Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)



Nimekuelewa kwenye red vizuri sana ungeishia hapo ningejua kweli mdau uliteleza,lakini ulipozidisha manjonjo kwenda kwenye Blue ukawa umetia sukari na chumvi pamoja basi du chakula kizima hakina maana tena basi kama ni mlo hauliki tena.

Ndio maana nikwambia bado unasafari sana ndefu,kwa kuwa wewe unaamini katika kuona,kumbe hauko katika list ya magreat thinker kwa kuwa wewe bado ni tomaso,mpaka ushike ndio uamini watu wa aina yako tunawaita MATERIAL PEOPLE.Wanaamini katika vitu kuliko imani ya usahihi wa mambo,kitu ambacho binadamu yoyote yule tunaemwita FISADI hapa Tanzania ni lazima awe na aina ya roho ambayo imesimama kwenye Material base na kamwe hawana spirtual guide kuamua na kutenda mambo.

Ingekuwa zama za Yesu wewe ni Tomaso,lakini zama zako wewe kwa sasa uko kwenye rank ya aiba ya mafisadi ambao wanaamni katika kukusanya vinavyoonekana ili kupata utukufu,kumbe utukufu utafutwa kwa imani ya nafsi,kuwa nafsi yako ikiwa na furaha moyoni pasipo makovu ya chuki, visasi, hila,giriba, uzandiki, wivu, vijicho, uongo, unafiki, ulafi, ulevi kupindukia,ushirikina, ufisadi na mengineyo mengi basi mwisho wake ni kifo cha aibu.

Nyerere kaondoka dunianai akiwa spirtual well-off leo hii Watanzania tunamkumbuka,lakini waliokuwa mabingwa wa materila [kuona na kushika] kama wakina Mobutu,Ghadafi na Mubarak aliyehukumiwa kuonyongwa jana wote leo hii ndio uzao wa matokeo wapendao kuona materaial pasipo kuamini.

Kama nawe bado ni mfuasi wa kuona basi ukiona vyaelea jua vimeundwa.Je waundaji ni nani?Utajibu swali hilo kama unajua unafiti wapi katika aina hizi tatu za watu.
1: Wale ambao wanafanya mambo yatokee [Those who make Things Happen]
2: Wale wasiojua yaliyotekea [Those who Dont Know what Happen]
3: Wale wanaoshanga yale yaliyotokea [Those who wonder what happen]

Je wewe Mr Romantic uko wapi?

Naona kijana umechagua kwenda personal,bahati mbaya sana sio style yangu,wapo wa hivyo humu utawapata mtashindana kuandika...mimi umenishinda!
 
Presha inapanda.., presha inashuka...............
 
Mkuu mtoa habari, japo mimi sio msemaji wa Mzee Mwanakijiji, lakini ufahamu wangu kupitia maandiko yake, ukimya wa Mwanakijiji kwenye mada hii, sio kupoteza credibility, kununuliwa au kukata tamaa, bali baada ya kuelewa the motives behind usafishaji wa Lowassa unaofanyika humu na mimi nikiwa ni mmoja wa waumini wakuu wa usafi wa Lowassa na mmoja wa wapiga debe wake wa kujitolea, Mzee Mwanakijiji ametuelewa na kujinyamazia asiendelee kumbomoa, ili kazi yetu ya kumsafisha ifanikiwe na lengo la usafishaji huo litimie!.

Hata wewe Mkuu Mwanahabari, nakuaminia kama ni mtu unayetaka mabadiliko ya kweli, na unazijua fika polical dynamics za siasa za Tanzania, kama ni kweli unataka mabadiliko, utakuwa upande wetu, tumpigie debe, Lowassa asimamishwe kuwa mgombea wa CCM!.

Kumbe jamaa anahitaji kusafishwa kwanza then kama atatakata ndio awe rais wetu sio...!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Edson, asante kwa nia ya kunitafuta, wanajf huwa tunakutania hapa ukumbini na kama kuna issue nyeti tunaonana kwenye pm, hivyi ukifika wala usijisumbue.

Utetezi wangu kwa Lowassa ni uzalendo tuu kwa nchi yangu wala sio njaa au pesa. Ningeamua kusaka pesa, ningewatumikia wenye pesa za kutakata tena sio hizi za madafu!. Mimi ni masikini jeuri kama "kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda".
Mkuu wangu nakuomba sana wewe na wenzako endeleeni kutetea kama navyowafahamu watu wengi wa Chadema na baadhi ya wasomi ambao wanafanya makosa makubwa kwa sababu wameshindwa kufuata kanuni za Mkandara...Unakumbuka huwa nasema kitu gani kila mara?..

Kumbukeni kwa kila jambo weka mbele kwanza - WATU na MAZINGIRA...

Mkuu, Watanzania kwa asili yetu sio watu wa kuwapa sifa za mtu ama kitu chochote pasipo kudhamiria na kuridshia kwa moyo wako wote na sifa hizo, kwa sababu sisi ni Maskini wa HALI (ELIMU) na pasipo hali bora, Mali ni swala la matokeo ya ukosefuwa wa hali..

Ikumbukwe sana kwamba JK hakuwa na sifa za uongozi bora, madudu yake mengi yalisemwa sana mitaani akihusishwa na Mkapa lakini walipoujenga uadui na kunadi sifa hadi hapa JF taratibu watu walianza kumkubali na kumtofautisha na Mkapa...Na JK alishajenga jina lake toka mwaka 1995 baada ya kushinda Mkapa uchaguzi wa CCM isipokuwa alipigwa chini na Nyerere kama huyu Lowassa...Lakini miaka ya ujio wa mwaka 2005, sifa zilianza kuwagwa akaonekana mbora kuliko wengine wote waliobakia kwa maana ya kwamba CCM wote wachafu isipokuwa JK ana nafuu maana alionyesha dalili zote za ukakamavu dhidi ya Ufisadi...Toka wakati huo kila mtu macho yake yalikuwa kwa JK na pengine watu wamesahau tu leo lakini Mkapa alichukiwa toka siku anaingia madarakani..

