The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Kwa taarifa yako TRA wanasema kwamba hawatambui hicho kima cha chini cha msahara wa Tshs 260,000/= bali Tshs 135,000/=. Hivyo wafanyakazi wameuziwa mbuzi kwenye gunia.
Mzee, TRA si wanalipaji mishahara ya wafanyakazi wa serikali bali ni wizara ya fedha??