Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
aisee kazi kweli inamaana kama asingewekewa viini vya kansa angeishi milele?je alikuwa ana mkataba na mungu
Ana Umasai gani EL Lowassa ni Olmekiii sio Mmasai hata kidogo... Kuhusu uLaigwanani ni tamaa za wazee wetu wa kimila walimpa sababu ya njaa zao si unajua zile sherehe za MWEZI wa 12 Monduli zinavyokuwa! Ndo hapa waliuza utu wetu, Mila na desturi zetu ikiwa walimkabizi njipinjipi Batilda Buriani wakati wa kampeni 2010 ilhali ni mwanamke watashindwa kumuuizia Lowassa uLaigwanani? Ndo maana siku zote tunasema EL ni Laigwanani wa Waarusha sio Wamasai na Kama ni Wamasai sio KINA Mollel Bali Laizer..... Ngoja jiwe lifukiwe rika zikibadilika vijana wengine wataingia rika ya wazee na ndo hapo hata chungu itapasuliwa na itawahaunt wote waliovunja MilaLowasa ni MMASAI bwana, nasema yeye ni Mmasai. Wanawake wa Kimasai wana tabia kama ya wale wa Kitutsi ya kurudi kutafuta mimba nyumbani halafu huyo Ndosi anaambiwa mimba ni yake! Juzi nilimwona akitajwa kwa cheo kizito tu cha Kimasai.
hapo nakubaliana na wewe mkuu
Lowasa ni mchapa kazi,tena hana mda wa kusubiri kukumbushwa,yeye na Magufuri hawa jamaa bwana wanafaa
watu wanamwogopa magufuri kwa kuwa yeye hakwepeshi,hapohapo anakupa kitu,lakini ndio watu wanao faa kuiongoza nchi hii
kwa upande wangu nikiwa hai nitapiga kura kama tu
1 Lowasa akiteuliwa ama
2. Magufuri akiteuliwa
waliobaki ni wale wale tu ilimradi naye aongoze.sitapiga kura
nyie watu wawili nyie sijui vipi? yaani na uelewa wenu wote huo mmetekwa na lowassa?? ...anayway nyie endeleeni lakini nawambia huyu hashiki urais wa nchi hii.....hili nawambia kabisa...we psco nani alikwambia lowasa ni chaguo la Mungu? Mungu yupi wewe unayemzungumzia....hivi lowasa ana tofauti gani na hili juha muliloinstall hapo magogoni?
narudia tena lowasa hatakuwa rais wa nchi hii subirini kwani june mbali?? nyie endeleeni kukunjua viti mlale huko Elairline siku ikifika mtashindwa hata kwenda kutoa heshima za mwisho...
Dah! Muda wote huu nilikuwa natafakari kuhusu msimamo huu wa mkuu PASCO. Kumbe anampigia chapuo EL ili CCM wafanye makosa ya kumsimamisha iwe rahisi kupigwa kikumbo na mgombea wa opposition na ndipo ukombozi kamili utakapopatikana! Thank you Pasco. Kama ni hivyo, kweli EL anafaa.
Nashukuru kwa ushauri nasaha,mwisho wa siku tukubali kutokubaliana ili tusonge mbele japo ni muhimu pia kuamini tunavyoviona kuliko kuona vile tu tunavyoviamini
mkuu heshima yako,@Pasco +FP hivi kinachowasukuma kumshabikia EL ni hiyo hali yake ya 'usafi' au kuna behind the curtain? Ila hata Hilter kuna waliomhusudu lakini binafsi hata washuke malaika kumpigia kampeni hatapata kura yangu..
...............huyu bwana is ASKING NOT WHAT HE CAN DO FOR HIS COUNTRY, BUT WHAT HIS COUNTRY CAN DO FOR HIM!!!
That is Edward Lowasa's story.
........................
Mkuu Edson, nabii hatambuliki nyumbani!. Hata Yesu Mnazareti aliyezaliwa Mfalme wa Wayahudi, ni Maayahudi hao hao waliomsulubisha!. Ila pia kwa kuteswa kwake, sisi tuliponywa!nyie watu wawili nyie sijui vipi? yaani na uelewa wenu wote huo mmetekwa na lowassa?? ...anayway nyie endeleeni lakini nawambia huyu hashiki urais wa nchi hii.....hili nawambia kabisa...we psco nani alikwambia lowasa ni chaguo la Mungu? Mungu yupi wewe unayemzungumzia....hivi lowasa ana tofauti gani na hili juha muliloinstall hapo magogoni?
narudia tena lowasa hatakuwa rais wa nchi hii subirini kwani june mbali?? nyie endeleeni kukunjua viti mlale huko Elairline siku ikifika mtashindwa hata kwenda kutoa heshima za mwisho...
There are currently... users browsing this thread. (... members and ... guests)...,
mtoahabari...,.
Mkuu mtoa habari, puuzia ule ushauri, endelea kumwaga nondo watu tufaidike!
nimemuuliza swali kuhusu Dr.Slaa kwenye huo mtandao naona jamaa kawa kimya, ndo mtu pekee hadi sasa ambaye imani yangu imebaki kidogo kwake.
Edson, asante kwa nia ya kunitafuta, wanajf huwa tunakutania hapa ukumbini na kama kuna issue nyeti tunaonana kwenye pm, hivyi ukifika wala usijisumbue.wewe itabidi nikutafutie mda tuonane nikifika huko..sitakualika pale club itabidi tuonanie eneo jingine....halafu ile tabia yako ya kualikwa mahali halafu unajilipia gharama ilumuudhi yule jamaa sana siku ile pale kanda ya kati...ulimuona alivyoshangaa...
uliweza kujilipia bill japo ulialikwa lakini leo ile dhamira huna tena unanunulika kirahisi sana....hivi umetwa na nini? huyu ENL amekuahidi ee!!