JK alisifiwa kwa uchafu wake akapambwa na lulu na kumwagiwa manukato ya Mzeituni utamwambia nini Mtanzania na JK maana hata Wazanzibar walisahau kwamba ni zamu yao kumsimamisha rais, JK alionesha upinzani mkuwbwa kwa Mkapa na kuahidi mengi tofauti lakini jamani nyoka kujivua gamba haina maana kapoteza tamu sumu yake... waswahili wanasema Kipovu haachi fimbo yake...

Na dhahiri ilipofika mwaka 2005 kila mtu alijua wazi JK anachukua Urais... Kina Mbowe na Lipumba wenyewe walitamka wazi kwamba CCM imemchagua mgombea anayeuzika na walikubali kushindwa mapema hata kabla kura hazijahesabiwa. Hii yote inatokana na WATU wenyewe Tulivyo (MIAFRIKA)...

mfano mwingine, Uliyaona na Loliondo na wapo wengi hadi leo wanaamini kabisa kwamba kikombe cha babu kilikuwa ponya ya HIV, Cancer na Kisukari na walikwenda hadi viongozi wakubwa sana serikalini mpaka JK mwenyewe na mkewe, hilo bunge sijui nani hakwenda yote hii inatokana na WATU.. na MAZINGIRA yenyewe ndio ktk Umaskini wetu wa Hali na Mali..maskini mkuu wangu anaweza hata kuuzosha mwanawe wa miaka 9 kwa sababu tu ya sifa na nuru ulokuwa nayo waakamini huyu ndiye mkombozi wetu.

Labda nizidishe machungu zaidi, unakumbuka ya Albino, watu wenye vipara, na zamani sana ngozi ya mzungu hizi zote ni sifa walizopewa kuimanishwa WATU wetu kwamba zilikuwa dawa za umaskini na kwa sababu hatuna Hali watu waliua ndugu, jamaa, majirani kwa sababu walidanganywa kwa kujazwa UONGO na wakaamini...

Kwa hiiyo tukumbuke sisi ni WATU gani ya kwamba ktk makutano ya mvuto wa WATU na MAZINGIRA ndio umetujenga kuwa Taifa la WADANGANYIKA na unapofanya mzaha wa jambo lolote ama kufikiri kwamba siku ya kura wananchi watapata akili tofauti dhidi ya Lowasssa, basi mkuu wangu imekula kwako. Sisi ni Wadanganyika na jambo tutakalo amini leo, ndilo kesho litaenda ktk sanduku la kura mwaka 2015..

Hapakuwa na sababu kabisa ya JK kushinda tena mwaka 2010.. umesema mwenyewe huko nyuma na umeonyesha kushangaa ama kukata tamaa lakini umeshindwa kuwafanyia utafiti wananchi wenyewe kwa nini wanakuwa hivyo... JK alikuwa aanguke kwa kura zile zile 80 kwa 20 lakini wadanganyika walipoambiwa tu habari ya Udini - ya kwamba DR.Slaa ni Padre aliyefukuzwa Upadre iweje agombee Urais, basi waswahili tukaamini na zikatoka nakala za MoU wakati wa Dr.Slaa as if yeye ndiye mwanzishi.. ..Na Mdanganyika, mdanganye kweli maana ukisema ukweli hatakupenda! iwe mkeo mwanao na hata mzazi wako uongo ndio pekee unaweza kukupa mafanikio ktk jamii zetu...Hii ndio silaha kubwa ya CCM kufitinisha, kuwafanya wadanganyika waamini hata kuogopa unyasi wanaoukanyaga!

Wee si unaona wazungu kutoka Czech, Mapopo (Nigeria) na Wazaire wanavyowachukua dada zetu wakiitwa Foreigners?..Ni imanintu imejengwa kwamba ukimpata foreigner atakujengea nyumba na pengine kukurusha kwenda dreamland maana kwa mswahili dreamland ni mahala popote nje ya Tz..Sisi wenyewe tukimpata mtishi basi lazima makamuzi Kempiski na MovenPick uonekane una kitu cha nje!!... Hii ndio akili ya Mdanganyika ambaye kwa umaskini wake amekuwa limbukeni vile vile.. Tuna maradhi mengi sana hivyo sii rahisi kabisa Wadanganyika wakakusoma..

Na wala usifanye mzaha, watu hawa wanaamini kweli vile...wanaamini Lowassa is clean isipokuwa mchafu ni JK na ushahidi ndio kama huu wanaomwaga hapa kina Pasco..Na ukiuliza sana watakwambia CCM hakuna msafi hivyo ni bora ya Lowassa mwenye uwezo mkubwa wa kukemea... Kukemea kipi? kukemea uchafu hapana sasa atakemea nini ikiwa yeye mwenyewe mchafu na huoga uchafu unadhani ule ukali wake atakemea kipi zaidi ya USAFI?..

Nitamalizia tu kusema ya kwamba hao kina Mwanakijiji, sijuo Ben na wengine wote wanaofikiria bora asimame Lowassa kugombea Urais kwa fikra za kwamba anaweza kushindwa kirahisi zaidi, nawaomba wafikirie upya maana ndio kwanza wamepalilia moto wenyewe maana Wadanganyika hawataelewa machafu mengine yote isipokuwa sifa alokwisha pewa. Kama Loliondo tutajipanga na magari yetu maili 20, hakuna chakula mvua kubwa na wakijaribu kuzuia tutapigana nao kama machinga walivyogoma kuhamisha makao yao kando za barabara..Na tutamlinda kama babu wa Loliondo..

