Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 316
Nimekutana na hii habari kwa Michuzi na picha waweza kuziona hapa:
http://michuzi-matukio.blogspot.com/2011/07/president-kikwete-hosts-us-investors-at.html
Ivi policy ya investment kwa sasa ni ipi? Criteria za kuwa investor ni zipi? Na wazao tunapewa nafasi gani za ku-invest katika nchi yetu?
Mbona inaelekea wa nje wanapewa favour zaidi?
Tusikubali kufanywa namna hii katika nchi yetu hata kidogo!
http://michuzi-matukio.blogspot.com/2011/07/president-kikwete-hosts-us-investors-at.html
Ivi policy ya investment kwa sasa ni ipi? Criteria za kuwa investor ni zipi? Na wazao tunapewa nafasi gani za ku-invest katika nchi yetu?
Mbona inaelekea wa nje wanapewa favour zaidi?
Tusikubali kufanywa namna hii katika nchi yetu hata kidogo!