Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko

Ndiomaana ya kufukua makaburi, pia kumbuka wapo wasio kuanayo mkuu
Mkuu sina lengo baya unajua mods wapo faster kuunganisha nyuzi zinazofanana nilikua nakukumbusha tu hilo.

sent from kuzimu
 
Makaburi kama haya yanamwitaji
"The undertaker" .
Naomba niombe kauli kwa bibie FaizaFoxy. Kama atakua na lolote LA kuchangia hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baadaye Kikwetu alichaguliwa kuwa Rais,
Tupe yatokanayo.
Uhusiano wa Sayore na Kikweti wakati wa Urais wake ulikuaje?
 
Wakuu:
Hii inawezekana kuwa ni riwaya.
Afisa yeyote wa jeshi (commissioned/non commissioned) hana mamlaka ya kuwasiliana na CiC pasipo na kupitia kwa CDF vinginevyo ni kukiuka sheria. Lakini sio mbaya kuisoma riwaya hii.
 
Kikwete kapumzika mwacheni mzee wetu. Nyie pambaneni na pombe zenu.

Sukari Yenu
 
Wakuu:
Hii inawezekana kuwa ni riwaya.
Afisa yeyote wa jeshi (commissioned/non commissioned) hana mamlaka ya kuwasiliana na CiC pasipo na kupitia kwa CDF vinginevyo ni kukiuka sheria. Lakini sio mbaya kuisoma riwaya hii.
Sawa Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…