DSN,
I think you misunderstood me. Maelezo yangu yalikuwa yanajibu hoja ya Gogomoka. Naomba ukipata muda urejee hoja ile, then link it na majibu yangu. Vinginevyo sijakataa kwamba mada hii sio muhimu, nachohimiza tu kwa vijana wenzangu ni kwamba, kwa taarifa kama hizi, busara iliyokuwa basic kabisa ni to take good notes out of it, with a focus ya kujenga taifa la vijana, ambalo litarekebisha mapungufu kama haya. Kwani ni kawaida sana humu JF mijadala mingi kutawaliwa na "he says, she says", halafu inakufa.
Niliyoyataja mimi hayana ubishi. Waliompelekea MAMILIONI haya wapo. Mali anazomiliki zipo ambazo nyingi zinatokana na mamilioni haya. Unadhani ni rahisi yeye mwenyewe akalikana hili?
Sikonge,
Hujaelewa kidogo. Wanasiasa wote waliokuwepo enzi za Nyerere na wakaendelea na uongozi baada ya Mwalimu kufariki (RIP JKN) ni MAFISADI!.
Wewe nyumba za Obey au Masaki au Mikocheni hata Ada estate wanapata wapi hela na mishahara viduch vya serikali?.
Hiyo ni hoja very simpo kufikia muafaka. Mie ninachosema ni kuwa WHY Lowassa pekee? Mbona wapo hata POMBE aliyemuuzia nyumba Ubungo ndugu yake (nyumba ya serikali)?
Hapo ndo nasimama na ku conclude kuwa madai dhidi ya Lowassa yapo exaggerated. Why?, kwa sababu hata mie nimeambiwa nimehongwa au natumiwa na Lowassa! Sasa atakutumiaje au kukuhongaje mtu ambaye hamjawahi kuonana naye au hata kuonana na wapambe wake, na wala hutaki kuwaona wala kuwajua?
Nahisi utakua umenipata angalau kidogo.
Mchambuzi na wewe?lolGogomoka,
I understand your point, lakini​ukweli bado unasimama kwamba Mtoa Habari is playing a very dangerous game, these are gruesome accusations, ambazo for sure leaves many of our jaws dropped; If he has evidence (it looks like ni mtu wa ndani), Jamiiforums sio mahala pake, kwani there are institutions that are specially designed to handle such.
Vinginevyo ni muhimu sana sisi kama Vijana tuka focus katika mijadala yenye ukweli na uhakika, and whenever taarifa kama hizi zikiwa zina pop up every now and then, busara ya kawaida kabisa, in my humble opinion, ni kuchukua tu notes.
Otherwise, personally, my unshakable belief is that, kutumia muda mwingi katika mijadala dominated na taarifa zisizo na ukweli au uhakika, doesn't provide us with a better future kama vijana. Discussions zenye traffic kubwa namna hii, laiti zingekuwa zinalenga kwenye mada on youth development e.g. employment generation, elimu, leadership, our new constitution, etc,
sio tu kwamba ingetujengea msingi imara for a better future, but also even our sons, daughters, grandsons and granddaughters, wangefaidika sana kwa kurudia and review our archives in JF, and in the process determine challenges za waliowatangulia zilikuwa ni zipi, hence put them in a better position kuzikabili changamoto zao.
Unajuwa ni kina nani walikuwa nyuma ya kampeni ya urais wa Mkapa kumsaidia mwalimu kuzunguka nchi nzima kumnadi Mkapa baada ya kuwabwaga mtandao?YES sir! alikufa kawaida. NI PM nikuongezee kidogo. Ila hakukua na mkono wa mtu alie HAI kwenye kifo cha Mwalimu.
Usiogope hakuna atakaye kutafuta wewe WildCard.
Institutions zipi ambazo mikono mirefu ya akina Lowasa, RA na kundi lao haijazifikia na kuzipanga upya? Tuna kazi sio ndogo WATANZANIA kuitoa nchi yetu kwenye makucha ya hawa jamaa. Kundi kuuubwa kabisa la WATANZANIA wenye fedha wamejipanga kwa nguvu zaidi kifedha, kimkakati na kiushawishi kuliko mwaka 2005 kuichukua tena nchi yetu.
Mbaya zaidi ni kuwa maovu yao mengi yameanikwa hadharani na hatma yao inategemea nani atakuwa Rais 2015. Tuna kazi si kidogo safari hii kuliko wakati mwingine wowote.
hakuna siri ndani ya tiss, kwamba ro aliwekwa na enl na ra, chini ya usimamizi wa abson. Chaguo lingine la mtu wa kumrithi abson, mbali ya ro, lilikuwa ni pamoja na watu kama job masima, ambae kwa sasa ni katibu mkuu wizara ya ulinzi. Kilichomnyima masima nafasi hiyo ni pamoja na ubinamu wake na mzee malecela. Vinginevyo, masima bado ni mtu wa karibu sana kina abson, enl, ra.
