hakika historia ni somo zuri sana. huyo ndiye JK tunayemjua..... asingekimbia yangemtokea puani.
Ulikuwa hujazaliwa nini?...wewe umeambiwa fotokopi zimeanza lini?
Mkuu unaonyesha kichwa yako inamemory ndogo sana mpaka unakwenda kwa budget.
Naweza amini story kwa kuwa kuna mifano mingi ya Mkwere ambayo inaonyesha jamaa hakuanza fitna leo wala jana.
Yupo wapi Steven Mashishanga nenda kamuone morogoro mzee alivyochoka kwa kumsupport Sumaye wapi Philip Mangula katibu mkuu CCm kipindi cha mkapa hakumsupport JK sasa anaendesha baloon lililochoka Iringa, na wengi wa wanazuoni wanasema katika kosa alilofanya Mkwere CCM ni kumpiga chini Mangula mtu aliyeweza kudumisha nidhamu chamani.
Fuatilia stori ya Professa Mahalu na kesi yake ya ubadhirifu wa pesa kule ubalozini Italia na safari ya Kikwete Italy pindi Mahalu akiwa balozi na baada ya kikwete kurudi kesi ikashonwa ili kumkomoa Mahalu. so binafsi naweza amini kwani inaendana na visasi na fitna nyingi, ikumbukwe Kikwete alikuwa mkufunzi so maya be alidhani anaweza pandishwa cheo but hakufuata Military Chain of Command
Kuna vitu wakuu mnanifanya niwadharau kwani mnakosa kuwa na ile title inayosema nyie ni great thinkers.
ikiwa ni kweli basi hiyo ni sababu moja wapo Nyerere hafai kuwa kiongozi kwasababu si mzalendo na aliruhusu ufisadi uendelee.
Mwalimu aliweza kumshughulikia mpambe wake wa harusi (best man) na waziri wake wa nchi za nje, Oscar Kambona hadi akakimbia nchi kwa sababu ya tuhuma za ubepari. Nadhani suala la Sayore lilikuwa dogo sana kwake.
Sio hayo tu kafanya mengi sana hata kupora mademu wa rafiki zake enzi hizo kwa mzee mmoja maaeneo ya meada pub sinza..
Mkuu una ushaidi na hilo?let the man rest in peace Dude......Uwezi kupata umaarufu kwa kutoa a cheap crap like this.....Think Big Buddy!
Wakuu manjua kuwa JK ana ID humu ya ukweli tokea akiwa waziri enzi za Mkapa sio mzaha na bado huwa anaitumia mara kwa mara kweli JF kiboko mpaka muheshimiwa presidaa ni memba wake!
Nadhani hapa tunazungushana maneno tu; si kuna profesa aliyeandika biography ya JK hivi karibuni na inaonekana ni kama official biography? Hakuna mtu mwenye hicho kitabu ambaye anaweza kutuambia inasemwa nini kuhusu kuondoka kwa JK Monduli?
Labda uangalie CV yake hapa chini....nadahni alipata demotion 1986...pengine kwa sababu hiyo
2005-???? President,URT
1995-2005Minister for Foreign Affairs and International Cooperation
1995-2005Member of Parliament for Chalinze Constituency
1994-1995 Minister for Finance
1990-1995 Member of Parliament for Bagamoyo Constituency
1990-1994 Minister for Energy, Minerals and Water Development
1988-1990Deputy Minister for Energy and Minerals
1986-1988 Nachingwea and Masasi Districts (CCM) District Secretary
1983-1986 Political Commissar Tanzania Military Academy in Monduli
1981-1983 Tabora CCM Regional Secretary
1980-1981Administrative officer CCM Headquarters
1977-1980 Deputy Secretary of CCM, Zanzibar
1976-1977Singida Regional Secretary of TANU
1975-1976Deputy Regional Secretary of Tanganyika African National Union (TANU) in Singida
jk alikuwa shushushu ndani ya jeshi so alikuwa na uwezo wa kutuma ripot kwa rais kwa mujibu wa cheo chakehaiingii akilini mtu sijui kapteni wa jeshi aandike barua kwa rais hahahaha bado sana!!!