Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikwete anaonekana hivyo probaby kwa sababu ya BPV.
Uandishi gani huu....kwanini usiandike kwa kirefu hiyo BPV kama umeintroduce kwa mara ya kwanza? Mzee hujaandika thesis? hahahahahah
Hifanani sana na chuma maana hata alipokwenda kumwona Obama white house alionekana hivyo, sasa kweli aliruhusiwa kuingia ikulu ya marekani na chuma?? I doubt it!
Huyu anahitaji msaada!Bruray huwaita wana half a birdbrain! Si kubeba lichuma nadhani wanaimanisha mazoezi!
Bluray, Tanzania nchi ya amani hiyo Bullet Proof Vest ya nini?
Picha hazionekani, blogspot hawaruhusu kufyonza picha zao.
Kikwete anaonekana hivyo probaby kwa sababu ya BPV.
Hata avae gunia si mwili wake mwenyewe . Mkapa alipokuwa Raisi mlikuwa kimyaa na lile jifua lake na shingo ya mzee wa meza . Hamkusema kitu.
Au kwa sababu ni ........
Hata avae gunia si mwili wake mwenyewe . Mkapa alipokuwa Raisi mlikuwa kimyaa na lile jifua lake na shingo ya mzee wa meza . Hamkusema kitu.
Au kwa sababu ni ........
Haifanani sana na chuma maana hata alipokwenda kumwona Obama white house alionekana hivyo, sasa kweli aliruhusiwa kuingia ikulu ya marekani na chuma?? I doubt it!