Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko

Hapo umeongea uongo maana hujui kitu kuhusu JK na uwepo wake Monduli.
 

Duu hii ya muda Mrefu sana ila Copy na Paste somewhere
 
Weka picha akiwa anatembea porini

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha. Mkuu hizi riwaya ndizo zimewapa watu km akina pasco ulaji, na wapuuzi wengine km yule masalia aliepewa ukatibu mkuu.Kudanganya watu kuwa ni manguli wa issues na historia ya nchi. Hi nchi ndio maana shigongo anakula bata,na wenzie km akina clouds.
 
Duuh mie mhenga ila hiyo najaribu kuvuta hisia japokuwa mama yangu alikuwa Personal secretary wa enzi hizo za typewriter
Nilijifunza manual typewriter wakati nilisubiri majibu ya form four ni kama kuwndesha gari you never forget it. Ni ujuzi ulionisaidia sana katika maisha
 
Sio kweli. Lt Gen Sayore angewandikia mashitaka kwa utoro. Kuondoka bila ya ruhusa. Jamani Gen alikuwa ataniwi at a siku moja. Angeshafika mahakama ya kijeshi. Hayo ni maneno tu.
 
Lakini alipataje uafisa bila kufaulu au pale alikuwa ameshakuwa afisa labda akawa ameenda kujiendeleza tu
 
kIPINDI HICHO KULIKUWA NA FOTOKOPI MASHINE KWELI?
Kulikua na mashine analog (manual) za kutolea nakala. Zinajuolikana kama "duplicator", wengine wanaita "stencil". Zinatumika vijijini ambako hakuna umeme kwa sasa
 
Hizo barua so zilitolewa nakala nyingi ingependeza angalau ingewekwa nakala moja humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…