Uchafu unapopinduliwa kuwa usafi basi jua ya kwamba kazi ya kugeuza fikra za maskini itakutana na pingamizi kubwa zaidi kama hao watu wa mabondeni ama Kigamboni japokuwa wazi kabisa inaonekana ni Ujinga na Upumbavu. Kama leo Lowassa kaweza kujisafisha ndani ya chama chake CCM..na nguvu kubwa alokuwa nayo sidhani kama kutakuwa na mtu wa kumshinda ktk sanduku la kura na hata ikitokea hivyo NEC, TISS, Jeshi na Polisi wote kesha waweka ktk kumi zake. Tatizo lake lipo kwa wananchi na kama tutaendelea kujenga sifa hizi basi 2015 msirudi hapa kusema Watanzania wajinga sana...Wamemchagua vipi Lowassa?..makosa yatakuwa yetu sisi kwa kutowasoma Wadanganyika wenyewe.
 
Kumbe jamaa anahitaji kusafishwa kwanza then kama atatakata ndio awe rais wetu sio...!

Romantic, ngoja na mimi niingilie kidogo hii mada maanake naona wakati Pasco anaongelea Lowassa kusimamishwa kuwa mgombea wa CCM, wewe unaongelea jamaa kuwa Raisi wetu 2015 ! Hakuna hata sehemu moja Pasco anaunga mkono Lowassa kuwa Raisi bali anaunga mkono Lowassa kuwa mgomea Uraisi kwa tiketi ya CCM - what's so hard to understand ?

Wengine wetu tunachosisitiza ni kuwa ili mabadiliko ya kweli yatokee hakuna kama Lowassa ndani ya CCM kuteuliwa kugombea Uraisi mwaka 2015 - siri ni kugombea ! Hilo la kuwa Raisi ni kitu tofauti kabisaaa na hapa ndipo wengi tumeshindwa kuona kwamba ili mabadiliko ya kweli yafanikiwe, ndani ya CCM hakuna mtu muhimu kama Lowassa - what's so hard to see ?

Tumekwenda dukani, tukanunua kitoweo, tukatayarisha chakula na sasa tumeweka mezani , kwa nini mnatutegemea kuwatafunia na kuwamezea ? Jamani hii ni JF na wachangiaji wanategemewa angalau wawe na uelewa usio chini ya ule wa wastani hivyo Romantic, mbona hueleweki ? Labda hilo umbo la Lowassa linawatisha hata msione - but what's so hard to comprehend ?
 
Romantic, ngoja na mimi niingilie kidogo hii mada maanake naona wakati Pasco anaongelea Lowassa kusimamishwa kuwa mgombea wa CCM, wewe unaongelea jamaa kuwa Raisi wetu 2015 ! Hakuna hata sehemu moja Pasco anaunga mkono Lowassa kuwa Raisi bali anaunga mkono Lowassa kuwa mgomea Uraisi kwa tiketi ya CCM - what's so hard to understand ?

Wengine wetu tunachosisitiza ni kuwa ili mabadiliko ya kweli yatokee hakuna kama Lowassa ndani ya CCM kuteuliwa kugombea Uraisi mwaka 2015 - siri ni kugombea ! Hilo la kuwa Raisi ni kitu tofauti kabisaaa na hapa ndipo wengi tumeshindwa kuona kwamba ili mabadiliko ya kweli yafanikiwe, ndani ya CCM hakuna mtu muhimu kama Lowassa - what's so hard to see ?

Tumekwenda dukani, tukanunua kitoweo, tukatayarisha chakula na sasa tumeweka mezani , kwa nini mnatutegemea kuwatafunia na kuwamezea ? Jamani hii ni JF na wachangiaji wanategemewa angalau wawe na uelewa usio chini ya ule wa wastani hivyo Romantic, mbona hueleweki ? Labda hilo umbo la Lowassa linawatisha hata msione - but what's so hard to comprehend ?

Maandishi yako haya naweza kusema kwangu yameleta mapinduzi makubwa leo...nikiri kwamba baada kukusoma wewe nikalazimika kurudia maandiko ya P moja baada ya jingine toka thread hii ianze,niseme tu nimewaelewa wote japo nasikitika sana kuchelewa kuelewa,kama mtafuatilia maandishi yangu sijawahi hata kuliandika jina Pasco kwenye michango yangu mbalimbali,nilimuona nuksi,alieruhusu bei yake kufahamika,nilikosea,naomba mlioelewa mapema mniwie radhil,leo naliandika jina pasco kwa mara ya kwanza kwenye maandishi yangu.....ila napenda kumuasa awe muangalifu sana katika kazi yake hapa ndani,pasco ni miongoni mwa watu wanaojua kuandika na maandishi yake yana ushawashi sana,humu kuna watu mbalimbali na tunaingia humu kwa malengo tofauti tofauti wapo watu sio wengi lakini wapo ambao huja humu kuchukua maneno ya kwenda kuhadithia huko site,ambako ndiko waliko wapiga kura ambao wengi kuingia humu na kumuelewa mtu kama pasco anasema nini ni muhali,wao watamtegemea huyu mwenzetu mshereheshaji wa maneno ya pasco bila tafakuli ya kina,tuwatizame kwa jicho la huruma hao wenzetu wa huko site ambao ni muhimu sana katika kuleta mapinduzi!

