Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Jamani, katika pita pita yangu kuna ka nzi kametua mahali fulani bongo na kuniuliza kama kwa kunidokeza kuwa inakuwaje kuna agency moja nchini ambayo inakusanya hizo appearance fees. Kwamba akienda kufungua au kuzungumza kwenye hafla fulani fulani (kama moja inayoandaliwa sasa) basi kuna tucharge fulani ambato huwa tunalipwa kupitia wakala huyo.
Sasa, katika kuchokoza ndiyo naomba niwaulize wakubwa mnaojua, hizi fee ni kiasi gani, hiyo agency ni ipi (maana nimeambiwa nikiuliza nitadokezwa tu) na kama utaratibu huo ni sawa na kulipia Urais wake kila anapotokea kwenye hafla binafsi? Je haya ya fee yasibakie kwa watu ambao wameshatoka madarakani kama kina Mwinyi, Sumaye, au Mkapa?
Je yawezekana kautaratibu haka kako kwenye nafasi nyingine vile vile?
Sasa, katika kuchokoza ndiyo naomba niwaulize wakubwa mnaojua, hizi fee ni kiasi gani, hiyo agency ni ipi (maana nimeambiwa nikiuliza nitadokezwa tu) na kama utaratibu huo ni sawa na kulipia Urais wake kila anapotokea kwenye hafla binafsi? Je haya ya fee yasibakie kwa watu ambao wameshatoka madarakani kama kina Mwinyi, Sumaye, au Mkapa?
Je yawezekana kautaratibu haka kako kwenye nafasi nyingine vile vile?