Tangu lini mkwere akawa siriaz!!! Tumeamua kulikoroga basi tulinywe. Serekale itaendelea kuwa ya kishikaji!!!! Hata kama watu wataendelea kuichukia CCM. Washkaji lazima wawepo kwenye temu: Akina Masha, Kamala, Buriani na vigogo wengine mtawasikia!!!! Malalamiko yenu yeye hayamuhusu!!!Watajijua watakaokuwa CCM wakati huo.