1977 kwa kuifanya iwe ya Tanzania.

Tutapata Baraka za Mungu wa mbinguni kama sisi wenyewe Kwa akili na Mikono yetu tutajiandikia Katiba.

Ahsanteni sana 😂
 
Kila kusudi Lina wakati wake na ukifika ni lazima litimie.

Mzee Kikwete alitamani kutuachia Katiba Mpya Lakini Wakati Ule haukuwa na kusudi la Katiba Mpya ndio Sababu alipata Upinzani ndani ya chama chake.

Wakati tulionao sasa ndio wakati wenye kusudi la Katiba Mpya.

Rais Samia akitamani kuacha Katiba ya Wananchi ambayo haijawahi kuwepo na kuacha alama ya milele, Wakati huo ni sasa.

Ikumbukwe Tanganyika ilikopi Katiba ya Muingereza na tukaifanyia marekebisho 1977 kwa kuifanya iwe ya Tanzania.

Tutapata Baraka za Mungu wa mbinguni kama sisi wenyewe Kwa akili na Mikono yetu tutajiandikia Katiba.

Ahsanteni sana 😂
“Akitaka” na wewe unaweka hopes kwa mwanasiasa?
 
Katiba mpya haileti ugali mezani.Ndio Maana hapo Kenya wana matatizo na shida kibao licha ya kuwa na katiba mpya.Watanzania kwa sasa katiba mpya siyo kipaombele chetu.tunahitaji kwa sasa Elimu bora yenye kuendana na mazingira na ulimwengu wa sasa ili kuweza kushindana katika soko la kimataifa,huduma bora za afya,miundombinu bora ,huruma bora na za uhakika za umeme,gharama nafuu za bidhaa muhimu ,ajira kwa vijana,mazingira rafiki ya kufanyia biashara,sera nzuri za kiuchumi na mengine mengi. Mambo ambayo ndio serikali ya CCM imekuwa ikifanya kila siku.

Mpigie simu Bibi yako mzaa mama yako au baba yako umuulize nini angependa umsaidie ama serikali imsaidie uone kama atasema habari za katiba mpya.
 
Katiba inayong'ang'aniwa haina baraka za wananchi, ni wahuni tu kadhaa wamekaa na kuamua kushinikiza ili ionekane km wananchi wote tunataka kuwa na katiba mpya.

Nina uhakika katika wananchi milioni 62, wanaotaka katiba mpya hawafiki hata milioni 5. Sasa kati ya milioni 57 na hiyo milioni 5 ni wapi kuna wananchi wengi?

Kuna mambo mengi ya kuyapambania km vile afya bora, miundo mbinu imara, elimu ya viwango vya kimataifa, nk lakini sio katiba... Hata ikija madudu yataendelea kuwepo tu. Angalia majirani zetu Kenya, pamoja na katiba yao mpya lakini misoto km kawa
 
Katiba mpya haileti ugali mezani.Ndio Maana hapo Kenya wana matatizo na shida kibao licha ya kuwa na katiba mpya.Watanzania kwa sasa katiba mpya siyo kipaombele chetu.tunahitaji kwa sasa Elimu bora yenye kuendana na mazingira na ulimwengu wa sasa ili kuweza kushindana katika soko la kimataifa,huduma bora za afya,miundombinu bora ,huruma bora na za uhakika za umeme,gharama nafuu za bidhaa muhimu ,ajira kwa vijana,mazingira rafiki ya kufanyia biashara,sera nzuri za kiuchumi na mengine mengi. Mambo ambayo ndio serikali ya CCM imekuwa ikifanya kila siku.

Mpigie simu Bibi yako mzaa mama yako au baba yako umuulize nini angependa umsaidie ama serikali imsaidie uone kama atasema habari za katiba mpya.
Halafu unasema umekwenda shule, labda ulienda kusomea upumbavu
 
Katiba mpya haileti ugali mezani.Ndio Maana hapo Kenya wana matatizo na shida kibao licha ya kuwa na katiba mpya.Watanzania kwa sasa katiba mpya siyo kipaombele chetu.tunahitaji kwa sasa Elimu bora yenye kuendana na mazingira na ulimwengu wa sasa ili kuweza kushindana katika soko la kimataifa,huduma bora za afya,miundombinu bora ,huruma bora na za uhakika za umeme,gharama nafuu za bidhaa muhimu ,ajira kwa vijana,mazingira rafiki ya kufanyia biashara,sera nzuri za kiuchumi na mengine mengi. Mambo ambayo ndio serikali ya CCM imekuwa ikifanya kila siku.

Mpigie simu Bibi yako mzaa mama yako au baba yako umuulize nini angependa umsaidie ama serikali imsaidie uone kama atasema habari za katiba mpya.
Hizo Suti unazovaa kama siyo mchakato wa Katiba Mpya uliowaibua Tulia na Makonda Leo usingevaa na usingewaroga kwa Sababu usingewajua 😂😂😂
 
Katiba mpya haileti ugali mezani.Ndio Maana hapo Kenya wana matatizo na shida kibao licha ya kuwa na katiba mpya.Watanzania kwa sasa katiba mpya siyo kipaombele chetu.tunahitaji kwa sasa Elimu bora yenye kuendana na mazingira na ulimwengu wa sasa ili kuweza kushindana katika soko la kimataifa,huduma bora za afya,miundombinu bora ,huruma bora na za uhakika za umeme,gharama nafuu za bidhaa muhimu ,ajira kwa vijana,mazingira rafiki ya kufanyia biashara,sera nzuri za kiuchumi na mengine mengi. Mambo ambayo ndio serikali ya CCM imekuwa ikifanya kila siku.

