Kikwete anunuliwa na wamarekani?

ehh me nlijua nchi yetu ishauzwa bado li ikulu na watu wake...kumbe na kiongozi wetu nayeeee???ehh bado kidoogoo na watz tutaanza pangiwa price zetu.....
cha msingi ni je tujiulize as watz.do we really need that base?n if we dont need it why should we have it?
 
Invisible..ban this sorry piece of doo doo. Remember VRS, Jokofu Kiwete...? Well, he's back again....if you don't believe me...wait and see.

Is this all what little dwarf monkeys can contribute in some serious discussion about an issue of potentially major geopolitical significance inside and outside the country? In case you aren't familiar with the saying "One monkey don't spoil no show"... then you better ask somebody!
 

Duh..halafu nasikia watu wananiambia Tanzania imeendelea...inakuwaje tena tuna wakina Masaka wenye mawazo kama haya..!!!
 
Yet another excuse to indulge in your mindless infatuation with Kikwete. Its "Kikwete this...Kikwete that..." every freakin' single day!!

Is this all what a little feminine girly man can contribute in some serious discussion about an issue of potentially major geopolitical significance inside and outside the country? In case you aren't familiar with the saying "Queer eye for the homo guy"... then you better aks somebody!
 
Nyani umemwita feminine girly man????naomba nijulishwe faida za maana za kuwa na hiyo base wajimini serious ones tuachane na haya ya wakijenga watatuletea fweza sijui services n.k yani tushindwe kujiletea maendeleo tutegemee tuletewe yoote tuu??basi hata osama akiomba ajenge kituo cha alqaeda apewe ruhusa as long as atatuletea barabara,umeme,maji n other services karibu na kituo chake!
tujaribu kuona mbali jamani sio kukimbilia kukubali mambo yatuleteayo faida kidogo kwa muda mfupi na hasara nyingi kwa muda mrefu
 
Ebu someni hii article ya:
13th November 2007, 06:56 PM
Re: Mazungumzo ya Kikwete,Bush yakera Wakenya

US huwa hawabahatishi na wala hawafanyi Jambo kwa pupa. Ewe mtanzania. Samahani Ewe mdanganyika, inua macho, tazama mbele usome alama za nyakati. Unaandaliwa kuwa kituo cha kijeshi cha hao mafedhuri (US). Mkuu wa kaya ya Wadanganyika, kwa sifa ya asili ni lazima awe mdanganyika. Na ndivyo alivyo. Hebu jiulize hii ni ni trip ya ngapi Marekani? Akienda hupewa nini cha kusaidia wadanganyika? Je Marekani inasaidia Danganyika kuliko EU na China? Huko kaenda mara ngapi? Alikwenda kwa mwaliko wa Grumet Fund akauza Serengeti. Natumaini sasa hakuna mdanganyika anaweza bisha maana tayari mambo yako wazi. Anakwenda tena next week kuuza..... sisemi ili nione kama usalama wa taifa wanafuatilia thread hii na kama watamtonya aghaili.
 

Yes, he is very girly. Very feminine. Very moody like she's going through menopause...hormone replacement therapy might work...
 
Yes, he is very girly. Very feminine. Very moody like she's going through menopause...hormone replacement therapy might work...

Mh...mh.. no..no - that is danger of causing breast cancer. You don't want no replacement nothing.
 
Ebu someni hii article ya:
13th November 2007, 06:56 PM
Re: Mazungumzo ya Kikwete,Bush yakera Wakenya

US huwa hawabahatishi na wala hawafanyi Jambo kwa pupa. Ewe mtanzania. Samahani Ewe mdanganyika, inua macho, tazama mbele usome alama za nyakati. Unaandaliwa kuwa kituo cha kijeshi cha hao mafedhuri (US). Mkuu wa kaya ya Wadanganyika, kwa sifa ya asili ni lazima awe mdanganyika. Na ndivyo alivyo. Hebu jiulize hii ni ni trip ya ngapi Marekani? Akienda hupewa nini cha kusaidia wadanganyika? Je Marekani inasaidia Danganyika kuliko EU na China? Huko kaenda mara ngapi? Alikwenda kwa mwaliko wa Grumet Fund akauza Serengeti. Natumaini sasa hakuna mdanganyika anaweza bisha maana tayari mambo yako wazi. Anakwenda tena next week kuuza..... sisemi ili nione kama usalama wa taifa wanafuatilia thread hii na kama watamtonya aghaili.
 

Unajua kule misitu ya Kongo ninakotokaga nyani jike mwenye mimba kama huyu ni mboga ya kila siku tu. Huwa tunatungua kwa manati halafu tunamkausha kwenye mafiga ya moto hadi vinywele vyote vinateketea halafu nyama inakuwa tayari kuliwa au kuuzwa sokoni. Mama analiwa na kichanga chake: hii ndiyo staili ya Bakongo!
 

Dalili ya kudata hii!! Sasa hiyo nukuu yako inahusiana vipi na utumbo ulioandika? Una miaka 40 lakini una akili ya katoto ka darasa la saba. Some things never change...
 

Kulikuwa na fununu kwamba hii base itakuwa Rwanda! Na deal ni kwamba baada ya marekani kuanzisha base hiyo basi Rwanda itakuwa duty-free ambapo Rwanda inakuwa dubai ya Afrika mashariki na kati !
 
kwa speed hii waTz bado kitu gani hakijauzwa?bahari ya Hindi hapo wamepewa watu gani?au ndo wamepewa wa USE waje wajenge hiyo base chini ya maji?????as naona ka hadi raisi keshanunuliwa basi kila kitu kishapigwa bei tuu kwenye mnada bado wenye mali kuja chukua na tumia mali zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…