Elections 2010 Kikwete awateua Meghji na Nahodha ubunge

Tangu lini mkwere akawa siriaz!!! Tumeamua kulikoroga basi tulinywe. Serekale itaendelea kuwa ya kishikaji!!!! Hata kama watu wataendelea kuichukia CCM. Washkaji lazima wawepo kwenye temu: Akina Masha, Kamala, Buriani na vigogo wengine mtawasikia!!!! Malalamiko yenu yeye hayamuhusu!!!Watajijua watakaokuwa CCM wakati huo.
 




labda mkulu kipindi kile alipangiwa kazi na mwalimu zanzibar huyu prof alimkaribisha kwa muda?
 

1. Mkuu heshima yako sana, Mama Meghji aliondoka kutokana na kashfa ya BOT iliyohumusu pia Gavana wa BOT ambaye na yeye Rais aliishia kumfukuza kazi akiwa nje ya nchi, sidhani kama hili linahitaji mjadala tena unless unajua something wengi hapa hatukijui sema tu mkuu ndio maana ya uwanja wa Great Thinkers!

2. Ni kweli mkuu mimi ni mwanachama wa CCM, kundi langu ni kundi lolote linalojali taifa kwanza. CCM haijakosa nguvu kwa sababu bado ni chama kilichoshinda wabunge wengi yaani majority bungeni tena kwa namba kubwa sana, uchaguzi wa majuzi umeonyesha kwamba tuna mapungufu ya muda mrefu ambayo wananchi wameanza kuchoshwa nayo baada ya kuahidiwa kurekebishwa kwa muda mrefu sana lakini bila mafanikio yoyote.

- Kwa kawaida kama unayajua mambo ya siasa na watawala huwa ni vigumu sana kwa chama ambacho kimeshika power for the last 50 years, kusikia maoni na maonyo ya wanachama wake, kwa hiyo ni matokeo ya uchaguzi kama huu na hasa kushuka kwa namba za Rais kwa almost 20%, ndio kunaweza kuwafanya watawala wa-pay attention. Unajua kwa maneno mengine ya kisiasa kupungukiwa huko kwa kura ni pamoja na kupigana na kivuli chako mwenyewe, maana ni wewe mwenyewe ndiye umewapa wananchi sababu ya kukupunguzia kura na sio anybody else!

- Ninaamini kwamba ujumbe umefika na kwamba kama alivyosema Rais Reagan, the buck stops with Mwenyekiti.


William.
 

Nafikiri hapa hatujadili udini, ishu ni mafisadi wapo waislam, wakristo na wapagani. So tujadili utendaaji au vipi wana jf
 
Nahodha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na mama mkwe "jikoni kumtayarishia babamkwe mahanjumati". Tehe-tehe-tehe!

Sure, naona hii nafasi ni special kwa wazanzibari na iko wazi baada ya Seif Idd kuwa makamu wa pili wa rais visiwani.
 
Sinta shangaa kutajwa Baraza jipya litakuwa na sura kama dodoki, walioshindwa kuperform in last cabinet na maswaiba waliopigwa chini na wananzengo ukawakuta wamepozwa humo. Msitarajie jipya ni yale yale maana sikio la kufa halisikii dawa!
 

Umemsahau Mbega, Mongela, Msekela, Kandoro na Mwakipesile
 

I like this. jibu zuri. Good show
 
Eti jamani nasikia mke wa Ridhwani Kikwete ni mtoto wa Zakia Meghji. Je ni kweli?
 
Makame Mnyaa Mbarawa
mechanical engineer, researcher

Location: Pretoria
Country: South Africa
Makame Mnyaa Mbarawa is recognized in Marquis Who's Who.:tape:

Habari zisizothibitishwa zinadai kwamba Muungwana akisafiri huko nje na kukutana na Watanzania huwauliza baadhi yao kwa nini wameamua kwenda nje. Baada ya hapo huwataka warudi nyumbani na kuwaahidi kwamba atawasaidia kupata ubunge na hatimaye uwaziri. Kama habari hizi ni za kweli basi huenda jamaa Mnyaa naye ni mmoja wa hao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…