Lingine kuna mwenzetu mmoja hapa aliligusia hapo nyuma,la kwamba uzoefu unaonyesha mgombea wa ccm mara zote ndio huwa rais wetu,hili pia watu wa aina ya Pasco walitazame pia kwa kina,sisi wengine hilo tumeshalipima ndio maana mnaona tunajaribu kuanzisha mapambano ya ndani kwa ndani,ambayo mimi nasisitiza ntaendelea nayo,naamini zaidi katika ushindi wa ndani dhidi ya adui!

mwisho wa siku niseme asante kwako Bwana Mag 3,si kawaida yangu kutaja taja majina ya watu humu lakini kama nilivyosema leo imekua ni siku ya mapinduzi makubwa kwangu.

Aluta Continua japo kwa strategy tofauti!
 
Romantic, ngoja na mimi niingilie kidogo hii mada maanake naona wakati Pasco anaongelea Lowassa kusimamishwa kuwa mgombea wa CCM, wewe unaongelea jamaa kuwa Raisi wetu 2015 ! Hakuna hata sehemu moja Pasco anaunga mkono Lowassa kuwa Raisi bali anaunga mkono Lowassa kuwa mgomea Uraisi kwa tiketi ya CCM - what's so hard to understand ?

Wengine wetu tunachosisitiza ni kuwa ili mabadiliko ya kweli yatokee hakuna kama Lowassa ndani ya CCM kuteuliwa kugombea Uraisi mwaka 2015 - siri ni kugombea ! Hilo la kuwa Raisi ni kitu tofauti kabisaaa na hapa ndipo wengi tumeshindwa kuona kwamba ili mabadiliko ya kweli yafanikiwe, ndani ya CCM hakuna mtu muhimu kama Lowassa - what's so hard to see ?

Tumekwenda dukani, tukanunua kitoweo, tukatayarisha chakula na sasa tumeweka mezani , kwa nini mnatutegemea kuwatafunia na kuwamezea ? Jamani hii ni JF na wachangiaji wanategemewa angalau wawe na uelewa usio chini ya ule wa wastani hivyo Romantic, mbona hueleweki ? Labda hilo umbo la Lowassa linawatisha hata msione - but what's so hard to comprehend ?

...watu walienda mbele kidogo........na unavyofikiri....hebu msome Bob hapo chini.......msifikiri watu hawakuwa wanaliona hilo..........kama alivyokulezea TR.....vita hii ni muhimu kuanza kupigana within....believe me....Mag3!

Mkuu wangu nakuomba sana wewe na wenzako endeleeni kutetea kama navyowafahamu watu wengi wa Chadema na baadhi ya wasomi ambao wanafanya makosa makubwa kwa sababu wameshindwa kufuata kanuni za Mkandara...Unakumbuka huwa nasema kitu gani kila mara?..

Kumbukeni kwa kila jambo weka mbele kwanza - WATU na MAZINGIRA...

Mkuu, Watanzania kwa asili yetu sio watu wa kuwapa sifa za mtu ama kitu chochote pasipo kudhamiria na kuridshia kwa moyo wako wote na sifa hizo, kwa sababu sisi ni Maskini wa HALI (ELIMU) na pasipo hali bora, Mali ni swala la matokeo ya ukosefuwa wa hali..

Ikumbukwe sana kwamba JK hakuwa na sifa za uongozi bora, madudu yake mengi yalisemwa sana mitaani akihusishwa na Mkapa lakini walipoujenga uadui na kunadi sifa hadi hapa JF taratibu watu walianza kumkubali na kumtofautisha na Mkapa...Na JK alishajenga jina lake toka mwaka 1995 baada ya kushinda Mkapa uchaguzi wa CCM isipokuwa alipigwa chini na Nyerere kama huyu Lowassa...Lakini miaka ya ujio wa mwaka 2005, sifa zilianza kuwagwa akaonekana mbora kuliko wengine wote waliobakia kwa maana ya kwamba CCM wote wachafu isipokuwa JK ana nafuu maana alionyesha dalili zote za ukakamavu dhidi ya Ufisadi...Toka wakati huo kila mtu macho yake yalikuwa kwa JK na pengine watu wamesahau tu leo lakini Mkapa alichukiwa toka siku anaingia madarakani..

JK alisifiwa kwa uchafu wake akapambwa na lulu na kumwagiwa manukato ya Mzeituni utamwambia nini Mtanzania na JK maana hata Wazanzibar walisahau kwamba ni zamu yao kumsimamisha rais, JK alionesha upinzani mkuwbwa kwa Mkapa na kuahidi mengi tofauti lakini jamani nyoka kujivua gamba haina maana kapoteza tamu sumu yake... waswahili wanasema Kipovu haachi fimbo yake...

Na dhahiri ilipofika mwaka 2005 kila mtu alijua wazi JK anachukua Urais... Kina Mbowe na Lipumba wenyewe walitamka wazi kwamba CCM imemchagua mgombea anayeuzika na walikubali kushindwa mapema hata kabla kura hazijahesabiwa. Hii yote inatokana na WATU wenyewe Tulivyo (MIAFRIKA)...

mfano mwingine, Uliyaona na Loliondo na wapo wengi hadi leo wanaamini kabisa kwamba kikombe cha babu kilikuwa ponya ya HIV, Cancer na Kisukari na walikwenda hadi viongozi wakubwa sana serikalini mpaka JK mwenyewe na mkewe, hilo bunge sijui nani hakwenda yote hii inatokana na WATU.. na MAZINGIRA yenyewe ndio ktk Umaskini wetu wa Hali na Mali..maskini mkuu wangu anaweza hata kuuzosha mwanawe wa miaka 9 kwa sababu tu ya sifa na nuru ulokuwa nayo waakamini huyu ndiye mkombozi wetu.

