nimekuwa nikifutilia ziara za kikwete za kampeni,amekuwa na akina yohana wabatizaji wake(wasafisha njia na washeheshaji kabla hajahutubia),dokii,flora mbasha,hafsa kavinja,na wanakati haswa kwa lengo la kuwaburudisha watu kabla hajaanza kutoa hotuba yake ya dakika kumi juu ya ccm dume la mbegu,vyama vingine ni photocopy,wanaopata mimba na ukimwi ni viherere vyao na mipasho mingine,hapa huwa najiuliza hao wanakatika kana kwamba hili taifa halipo msiobana wameahidiwa nini na kikwete?