Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko

Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko

..JF kunapatikana kila data..!niliwahi kusema humu, na nina rudia tena historia za watu zinawafanya wawe hivyo walivyo...ndicho ninachoamini.

wakati Baba wa Taifa anasema JK ni 'MDOGO' wengi wakadhani ni udogo wa miaka!!! ...kumbe inaelekea ulikuwa ni wa 'upstairs' na matokeo ya kauli ya mwalimu hakuna mwenye haja ya kuuliza baada ya miaka 5 na siku kama 130 hivi za kile anachofanya! Kazi ipo!
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiikwepa kusoma hii thread kumbe in uhalisia wa hali ya juu sana kwa huyu mkwere rais mshamba asiyejuya kwa nini tz ni masikini akijua ni masikini kwa sababu mojawapo ya yeye,lowasa na rostamu kuingia madarakani na kujitengenezea kampuni hewa ya richmond na kujichotea 152,000,000 kila siku.............
Ila nimechukia sana pale kwenye hitimisho kuwa eti mpaka sasa kikwete hataki kumwita mwalimu baba wa taifa???.....haka kajamaa hakafai kabisa ndio maana kanapandikiza watz udini ili kafaidi damu za kafara watz wakianza kuuana

dunia bila uislamu ingekuwa salama sana
 
hearsay and gossip. fotokopi monduli miaka ya 70 wadanganyika bana!

inaonyesha wazi wewe umekutana na photocopy kwa mara ya kwanza enzi za kituo cha mabasi bado kiko kisutu, pata nondo kidogo


History

The first widely used copy machine for offices was invented by James Watt in 1779.[3] It relied on physically transferring some of the (specially formulated) ink from an original letter or drawing to a moistened thin unsized sheet of paper by means of a press. The copy could then be read from the obverse side. The system was a commercial success and was in use in for over a century.
In 1937, Bulgarian physicist Georgi Nadjakov found that, when placed into an electric field and exposed to light, some dielectrics acquire permanent electric polarization in the exposed areas.[4] That polarization persists in the dark and is destroyed in light.
Chester Carlson, the inventor of photocopying, was originally a patent attorney, as well as a part-time researcher and inventor. His job at the patent office in New York required him to make a large number of copies of important papers. Carlson, who was arthritic, found this to be a painful and tedious process. This motivated him to conduct experiments with photoconductivity. Carlson used his kitchen for his "electrophotography" experiments, and, in 1938, he applied for a patent for the process. He made the first photocopy using a zinc plate covered with sulfur. The words "10-22-38 Astoria" were written on a microscope slide, which was placed on top of more sulfur and under a bright light. After the slide was removed, a mirror image of the words remained. Carlson tried to sell his invention to some companies, but failed because the process was still underdeveloped. At the time, multiple copies were most commonly made at the point of document origination, using carbon paper or manual duplicating machines, and people did not see the need for an electronic machine. Between 1939 and 1944, Carlson was turned down by over 20 companies, including IBM and General Electric—neither of which believed there was a significant market for copiers.
In 1944, the Battelle Memorial Institute, a non-profit organization in Columbus, Ohio, contracted with Carlson to refine his new process. Over the next five years, the institute conducted experiments to improve the process of electrophotography. In 1947, Haloid Corporation (a small New York-based manufacturer and seller of photographic paper) approached Battelle to obtain a license to develop and market a copying machine based on this technology.
Haloid felt that the word "electrophotography" was too complicated and did not have good recall value. After consulting a professor of classical language at Ohio State University, Haloid and Carlson changed the name of the process to "xerography," which was derived from Greek words that meant "dry writing." Haloid called the new copier machines "Xerox Machines" and, in 1948, the word "Xerox" was trademarked. Haloid eventually changed its name to Xerox Corporation.
In 1949, Xerox Corporation introduced the first xerographic copier called the Model A.[1] Xerox became so successful that, in North America, photocopying came to be popularly known as "xeroxing." Xerox has actively fought to prevent "Xerox" from becoming a genericized trademark. While the word "Xerox" has appeared in some dictionaries as a synonym for photocopying, Xerox Corporation typically requests that such entries be modified, and that people not use the term "Xerox" in this way. Some languages include hybrid terms, such as the widely used Polish term kserokopia ("xerocopy"), even though relatively few photocopiers are of the Xerox brand.
In the early 1950s, Radio Corporation of America (RCA) introduced a variation on the process called Electrofax, whereby images are formed directly on specially coated paper and rendered with a toner dispersed in a liquid.
During the 1960s and through the 1980s, Savin Corporation developed and sold a line of liquid-toner copiers that implemented a technology based on patents held by the company.
Prior to the widespread adoption of xerographic copiers, photo-direct copies produced by machines such as Kodak's Verifax were used. A primary obstacle associated with the pre-xerographic copying technologies was the high cost of supplies: a Verifax print required supplies costing USD $0.15 in 1969, while a Xerox print could be made for USD $0.03 including paper and labor. At that time, Thermofax photocopying machines in libraries could make letter-sized copies for USD $0.25 or more (at a time when the minimum wage for a US worker was USD $1.65).
Xerographic copier manufacturers took advantage of a high perceived-value of the 1960s and early 1970s, and marketed paper that was "specially designed" for xerographic output. By the end of the 1970s, paper producers made xerographic "runability" one of the requirements for most of their office paper brands.
Some devices sold as photocopiers have replaced the drum-based process with inkjet or transfer film technology.
Among the key advantages of photocopiers over earlier copying technologies are their ability:
to use plain (untreated) office paper,
to implement duplex (or two-sided) printing, and
eventually, to sort and/or staple output.
[edit]Color photocopiers
Colored toner became available in the 1950s, although full-color copiers were not commercially available until 3M released the Color-in-Color copier in 1968, which used a dye sublimation process rather than conventional electrostatic technology. The first electrostatic color copier was released by Canon in 1973.
Color photocopying is a concern to governments, as it facilitates counterfeiting currency. Some countries have incorporated anti-counterfeiting technologies into their currency specifically to make it harder to use a color photocopier for counterfeiting. These technologies include watermarks, microprinting, holograms, tiny security strips made of plastic (or other material), and ink that appears to change color as the currency is viewed at an angle. Some photocopying machines contain special software that can prevent copying currency that contains a special pattern.

