We acha ujinga wewe, ulifikiri wafanyakazi wa karne hii ndio wale wa karne za mwl, we hata husomi mambo ya wakati, hivi mfanyakazi mwenye akili wanaweza kukaa pale jangwani wakachomwe na jua kumsikiliza mtu kama JK, ule umati ulikuwa umejaa jobless kama kawa, na yule bibi nae ni mfanyakazi na wale watoto na wapiga debe na mama ntilie ni wafanayakazi? Acha unani hii wako wewe mwaka huu utajua kwamba wafanyakazi ni wa kina nani.