Labda nizidishe machungu zaidi, unakumbuka ya Albino, watu wenye vipara, na zamani sana ngozi ya mzungu hizi zote ni sifa walizopewa kuimanishwa WATU wetu kwamba zilikuwa dawa za umaskini na kwa sababu hatuna Hali watu waliua ndugu, jamaa, majirani kwa sababu walidanganywa kwa kujazwa UONGO na wakaamini...

Kwa hiiyo tukumbuke sisi ni WATU gani ya kwamba ktk makutano ya mvuto wa WATU na MAZINGIRA ndio umetujenga kuwa Taifa la WADANGANYIKA na unapofanya mzaha wa jambo lolote ama kufikiri kwamba siku ya kura wananchi watapata akili tofauti dhidi ya Lowasssa, basi mkuu wangu imekula kwako. Sisi ni Wadanganyika na jambo tutakalo amini leo, ndilo kesho litaenda ktk sanduku la kura mwaka 2015..

Hapakuwa na sababu kabisa ya JK kushinda tena mwaka 2010.. umesema mwenyewe huko nyuma na umeonyesha kushangaa ama kukata tamaa lakini umeshindwa kuwafanyia utafiti wananchi wenyewe kwa nini wanakuwa hivyo... JK alikuwa aanguke kwa kura zile zile 80 kwa 20 lakini wadanganyika walipoambiwa tu habari ya Udini - ya kwamba DR.Slaa ni Padre aliyefukuzwa Upadre iweje agombee Urais, basi waswahili tukaamini na zikatoka nakala za MoU wakati wa Dr.Slaa as if yeye ndiye mwanzishi.. ..Na Mdanganyika, mdanganye kweli maana ukisema ukweli hatakupenda! iwe mkeo mwanao na hata mzazi wako uongo ndio pekee unaweza kukupa mafanikio ktk jamii zetu...Hii ndio silaha kubwa ya CCM kufitinisha, kuwafanya wadanganyika waamini hata kuogopa unyasi wanaoukanyaga!

Wee si unaona wazungu kutoka Czech, Mapopo (Nigeria) na Wazaire wanavyowachukua dada zetu wakiitwa Foreigners?..Ni imanintu imejengwa kwamba ukimpata foreigner atakujengea nyumba na pengine kukurusha kwenda dreamland maana kwa mswahili dreamland ni mahala popote nje ya Tz..Sisi wenyewe tukimpata mtishi basi lazima makamuzi Kempiski na MovenPick uonekane una kitu cha nje!!... Hii ndio akili ya Mdanganyika ambaye kwa umaskini wake amekuwa limbukeni vile vile.. Tuna maradhi mengi sana hivyo sii rahisi kabisa Wadanganyika wakakusoma..

Na wala usifanye mzaha, watu hawa wanaamini kweli vile...wanaamini Lowassa is clean isipokuwa mchafu ni JK na ushahidi ndio kama huu wanaomwaga hapa kina Pasco..Na ukiuliza sana watakwambia CCM hakuna msafi hivyo ni bora ya Lowassa mwenye uwezo mkubwa wa kukemea... Kukemea kipi? kukemea uchafu hapana sasa atakemea nini ikiwa yeye mwenyewe mchafu na huoga uchafu unadhani ule ukali wake atakemea kipi zaidi ya USAFI?..

Nitamalizia tu kusema ya kwamba hao kina Mwanakijiji, sijuo Ben na wengine wote wanaofikiria bora asimame Lowassa kugombea Urais kwa fikra za kwamba anaweza kushindwa kirahisi zaidi, nawaomba wafikirie upya maana ndio kwanza wamepalilia moto wenyewe maana Wadanganyika hawataelewa machafu mengine yote isipokuwa sifa alokwisha pewa. Kama Loliondo tutajipanga na magari yetu maili 20, hakuna chakula mvua kubwa na wakijaribu kuzuia tutapigana nao kama machinga walivyogoma kuhamisha makao yao kando za barabara..Na tutamlinda kama babu wa Loliondo..

Uchafu unapopinduliwa kuwa usafi basi jua ya kwamba kazi ya kugeuza fikra za maskini itakutana na pingamizi kubwa zaidi kama hao watu wa mabondeni ama Kigamboni japokuwa wazi kabisa inaonekana ni Ujinga na Upumbavu. Kama leo Lowassa kaweza kujisafisha ndani ya chama chake CCM..na nguvu kubwa alokuwa nayo sidhani kama kutakuwa na mtu wa kumshinda ktk sanduku la kura na hata ikitokea hivyo NEC, TISS, Jeshi na Polisi wote kesha waweka ktk kumi zake. Tatizo lake lipo kwa wananchi na kama tutaendelea kujenga sifa hizi basi 2015 msirudi hapa kusema Watanzania wajinga sana...Wamemchagua vipi Lowassa?..makosa yatakuwa yetu sisi kwa kutowasoma Wadanganyika wenyewe.
 
Romantic, ngoja na mimi niingilie kidogo hii mada maanake naona wakati Pasco anaongelea Lowassa kusimamishwa kuwa mgombea wa CCM, wewe unaongelea jamaa kuwa Raisi wetu 2015 ! Hakuna hata sehemu moja Pasco anaunga mkono Lowassa kuwa Raisi bali anaunga mkono Lowassa kuwa mgomea Uraisi kwa tiketi ya CCM - what's so hard to understand ?