source;wikipedia
 
jk alikuwa shushushu ndani ya jeshi so alikuwa na uwezo wa kutuma ripot kwa rais kwa mujibu wa cheo chake

Kama alikuwa shushushu mbona ripoti au barua yake haikufanyiwa kazi na Mwalimu?Kama mtu amekutuma ni lazima umpe taarifa na aifanyie kazi. Huyu Mkwere ilikuwa kimbelembele chake tu ili yeye apewe hiyo nafasi.
 
kumbe ana kila sababu ya kutomita nyerere baba wa taifa.Mzee alimshika pabaya
 
Wabongo kwa kupenda majungu, sasa kisa hicho kitawasaidia nini hata kama ni kweli.

1. Kinadhihirisha mwendo mdundo wa fitina za CCM hadi kwa mwenyekiti'
2. Niliamini mwenzetu kushika ofisi kubwa kutambadirisha tabia za fitina kumbe katuingiza mkenge ni tabia yake haina tiba.
3. Kama wewe unatupachika upenda majungu na huku unasema hata kama ni kweli basi wewe unayatambua majungu ambayo ndicho chungu cha fitina zenyewe, tofauti ni kwamba unahalalisha majungu na fitina JK, na fitina za Chama la Magamba kupotosha umma juu ya utaasisi wa failure za CCM kwa sababu umma umewagundua kuwa ni watu wa majungu na fitina kwa watu wanoitetea nchi hii.

Nimejibu hivi kwa sababu mbili, kwanza kwa sababu ya ukweli wa thread wa fitina za JK, pili kwa sababu michango yako mingi humu ni utetezi wa ambao hauendani na ukweli halisi. Kifupi kisa hiki ni elimu kwa wasiomfahamu vizuri JK. Pili ni aibu kwa wana CCM wote kukumbatia fitina kwa vitendo kwa kuwa na mwenyeketi wa kifitina fitina.

