He is unqualified for that position.
Nimeona Clip Chache za hotuba ya Muungwana hapo UN, katika hizo Clip mambo aliyoyaraise ni ya msingi sana, mathalani kazungumzia umuhimu wa Afrika kuwa na Member katika Baraza la Usalama jambo ambalo ninamuunga mkono,
pamoja na kwamba ninamuunga mkono lakini ninasikitika kwamba argument aliyoitumia kwenye kujenga hoja yake hiyo huenda siyo sahihi, mathalani Muungwana kasema kuwa Afrika ni bara pekee duniani lisilo na permanent Member katika Baraza la Usalama!, fact ni kwamba Australia ni bara na ni nchi pia lakini bara hilo(nchi hiyo) siyo permanent Member katika baraza la usalama, kwa hiyo ninadhani ni muhimu vitu kama hivi Muungwana inabidi avipitiepitie maana vinaweza kuharibu lengo zuri la hoja
Nimeona Clip Chache za hotuba ya Muungwana hapo UN, katika hizo Clip mambo aliyoyaraise ni ya msingi sana, mathalani kazungumzia umuhimu wa Afrika kuwa na Member katika Baraza la Usalama jambo ambalo ninamuunga mkono,
pamoja na kwamba ninamuunga mkono lakini ninasikitika kwamba argument aliyoitumia kwenye kujenga hoja yake hiyo huenda siyo sahihi, mathalani Muungwana kasema kuwa Afrika ni bara pekee duniani lisilo na permanent Member katika Baraza la Usalama!, fact ni kwamba Australia ni bara na ni nchi pia lakini bara hilo(nchi hiyo) siyo permanent Member katika baraza la usalama, kwa hiyo ninadhani ni muhimu vitu kama hivi Muungwana inabidi avipitiepitie maana vinaweza kuharibu lengo zuri la hoja
Nimeona Clip Chache za hotuba ya Muungwana hapo UN, katika hizo Clip mambo aliyoyaraise ni ya msingi sana, mathalani kazungumzia umuhimu wa Afrika kuwa na Member katika Baraza la Usalama jambo ambalo ninamuunga mkono,
pamoja na kwamba ninamuunga mkono lakini ninasikitika kwamba argument aliyoitumia kwenye kujenga hoja yake hiyo huenda siyo sahihi, mathalani Muungwana kasema kuwa Afrika ni bara pekee duniani lisilo na permanent Member katika Baraza la Usalama!, fact ni kwamba Australia ni bara na ni nchi pia lakini bara hilo(nchi hiyo) siyo permanent Member katika baraza la usalama, kwa hiyo ninadhani ni muhimu vitu kama hivi Muungwana inabidi avipitiepitie maana vinaweza kuharibu lengo zuri la hoja
JK ni mweupe sana na pia ni mvivu hata kujisomea kuongeza maarifa, hawezi jua mambo ya Australia...
Hujakosea MkuluNi kweli. Lakini kusema Kikwete ndie the "most experienced and succesful on paper" sio sahihi.
Nilimaanisha US, sio UN.
Ahsante.
inatosha mkulu.unakosea tena.
Paper credentials za kikwete sio the most robust. Amepitwa mbali.
mkapa: dodoma, tanzania, appointed government administrative officer, 1962, became district officer, 1962, became foreign officer, 1963. Managing editor, the nationalist and uhuru (newspapers), 1966, the daily news and the sunday news (newspapers), 1972. Office of the president, press secretary, 1974; tanzania new agency, founding director, 1976; high commissioner to nigeria, 1976; minister for foreign affairs, 1977-90; minister for information and culture, 1980-83; high commissioner to canada, 1982-83; ambassador to the united states, 1983-84; minister for foreign affairs, 1984-90; minister for information and broadcasting, 1990-92; minister for science, technology, and higher education, 1992-95. Nominated as member of parliament, 1977; elected to national assembly for the nanyumbu constituency, masasi district, 1985, re-elected, 1990;
mwinyi: entered politics in 1963, became permanent secretary to the minister of education in zanzibar; appointed to the tanzanian cabinet as minister of state in the president's office,1970; held various government posts in succeeding years, including minister of health and home affairs, 1982-83, and minister of natural resources and tourism, 1982-83; also served as ambassador to egypt for five years; elected president of zanzibar and chairman of the zanzibar revolutionary council, 1984; elected vice-chairman of tanzania's ruling party, ccm, 1984
(excerpted from answers.com)
nyerere: 1961 – 62 prime minister ( chini ya governor general), 1953 chairman, tanganyika african association, 1954 transforming founder, tanganyika african national union (tanu). The late 50s, spearheading leader of independence movement.
Sawa ?
Kwa hiyo kusema "on paper kikwete is supposed to be the most competent and successful" zaidi ya mkapa na mwinyi ni distorted grasp of presidential history.