Mpigie simu Bibi yako mzaa mama yako au baba yako umuulize nini angependa umsaidie ama serikali imsaidie uone kama atasema habari za katiba mpya.
Ila wewe mtu ni mngese. Ugali unausemea una mea tu wenyewe..?
 
Katiba mpya inaogopwa.inaweza kuja na vipengele vipya ambavyo vinaweza sababisha 80% ya viongozi kushtakiwa.katiba mpya inaweza kuja na vifungu vitavyowanyima viongozi wa juu ulaji,na katiba mpya ikija ndio anguko la ccm Kwa maana suala la kuwa fair kwao ni mwiko,wiziwizi,ujanjaujanja...wakiamua kuwa fair according to katiba mpya basi ni anguko lao.
 
Katiba mpya haileti ugali mezani.Ndio Maana hapo Kenya wana matatizo na shida kibao licha ya kuwa na katiba mpya.Watanzania kwa sasa katiba mpya siyo kipaombele chetu.tunahitaji kwa sasa Elimu bora yenye kuendana na mazingira na ulimwengu wa sasa ili kuweza kushindana katika soko la kimataifa,huduma bora za afya,miundombinu bora ,huruma bora na za uhakika za umeme,gharama nafuu za bidhaa muhimu ,ajira kwa vijana,mazingira rafiki ya kufanyia biashara,sera nzuri za kiuchumi na mengine mengi. Mambo ambayo ndio serikali ya CCM imekuwa ikifanya kila siku.

Mpigie simu Bibi yako mzaa mama yako au baba yako umuulize nini angependa umsaidie ama serikali imsaidie uone kama atasema habari za katiba mpya.
If words could build walls......
 
Kila kusudi Lina wakati wake na ukifika ni lazima litimie.

Mzee Kikwete alitamani kutuachia Katiba Mpya Lakini Wakati Ule haukuwa na kusudi la Katiba Mpya ndio Sababu alipata Upinzani ndani ya chama chake.

Wakati tulionao sasa ndio wakati wenye kusudi la Katiba Mpya.

Rais Samia akitamani kuacha Katiba ya Wananchi ambayo haijawahi kuwepo na kuacha alama ya milele, Wakati huo ni sasa.

Ikumbukwe Tanganyika ilikopi Katiba ya Muingereza na tukaifanyia marekebisho 1977 kwa kuifanya iwe ya Tanzania.

Tutapata Baraka za Mungu wa mbinguni kama sisi wenyewe Kwa akili na Mikono yetu tutajiandikia Katiba.

Ahsanteni sana 😂
Kikwete hakutaka katiba mpya, yeye alifanya danganya toto na matokeo yake ndo haya. Ingawa sina hakika pia kwamba Samia anataka katiba mpya, kwani sioni dalili hizo. Akiwa muungwana anaweza kuikomboa Zanzibar kutoka katika makuche ya Tanganyika.
 
Kila kusudi Lina wakati wake na ukifika ni lazima litimie.

Mzee Kikwete alitamani kutuachia Katiba Mpya Lakini Wakati Ule haukuwa na kusudi la Katiba Mpya ndio Sababu alipata Upinzani ndani ya chama chake.

Wakati tulionao sasa ndio wakati wenye kusudi la Katiba Mpya.

Rais Samia akitamani kuacha Katiba ya Wananchi ambayo haijawahi kuwepo na kuacha alama ya milele, Wakati huo ni sasa.

Ikumbukwe Tanganyika ilikopi Katiba ya Muingereza na tukaifanyia marekebisho 1977 kwa kuifanya iwe ya Tanzania.

Tutapata Baraka za Mungu wa mbinguni kama sisi wenyewe Kwa akili na Mikono yetu tutajiandikia Katiba.

Ahsanteni sana 😂
Ka
Kila kusudi Lina wakati wake na ukifika ni lazima litimie.

Mzee Kikwete alitamani kutuachia Katiba Mpya Lakini Wakati Ule haukuwa na kusudi la Katiba Mpya ndio Sababu alipata Upinzani ndani ya chama chake.

Wakati tulionao sasa ndio wakati wenye kusudi la Katiba Mpya.

Rais Samia akitamani kuacha Katiba ya Wananchi ambayo haijawahi kuwepo na kuacha alama ya milele, Wakati huo ni sasa.

Ikumbukwe Tanganyika ilikopi Katiba ya Muingereza na tukaifanyia marekebisho 1977 kwa kuifanya iwe ya Tanzania.

Tutapata Baraka za Mungu wa mbinguni kama sisi wenyewe Kwa akili na Mikono yetu tutajiandikia Katiba.

Ahsanteni sana 😂
Katiba mpya haiwezi kupatikana leo wala kesho. Katiba ya Sasa ni kichaka Chao sahihi kwa ajili ya mambo yao na kujilimbikiza mali ambazo wao na familia zao watakula hadi miaka 200 ijayo.

Jambo lingine, Katiba inaendana na utamaduni. Huwezi kukimbilia Katiba ukaacha utamaduni nyuma. Utamaduni wetu ni viongozi kuwa Miungu Watu na kuhakikisha UTAWALA wa kitemi kama wa Mababu zetu huku wakiongoza watu kama mifugo, yaani watu wa kusema 'yes' kama katika kila wanaoambiwa.
 
Back
Top Bottom