Wengine wetu tunachosisitiza ni kuwa ili mabadiliko ya kweli yatokee hakuna kama Lowassa ndani ya CCM kuteuliwa kugombea Uraisi mwaka 2015 - siri ni kugombea ! Hilo la kuwa Raisi ni kitu tofauti kabisaaa na hapa ndipo wengi tumeshindwa kuona kwamba ili mabadiliko ya kweli yafanikiwe, ndani ya CCM hakuna mtu muhimu kama Lowassa - what's so hard to see ?

Tumekwenda dukani, tukanunua kitoweo, tukatayarisha chakula na sasa tumeweka mezani , kwa nini mnatutegemea kuwatafunia na kuwamezea ? Jamani hii ni JF na wachangiaji wanategemewa angalau wawe na uelewa usio chini ya ule wa wastani hivyo Romantic, mbona hueleweki ? Labda hilo umbo la Lowassa linawatisha hata msione - but what's so hard to comprehend ?

Kama Strategy ya ushindi CHADEMA ni hii ya kumfanya EL awe mgombea kwa tiketi ya CCM ili iwe mdebwedo kwa CHADEMA hakika ni BONGE ya Strategy HALINACHA sijapata kuonan duniani.Hivi mnawasikia CCM au TAARIFA ZAKE. Naona ni vyema mkajifunza kupitia jina lake very interesting name MAPINDUZI.Hakika aliyechagua jina hili sijui alifikilia nini,natamani kujua ni nani aliyefikilia chama hiki tawala kiitwe chama cha Mapinduzi.

You Guys wake up, ni heri akasimamishwa Mtu kama Magufuri,Membe,Sita au Mwingineyo yeyote ambae anareasoning capacity kwamba kuna kushindwa na kushindwa kuliko EL. Hivi ,iweje afanikiwe kuwalubuni magwiji wa michezo michafu ndani ya chama chake wakiwemo wasomi, wanadiplomasia,marais na wengineo sembuse mimi, wewe na Mwananchi mwingine wa kawaida ambao kiutamaduni wengi wetu tumetanguliza njaa ya siku mbili mbele kuliko ustawi wa maisha yetu kwa miaka kumi na vizazi vijavyo.

Eeeeeeheeeee wena!!!!!!!!!!!!!!!!!! samahani nimezungumza kizuru,nimemkumbuka Jacob Zuma,ndio maana nikasema Hongera mnaotaka kukumbatia na kubaliki mfumo mzima wa kumpa blessing EL awe Mgombea Urais wa Jamhuri Ya Muungano Ya Tanzania,Iliyoasisiwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi.

Kama kuna wafuasi wa CHADEMA mnasupport upuuzi huo hakika ondoeni ndoto hizo hilo kamwe wenye akili zao hawataliacha litokee.Wanajua kinachotakiwa Tanzania ni mtu ambae atakuwa tayari kutuludisha kwenye amani,Upendo, maisha bora, elimu na Afya kwa kila Mtanzania.Na sio wakwasi wa tamaa za kupitiliza na starehe za kidunia zilizokubuhu kupitiliza.

Hivi jamani wanaJF mbona uwa atupendi kuco-ordinate mambo na nyakati na kupata tafsiri ambayo assumption yake inauwezekano mkubwa sana kutokea.

Mkapa alikuwa chaguo la Mwalimu,lakini hakufanikiwa kufuata mafundisho ya Baba yake yani Mwalimu JK,matokeo yake anayajua Mwenyewe sasa hivi anatamani sana angeweza kuludi madarakani kusahihisha makosa yake lakini its too late.Cha msingi alipata blessing za Mwalimu mpaka kuwa Rais wetu.

Jakaya Mrisho Kikwete huyu naye yasemekana Mwalimu alisema bado ajakuwa akomae kwanza,japo kuna watu wanalusha kuwa sio chaguo la Mwalimu lakini ukweli uwa unazungumza kashfa za leo tunazojadiliana Watanzania dhidi ya El na wenzie sio sawa na za wakati ule za JK ni vitu viwili tofauti.Ukiniuliza mimi kuwa JK alipata blessing za Mwalimu hakika nitakwambia ndio alipewa blessing hizo na Mwalimu.Sikuwepo kwenye tukio wala sikuwa na uwezo mkubwa wa kunitosha kuanalise siasa zetu Tanzania kwa kuwa mwaka 1995 nilikuwa kidato cha PILI lakini leo kupitia Historia,hear say,rumours na taarifa kadha wa kadha kuhusu siasa za Tanzania ndani ya Chama cha Mapinduzi tunajua baadhi ya fact kuhusu habari hizi.

Hivyo kwa kuwa Mwalimu alitoa blessing akiwa hai kwa Mkapa na Kikwete,lakini EL alikumbana na hasira ya Mwalimu ya kiongozi kuwa Mchoji badala ya kulinda kondoo basi Mwalimu akaacha radhi.

Hivi jamani katika taafsiri ya kawaida hivi mtu akikosa radhi ya Baba au Mama kwenye maisha yake uwa inakuwaje?Tusaidieni tusiojua haya.Manake Baba wa Taifa hili alikwisha sema yake tena hata kwa mtu kama Rashid Kawawa mtu ambae kwa Tanzania ukiondoa Sokoine I hope he is a third true son of our Land, kwa kumwambia maneno ambayo aliyetumwa kumwambia Kawawa Bwana Kisoki aligwaya kumwambia Mzee wa Watu.

Tufike sehemu tujue hata kama kuna watu watafanikisha azimio la huyu jamaa hakika spiritual wise lazima ijibu kama ilivyojibu kwenye uwaziri Mkuu tena kwa kishindo.Lakini nina hakika hatutafika uko anything possible kwa kuwa mwenye busara na ufahamu wa kiroho uwa na ufahamu kuwa si kila kitu kinawezekana kwa matakwa yako wewe bali ni kwa matakwa na utashi wa Mungu.