1. Asingechaguliwa 2005 alitishia kuingia upinzani mkaufyata
2. Akamfitini Bilali hadi umauti ukampata baada ya kumfanikishia dili la EPA kwa ajiri uchaguzi wake.
3. Shoga yake EL kesha mfitini NEC na CC
4. Orodha ni ndefu. Kifupi mfitini si mtu mzuri

ANGALIA TULIVYO NA MAISHA MAGUMU KWA SASA HAPA TANZANIA. NiI matokeo ya FITINA za mtu anayeishi magogoni (JK). Mfitina anataka yeye tu.
 
NIMESOMA COMMENT ZOTE MWANZO MPAKA MWISHO

I FEEL SO COLD

KUMBE TATIZO NI KUBWA KULIKO NILIVYOFIKIRIA MWANZO

hii ya jk kutomuita mwalimu baba wa taifa nitaifuatilia kwenye hotuba zake

nayeye kupelekwa wilayani kuwa KAMISAA wa siasa kutoka monduli kuna mengi ya kujiuliza
hakuna mzee(mwanajeshi) wa zama jasiri kutumwagia ukweli wa haya mambo

 
hahahahaha! Hiki kisa ni noumer! Jk simpatii picha!
 
Mzee Sayore namfahamu vizuri,ni mtu asiependa upumbavu..Na ni kweli ni mkulima mkubwa ana mashamba makubwa maeneo ya lokisale mkoa wa manyara
 
aah, wengi tunamjua kwa nje!!lakin hiki kidingi kina mambo mengi
 
Hii kitu tunaweza kupima kama ni kwel au uongo waandishi wa habari c mpo humu jf twambien jk hajawahi kusema BABA WA TAIFA tusaidiane
 
Jamani kama mnakumbuka ilishakuja thread ya Kikwete na monduli sio siku nyingi sana na nilicomednt kuwa hakustaafu ila alikimbia, it true story
and frankly i got the info from my father who is a friend and neighbour of Gen. Sayore,

BIG UP mwanzisha sredi.
 
Ni maelezo mazito sana haya na vijidoti vingi sana kuweza kuunganika tangu Monduli, Lindi hadi Butiama wakuu!!!!!!!!!!!!

Mzizi wa Mbuyu;1667451]Kipindi hicho mkuu wa chuo alikuwa Gideon Sayore, Kikwete alikuwa ni mmoja wakufunzi wa siasa chuoni hapo.

... lakini yeye hakujali, cha muhimu ilikuwa kusalimisha maisha yake......

Basi huo ndiyo ukawa mwisho wa JK Monduli,........... hukurudi akaja Dar na kupangiwa kazi nyingine na chama... lakini alikuwa anamlaani sana Nyerere eti kwanini alimfanyia vile!!

Hicho ndicho chanzo cha JK kumchukia mwalimu na kugoma katakata kumwita baba wa taifa hadi leo! Yeye humwita mzee Nyrere tu au mwalimu baasi...na mara chache akiwa nje ya nchi humwita 'Father of our Nation', lakini ni pale anapotaka kupigiwa makofi kwa nukuu za Mwalimu....

**Ndugu zangu hiki ni kisa cha ukweli kwa 100%, inawezekana uandishi wangu ukawa na upungufu, lakini niemekipata kutoka watu mbalimbali waliowahi kuwa karibu sana na mkasa huu...
 
<br />hen nchi iliendeshwa kiujamaa? Reply Report Post ral 15:55 25th February 2011
Jamani kama mnakumbuka ilishakuja
thread ya Kikwete na monduli sio siku
nyingi sana na nilicomednt kuwa
hakustaafu ila alikimbia, it true story
and frankly i got the info from my father who is a friend and neighbour
of Gen. Sayore, BIG UP mwanzishredi

READING THIS THREAD FOR A SECOND TIME AND OF INTEREST IS THE QUOTED CONTRIBUTION THAT I AM SURE MANY READERS MISSED CAUSE IT WAS AY THE END OF A STORY COVERING FOTOCOPYING MACHINES
 
Back
Top Bottom