Nadhani hapa tunazungushana maneno tu; si kuna profesa aliyeandika biography ya JK hivi karibuni na inaonekana ni kama official biography? Hakuna mtu mwenye hicho kitabu ambaye anaweza kutuambia inasemwa nini kuhusu kuondoka kwa JK Monduli?
Labda uangalie CV yake hapa chini....nadahni alipata demotion 1986...pengine kwa sababu hiyo
2005-???? President,URT
1995-2005Minister for Foreign Affairs and International Cooperation
1995-2005Member of Parliament for Chalinze Constituency
1994-1995 Minister for Finance
1990-1995 Member of Parliament for Bagamoyo Constituency
1990-1994 Minister for Energy, Minerals and Water Development
1988-1990Deputy Minister for Energy and Minerals
1986-1988 Nachingwea and Masasi Districts (CCM)
District Secretary
1983-1986
Political Commissar Tanzania Military Academy in Monduli
1981-1983 Tabora CCM
Regional Secretary
1980-1981Administrative officer CCM Headquarters
1977-1980 Deputy Secretary of CCM, Zanzibar
1976-1977Singida Regional Secretary of TANU
1975-1976Deputy Regional Secretary of Tanganyika African National Union (TANU) in Singida