Kwa Watanzania waliokuwa Watu wazima katika kipindi cha Mwalimu JK Nyerere na wale waliopata kufanya kazi na Mwalimu kwa ukaribu wanasema Mwalimu alikuwa muwazi na hata akikasilika kwa uwazi kabisa utaona jinsi alivyokasilika kwa hisia za wazi.Yani hakuwa na simile ya kuonyesha hisia zake kitu ambacho ni kizuri kwa kuwa ni moja ya sifa nzuri za kibinadamu kuonyesha hisia zako nje ili viumbe wenzio wapate tafsiri ya mahusiano yako na wewe kupitia Mwili wako.

Chini ni moja ya vitu vya kumbukumbu za kihisia ambazo pamoja na madudu ya Jakaya au Ya Mkapa lakini bado walipata baraka za Mwalimu.
Mwalimu & Jk 1.JPGMwalimu Juius Kambarage Nyerere akiwa na Jk katika Tamasha Moja la Mchezo wa Kikapu [Basketball] Ndani ya Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Jamani hii ndio picha mbili au Tatu nilizonazo ambayo Mwalimu anaonekana kwenye viwanja vya vimechezo.Ukweli wagu katika tafiti za kawaida za Kitanzania ukiacha mchezo wa bao naweza kusema kama Mtanzania wa kawaida pamoja na Tanzania kufanya vizuri kwenye midani ya michezo kitaifa na kimataifa kwenye zama za utawala wake, Mwalimu hakuwa Mpenzi wa Michezo kihivyo kama Marehemu Mzee Rashid Kawawa.

Pata picha JK alitumia aina gani ya ushawishi mpaka mzee huyu akaja kukaa kuangalia mchezo huu wa kikapu wa dakika tisini,ambao ndio mchezo wa hobbie ya Jakaya Kikwete.Kama sio kukubalika kwa JK ni nini?.Zungumza na picha hii kisha tupeane changamoto.
Mwalimu & JK 2.jpgHapa ni baada ya Jk kusurrender uchaguzi wa Mwaka 1995 na kumuachia Mkapa akipongezwa na Mwalimu.Jamani kama Mwalimu alikuwa na uwezo wa kuonyesha hisia zake hadhrani kama amechukia au amekasirika nadhani tunaweza kusema chochote kuhusu Jakaya Mrisho Kikwete na Picha hii na Mwalimu, pamoja na madudu yake ya uongozi ambayo hata kama kaka mkubwa nae aliyatenda lakini walikuwa na heri ya Baba.
Mwalimu & JK 3.jpgMashamushamu ya JK na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ndani ya Dodoma Uchaguzi wa mgombea kwa tiketi ya CCM Mwaka 1995.Jamani wachina wanasema Picha uongea mara 1000.Wanaompigia debe EL watutafutie evidence kama hizi japo zitupe ushahidi wa kimazingira kumbe hata yeye kuna uwezekano kuwa kumbe Watu wanamsingizia Mwalimu hakusema Bad Things [Negative] kumuhusu hivyo nasi wengine tuingie kumnadi Mzee huyo ambae kwa hakika tunasubilia ushawishi mkubwa kutuaminisha sisi tusio wakina Tomaso.
 
Kwa kuwa naamini hii thead tutakuwa nayo mpaka 2015 nimeona ni vyema tujaribu kuikumbuka na thread nyingine tata iliyowahi kuwasilishwa hapa na bwana HUTAKI UNAACHA!ukizisoma zote utaona ni kama jamaa anajichanganya sana khusu mahusiano ya jakaya na ROSTAM pamoja na LOWASSA...INAONYESHA HATA YEYE MWENYEWE HAJUI UHUSIANO WA WATU HAWA WALA HANA FACTS ZOZOTE ZAIDI YA KU BASE ON HE SAID SHE SAID STORY ZA WANAOMUANDIKIA..MSOME HAPA CHINI SAFARI HIYO AKIMTISHA MEMBE...




Membe be careful, adui yako wa kweli humjui!-HUTAKI UNAACHA SAID!



Mh waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa hajamfahamu adui yake no 1. Hii inatokana na ukweli kuwa vita anayopigana inamhusisha yeye na adui asiowajua. Membe anaamini adui zake wakubwa ni Rostam na Edward.Amepotoka.

Membe napenda nikufahamishe ya kuwa, usipoangalia, yatakupata makubwa zaidi ya yale yaliyompata Harrison. Unapigana na watu hatari na wanaotumia akili nyingi sana kwenye game hili la siasa.

Katika baraza la kwanza la JK uliteuliwa kuwa deputy wa home affairs. Ulilalamika sana kwa JK. SMS ya kulalamika kwako uliyomtumia JK, iliwafikia Rostam na Edward at the same time bila wewe kufahamu. Tafakari kwanza!

Richmond haijaletwa na Rostam wala Edward nchini. Wewe unafahamu vyema jinsi JK alivyocheza dili la Richmond kishamba akishirikiana na Gire baada ya mazungumzo yao huko U.S. Baada ya mambo kuharibika ndipo rostam na edward wakashirikishwa. Unafahamu vizuri role aliyoicheza rostam kuhakikisha angalau dowans inazaliwa ili kumwokoa JK.Ya lowassa kujiuzulu unayafahamu vizuri sana sitaki kuyazungumzia kwa sasa.

