Kikwete alitamani kutuachia Katiba mpya lakini hakuweza. Ni wakati wa Samia kufanikisha hilo

Kikwete alitamani kutuachia Katiba mpya lakini hakuweza. Ni wakati wa Samia kufanikisha hilo

Kila kusudi Lina wakati wake na ukifika ni lazima litimie.

Mzee Kikwete alitamani kutuachia Katiba Mpya Lakini Wakati Ule haukuwa na kusudi la Katiba Mpya ndio Sababu alipata Upinzani ndani ya chama chake.

Wakati tulionao sasa ndio wakati wenye kusudi la Katiba Mpya.

Rais Samia akitamani kuacha Katiba ya Wananchi ambayo haijawahi kuwepo na kuacha alama ya milele, Wakati huo ni sasa.

Ikumbukwe Tanganyika ilikopi Katiba ya Muingereza na tukaifanyia marekebisho 1977 kwa kuifanya iwe ya Tanzania.

Tutapata Baraka za Mungu wa mbinguni kama sisi wenyewe Kwa akili na Mikono yetu tutajiandikia Katiba.

Ahsanteni sana 😂
Kuna watu wanaandika makala unabaki kujiuliza kama wanamanisha wanachoandika au kejeli! Kikwete alianzisha kweli lakini akauuharibu makusudi.
 
Kila kusudi Lina wakati wake na ukifika ni lazima litimie.

Mzee Kikwete alitamani kutuachia Katiba Mpya Lakini Wakati Ule haukuwa na kusudi la Katiba Mpya ndio Sababu alipata Upinzani ndani ya chama chake.

Wakati tulionao sasa ndio wakati wenye kusudi la Katiba Mpya.

Rais Samia akitamani kuacha Katiba ya Wananchi ambayo haijawahi kuwepo na kuacha alama ya milele, Wakati huo ni sasa.

Ikumbukwe Tanganyika ilikopi Katiba ya Muingereza na tukaifanyia marekebisho 1977 kwa kuifanya iwe ya Tanzania.

Tutapata Baraka za Mungu wa mbinguni kama sisi wenyewe Kwa akili na Mikono yetu tutajiandikia Katiba.

Ahsanteni sana 😂
JK alikuwa na dhamira ya dhati kutuachia Katiba Mpya ila baadaye akatishwa na Benjamin Mkapa kuwa aachane kabisa na wazo hilo kwani Katiba mpya itaigharimu CCM madaraka na pia kuwa wapinzani hawatawaacha salama Marais wastaafu wote akiwepo yeye JK, hata ile speech aliyokwenda kutoa kwenye BMK ilandikwa na Ben. Sijui kwa nini walihofia kuwa watakwenda jela ikiwa upinzani utachukuwa nchi.
 
Back
Top Bottom