Elections 2010 Kikwete ampigia debe Mramba!




PayGod na wana JF tunaweza pata video clip ya JK akimpigia kampeni MRAMBA na LOWASA tutengeneze advert kwenye media ili kuwaonyesha watanzania ndoa ya JK na mafisadi anaodai amewashughurikia na ana nia thabiti ya kupambana na RUSHWA?

please mwenye video clip ya Rombo na leo monduli tafadhali sana tuwekee ili tuifanyie kazi wazalendo
 
Mkuu hili litakuwa bonge la Ad yaani Chadema wakiweza kuonyesha video clip za JK akiwapigia debe Mpamba na Lowassa inatakuwa safi sana...
 



Ndugu ichondi na wana JF tunaweza pata video clip ya JK akimpigia kampeni MRAMBA na LOWASA tutengeneze advert kwenye media ili kuwaonyesha watanzania ndoa ya JK na mafisadi anaodai amewashughurikia na ana nia thabiti ya kupambana na RUSHWA?

please mwenye video clip ya Rombo na leo monduli tafadhali sana tuwekee ili tuifanyie kazi wazalendo
 
nina wasiwasi na upstairs ya rais wangu ,hii imenisikitisha sana kuliko.
 
..nimesoma magazetini kwamba kesi imepangwa kuendelea kusikilizwa mpaka baada ya uchaguzi.

..JK alijigamba kwa kuwapeleka watuhumiwa wa ufisadi mahakamani. sasa JK huyohuyo anawapigia kampeni washinde uchaguzi.

..kitu cha kushangaza ni kwamba suala la JK kumpigia kampeni Mramba halijawa big deal ktk media zetu. kwenye nchi za wenzetu suala kama hili halivumiliki kabisa.
 

wazee tusiwe tunaandika tu na kulalama inabidi tuchukue action sasa hivi nitumieni clip mimi nitai develop na kutengeneza tv advert then tuwatumie chadema walipie itv irushwe hewani, we need to tie jk with this issue, seriously hawezi kusema jangwani hiki then rombo anakwenda fanya tofauti and the guy walk free bila hata media kumulika huo udhaifu

 
Kikwete ni mtu wa ajabu anazunguka dunia nzima na hata ndani ya tzn akitamba kuwa anawashugulikia mafisadi na mifano yake mikubwa anayoitumia ni kitendo ch serikali yake kumfikisha mahakamani mramba na wenzake, leo tena mtu yuleyule aliyesema anakomesha mafisadi hakina mramba anasimama anauambia ulimwengu kumchagua mramba kuwa kiongozi wetu hii inadhiriisha wazi jinsi jk alivyomnafiki na laghai. Sasa tumuamini jk yupi anayesema ukweli, aliyesimama na kuwafikisha mahakamani mramba na wenzake akiwatuumu kwa wizi au jk aliyesimama rombo akituambia tumchague mramba kwamba ni kiongozi mzuri na imara????.
 

Tunamshukuru Mzee Mtei kwa kutoa somo la nguvu. Naona hali sasa iko hivi:

(1) Serikali ya Kikwete ilikuwa na ushahidi wa kutosha ndio maana ilimpeleka Mramba mahakamani. Imemwachia kwa dhamana. Kutokana na kuhofia anaweza kukimbia, ikachukua vyeti vyake vya kusafiria na kumwekea mipaka ya anakoweza kwenda.

(2) Mramba bado hajapatikana na hatia, lakini waliomshtaki, yaani Kiwete na serikali yake, waliamini ana hatia. Kwa vingine hawangempeleka mahakamani. Mwendesha mashtaka anafanya kazi chini ya uongozi wa Rais. Sijui atafanyaje sasa baada ya Rias kusema kesi ni ndogo na mshtakiwa atashinda!

(3) Rais Kiwete kusema kesi ni ndogo na mtuhumiwa atashinda ni kitu cha ajabu sana. Kwanza ni contempt of court. Pili kesi ndogo ingemweka Waziri wa zamani rumande siku zote hizo? Kesi ya jinai, inayohusu Taifa kupoteza shilingi bilioni 12 ni "ndogo" kwenye macho ya Rais Kikwete? Has he lost touch with reality?

Ni vema sana wananchi wa Rombo wakampa mgombea wa ubunge wa CHADEMA kura zao. Wamchague Slaa vile vile ili akishachukua nchi tuchunguze hata hizi kesi ndogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…