Licha ya kustaafu mwaka 2008, abson bado ana nguvu kubwa sana ndani ya tiss. Lakini vilevile, hassy kitine pia bado ana wafuasi wengi sana tiss. Suala hili lina historia ndefu kidogo. Kuna mtu anaitwa mwambulukutu - huyu alikuwa balozi wa tanzania afrika kusini kipindi fulani. Miaka ya awali ya 1970s, mwambulukutu aliwahi kuwa mkurugenzi wa personal and administration, tiss, chini ya hassy kitine, ambae alikuwa mkurugenzi mkuu. Mwambulukutu na kitine walipewa jukumu na nyerere kuifumua idara ya usalama na kuindua upya na kuzaa tiss miaka ya mwanzo ya 70. Hatua hiyo ilitokana na nyerere kugundua kwamba mfumo uliorithiwa baada ya ukoloni ungemletea shida baadae. Ni mwambulukutu ndiye alim discover bernard membe na kumwajiri tiss na kum groom, pamoja na vijana wengine kadhaa. Na membe huwa yupo muwazi sana juu ya suala hili. Pia katika miaka ya 70 kulitokea tatizo la kiutendaji kwa upande wa abson, hivyo kupelekea kitine kumfukuza kazi mara moja, abson, lakini mwambulukutu ndiye aliemwokoa kwa kumuombea msamaha abson kwa kitine. Msamaha huo ndio uliomwokoa abson mpaka kustaafu kwake 2008.
Miaka ya 2006-2007, kulikuwa na tetesi kwamba mwambulukutu alikuwa anarudi tanzania kuja chukua nafasi ya ro pale tiss, kwani ro hakubaliki na upande wa jk. Na kwa muda mrefu sana, ro na mwambulukutu hawakuwa wanaiva, kwani mara kadhaa wamekuwa na migongano. Mwambulukutu ana mwanae mmoja ambae alikuwa tiss tangia kipindi cha mkapa, lakini inasemekana kwamba tofauti zake na ro kikazi, zikapelekea ro kumsimamisha kazi kijana huyo. Vile vile kuna tetesi zilizopo kwenye corridor za tiss ni kwamba ajali iliyomkumba mwambulukutu mwaka 2007 nchini afrika ya kusini, lilikuwa ni jaribio la makusudi la kuchukua maisha yake. Tetesi ni kwamba majambazi yalikodiwa kutoka msumbiji, zimbabwe na afrika ya kusini, na enl, ro, ra, na maafisa wa tiss ubalozini afrika kusini walikuwa wana ufahamu mpango wote, hatua kwa hatua. Na hata uvamizi huo ulipotokea, uchunguzi wa kipolisi ukafutwa haraka sana kwa maombi kutoka dar-es-salaam. Na hata rais mbeki kwenda kumpa pole mwambulukutu hospitali, ilikuja baada ya mbeki kuomba ruksa rasmi ikulu dar-es-salaam, kitu ambacho kikwete alikiruhusu mara moja. Inasemekana pia kwamba abson alitumwa rasmi na serikali kwenda afrika ya kusini kuweka mambo sawa.
Zipo juhudi za chini kwa chini za kumwondoa ro tiss lakini zinagonga mwamba kutokana na mkono wa kina ra na el. Ro amekuwa ni kero kwa jk, kwani uaminifu wake upo zaidi kwa enl, ro, january, abson na wengineo katika kundi hilo. Enl, ra pia ndio waliomweka mwamnyange na said mwema kwenye nafasi zao za sasa. Safari ya enl 2015 ina mizizi mirefu, na haitakuwa rahisi kumzuia katika nafasi hiyo. Tiss imegawanyika katika makundi matatu kundi la waadilifu (watu wa nyerere kama kina kitine n.k), kundi linalowaunga mkono ra, enl, abson, january, na kundi dogo linalomuunga mkono kikwete. Kinachompa nguvu enl pia ni kuungwa kwake mkono na balozi na taasisi nyingi za kimataifa zilizopo tanzania. Kwa wote hawa, chaguo lao kwa 2015 ni enl, kutokana na uchapa kazi wake, pamoja na mtindo wake wa uongozi ambao wanasema unaendana sana na matakwa ya wawekezaji.
kuna dizaini nyingi sana za kumpigia kampeni fisadi Lowassa.
Kamwe hatutakubali tena kutawaliwa na mafisadi wanaotumia pesa nyingi kununua uongozi wa nchi yetu ili kujinufaisha wao na familia zao. Kuna underground movements nyingi zinaendelea hivi sasa kukomesha USHENZI huu wa kundi la watu wachache kujitwalia madaraka
ya nchi yetu huku dhamira yao kuu ikiwa ni kujilimbikizia mali na kudidimiza uhai wa walio wengi. Tutapigania nchi yetu kwa gharama yoyote kwa maslahi ya vizazi vijavyo.
Hutaki Unaacha mbona hizi habari ni nzito sana. Kama habari hizi ni zakweli basi naungana na wanaosema nchi imekuwa ikiendeshwa kimafya lkn sasa napenda niwahakikishie watz kuwa huu ni mwisho wa utawala dhalimu. Naapa kwa jina la mwenyezi Mungu.
Dada Jane, and this is just a tip of an iceberg...Hutaki Unaacha mbona hizi habari ni nzito sana. Kama habari hizi ni zakweli basi naungana na wanaosema nchi imekuwa ikiendeshwa kimafya lkn sasa napenda niwahakikishie watz kuwa huu ni mwisho wa utawala dhalimu. Naapa kwa jina la mwenyezi Mungu.
Dada Jane, and this is just a tip of an iceberg...