tuache udini wana jf au la sivyo tutashindwa kujadili mambo muhimu ya kuendeleza taifa letu. Je unamjua salim ahmed salim ni mwislam lakini cv yake inatufurahisha wote an dunia yote pamoja na kuwa wao wanzanzibar hawamtaki. Tusichokitaka hapa ni kuteua mradi kuteua watu ambo ni nonperformers kama huyo prof kafanya nini? Tupe cv yake basi. Shida kubwa kwa jk ni kuteua ndugu zake kulipa fadhila hii ndiyo hatuitaki kabisaaaaa.
William, nimekusoma. Lakini naomba uwe mkweli katika mjadala. Sio kweli Zakia aliondoka kwa kashfa, kama ulivyoweka hapo juu. Jaribu kuwa mkweli....wewe ni CCM kama sikosei. Wewe uko kundi gani??? Kwanini chama chenu kinakosa nguvu sasa ? Je ni uchu wa madaraka sababu moja wapo? Ni uongozi mmbovu wa katibu na mwenyekiti wake?
Halisi,
Prof. Mbarawa aligombea kupitia chama kipi huko Mkanyageni? Nataka kujua kama ni CUF na hivyo kuwa matokeo ya muafaka.
Hi ni dalili kutokea Zanzibar hakuna wabunge wa maana wa CCM wanaoweza kuwa mawaziri na hivyo kuanza kuteua.
Pia kwa watu toka Zanzibar lazima tutegemee kwa asilimia karibu 100 watakuwa Waislam hivyo sidhani kama tunahitaji hata kujadili juu ya dini zao.
Hao walochagulia ndo mawaziri watarajiwa.....🙂
Nahodha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na mama mkwe "jikoni kumtayarishia babamkwe mahanjumati". Tehe-tehe-tehe!
Tangu lini mkwere akawa siriaz!!! Tumeamua kulikoroga basi tulinywe. Serekale itaendelea kuwa ya kishikaji!!!! Hata kama watu wataendelea kuichukia CCM. Washkaji lazima wawepo kwenye temu: Akina Masha, Kamala, Buriani na vigogo wengine mtawasikia!!!! Malalamiko yenu yeye hayamuhusu!!!Watajijua watakaokuwa CCM wakati huo.
Hii website ni kwa ajili ya watu wote wenye maoni ya wazi kwa kuzingatia katiba ya nchi. hivyo katika jamvi hili kila mtu anafanya maamuzi nini au kitu gani anataka au yuko interested nacho kujadili, kama wewe utapenda dini wenzio watakuwepo, kama utaamua kujadili ujinga ujinga wenzio pia wapo, kama utaamua kujadili mambo ya kifisadi wenzio wapo, ukiamua kujadili mambo ya maendeleo wenzio pia wamo, ukiamua kujadili maisha ya watu wenzio pia wamo. kwa kifupi humu ndani kila kitu kinajadiliwa, fanya uamuzi unataka kujadili nini na kujifunza nini, yasiyokuhusu achana nao.
Kaudini kametumika kwenye huo uteuzi. Huo ndiyo ukweli na utabaki hivyo.
Makame Mnyaa Mbarawa
mechanical engineer, researcher
Location: Pretoria
Country: South Africa
Makame Mnyaa Mbarawa is recognized in Marquis Who's Who.:tape: