UPUPU wa kutaka kumchafua Lowassa na Rostam.
Hata mkifanyaje tunawajua wala hatushikiki. Good story telling though.
Umesahau mkuu,FairPlayer unashangaza. Kwa historia yangu ndani ya JF nakumbuka siku nyingi ulijitahidi kuonyesha kwamba una mawazo safi, lakini ghafla umegeuka kuwa "useless"
Nitapita baadaye hii yataka mda kidogo
UPUPU wa kutaka kumchafua Lowassa na Rostam.
Hata mkifanyaje tunawajua wala hatushikiki. Good story telling though.
UPUPU wa kutaka kumchafua Lowassa na Rostam.
Hata mkifanyaje tunawajua wala hatushikiki. Good story telling though.
Hawa watu wa ajabu sana kila siku kujipanga kugombea madaraka kitu maendeleo kwa wananchi hakitamkwi tumechoka na thread hizi za watu wa mitandao na wenye uroho wa madaraka wakati umaskini unashambilia nchi na wanachi utafikiri kirus cha kompyuta au hiv
Hutaki Unaacha!Tupatie source hata kama ulichunguza mwenyewe utuambie
Hutaki Unaacha,
Kwanza asante kwa hii. Wanabodi hii mada si ya kupuuzwa hata kidogo bali ni uthibitisho tuu 2015 ni CCM ni Edward Lowassa na mgombea Mwenza Amani Karume, Rais wa Zanzibar ni Maalim Seif, Makamo wa kwanza ni Ismail Jussa!. Waziri Mkuu wa rais Lowassa bado sijamjua ila King Maker!, nimemvulia kofia!.
Waraka huu ni uthibitisho wa sisi tunaompigia debe Lowassa tuko right.
It's very very unfortunate rais Jakaya Kikwete kwa Mtandao wa Lowassa, yeye si lolote sii chochote!. Yaani hawezi kufanya lolote it's too late now!.
Hutaki Unaacha,
Kwanza asante kwa hii. Wanabodi hii mada si ya kupuuzwa hata kidogo bali ni uthibitisho tuu 2015 ni CCM ni Edward Lowassa na mgombea Mwenza Amani Karume, Rais wa Zanzibar ni Maalim Seif, Makamo wa kwanza ni Ismail Jussa!. Waziri Mkuu wa rais Lowassa bado sijamjua ila King Maker!, nimemvulia kofia!.
Waraka huu ni uthibitisho wa sisi tunaompigia debe Lowassa tuko right.