MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,011
- 2,185
UPUPU wa kutaka kumchafua Lowassa na Rostam.
Hata mkifanyaje tunawajua wala hatushikiki. Good story telling though.
FairPlayer unashangaza. Kwa historia yangu ndani ya JF nakumbuka siku nyingi ulijitahidi kuonyesha kwamba una mawazo safi, lakini ghafla umegeuka kuwa "useless"
Nimeitafuta sababu ya watu wa aina yako na jinsi kila wakati unavyoteteta jina la Lowasa, Sioni jibu isipokuwa tu hisia yangu ni kwamba umepewa kitu na akina Lowasa na sasa una hamu kuliko Canaan Banana.