Kikwete awaachia huru Polisi waliomuua Jenerali Kombe

Usiku huu ikulu imepinga hizi kauli kuwa hajawaachia huru hao watuhumiwa wala kupunguziwa adhabu
 
zile za kuhukumiwa maisha cjui nn ni geresha 2 ile mipango ilikuwepo kabla hata hawajakamatwa sema kupotezea maboya ndio ivo ikawa ..... ila kama kweli jamaa ana moyo safi angewaachia wa kina babu seya ambao hawana hata hatia
 
Tui naomba amfanyie hivyo hivyo Babu seya na wanae
 
sijawahi kusikia mtu akimsifia JK.Always kumlaumu kwa maamuzi yake.Why???????????????
 
Eti
 
Dah

Katika majenerali wanaoniuma roho ni huyu marehemu Luteni jenerali Imran Kombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…