Sitta hakuwahi kuwa rafiki wa Harrison hata siku moja. Alimtumia tu ili kutimiza malengo yake ya kumwondoa Lowassa kwenye nafasi yake. Wewe ndiye uliyekuwa ukiwachonganisha mara kwa mara JK na PM wake Lowassa. Hata nafasi ya nje uliipata kwa jungu kubwa na la ustadi wa hali ya juu ulilochezewa na vijana wawili wa usalama wa taifa kwa kumchafua Lowassa. JK akaanza kukuamini.Ulicheza vizuri karata kwani ulijua fika jinsi gani sitta alivyomchukia rostam na Lowassa kwa yale waliyomtendea ili asiwe PM na kwa ustadi wa hali ya juu ukamshawishi sitta alitumie bunge ili kumwadhibu lowassa.

Mwakyembe ana ugomvi wa siku nyingi na rostam hata kabla ya JK kuwa rais. Alitumia nafasi hiyo kumnyonga Lowassa na rafiki yake Rostam na kwa bahati mbaya akakiri ndani ya bunge kuwa kuna machafu mengi yameachwa ili kunusuru heshima ya serikali. Kosa kubwa sana kuwahi kufanywa na mtu aliyepitia idara ya usalama wa taifa. Unafahamu vyema kuwa hili kosa ndilo linalomgharimu Harrison huko Appollo. Baada ya Lowassa kuangushwa, ulikumbatiana na Mwakyembe, Rais akawapongeza, mkafurahi, mkabweteka na kumwamini JK. Kosa la pili kubwa.

Kwa bahati mbaya sana ukaungana na Mwakyembe, Mengi, Sitta, na wafuasi wake kwa ajili ya kuutafuta urais tena kwa kumtumia mwanaye Ridhiwani. Hili ni kosa la tatu kubwa kwani ulichanganya kwenye kundi lako watu wasio marafiki wa JK ambao kwa hakika wata-demand umburuze JK mahakamani pindi utakapokuwa rais.

Rostam-JK-lowassa

1. Hawa ni marafiki wakubwa ambao licha ya wawili kuwa nje ya serikali lakini wote watatu wanaendesha serikali na hawasiti 'kuwanyamazisha'' wabaya wao wanaogusa interest zao.Individually wanatofautiana ila wakiwa watatu ni wamoja.Membe naomba ufahamu hili.
2. Wewe ulimtaka sitta awe spika kwa mara nyingine tena. JK alimtaka sitta pia lakini katika kikao cha watatu akakubaliana na pendekezo ingawa kwa shingo upande la Anne kuwa spika.
3. JK atakuwa safe kama lowassa akiwa rais.Hatakuwa safe endapo mmoja wenu atakuwa rais.Anafahamu hili fika.
4. Richmond itarudi bungeni kabla ya 2015.Wakati wa kujadili, wewe na mwakyembe mko tayari kusema ukweli.Ili kuwazima, mwakyembe 'ataondoka' then wewe waweza kufuata!.Haya yatafanywa na umoja wa hawa watatu na si individually
5. Ndani ya CC iliyopita zilipigwa kura za siri ili kumfukuza Lowassa uanachama.Kati ya wajumbe 32, 19 walimsupport lowassa na 13 kwa JK!.Hapa wanaonekana ni wapinzani ingawa wakiwa watatu ni wamoja.
6. JK anaweza kukusikiliza na kujifanya mko pamoja naye. Lengo ni kutaka kujua what's going on in your group ili wawamalize vizuri.
7. JK hakumtaka Bilal, lakini umoja ukalazimisha ndiye awe makamu wa rais. Mkapa alitumwa bila kuelewa.
8. Hawa watatu kwa pamoja walimteua Mkama. Wewe hujui hilo ingawa mwenzako chiligati alishastukia!
9. Membe unafahamu ya kwamba kujivua gamba ni hoja iliyoletwa na rostam kwa mara ya kwanza kwenye kikao cha watatu hao ili game iishie bungeni kwenye kujadili Richmond upya? Symbion iko nchini Membe. Unajua kaileta nani?. Je, nani kamleta Mama Clinton nchini?
10. Membe muulize Mwandosya akwambie jinsi watatu hawa wanavyomtesa. Umesahau tulipokuwa Marekani jinsi Balali alivyosema kuhusiana na chanzo cha afya yake kuzorota?.
etc, etc, etc, etc

Ushauri wangu kwa Membe
:

Be careful sana katika game hili Membe. Kama kweli unautaka urais lazima kwanza uufahamu mchezo unavyokwenda. Wenzako wanacheza game nzito na kisayansi zaidi. Know your enemy first. Na kwa kukusaidia, adui yako namba moja ni huo utatu and not an individual person


NAKUULIZA BWANA HUTAKI UNAACHA HADITHI ZAKO ZOTE NI TAMU,SASA IPI YA UKWELI KATI YA HIZI YA MBILI?J

Membe be careful AU




Mh waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa hajamfahamu adui yake no 1. Hii inatokana na ukweli kuwa vita anayopigana inamhusisha yeye na adui asiowajua. Membe anaamini adui zake wakubwa ni Rostam na Edward.Amepotoka.

Membe napenda nikufahamishe ya kuwa, usipoangalia, yatakupata makubwa zaidi ya yale yaliyompata Harrison. Unapigana na watu hatari na wanaotumia akili nyingi sana kwenye game hili la siasa.

Katika baraza la kwanza la JK uliteuliwa kuwa deputy wa home affairs. Ulilalamika sana kwa JK. SMS ya kulalamika kwako uliyomtumia JK, iliwafikia Rostam na Edward at the same time bila wewe kufahamu. Tafakari kwanza!

Richmond haijaletwa na Rostam wala Edward nchini. Wewe unafahamu vyema jinsi JK alivyocheza dili la Richmond kishamba akishirikiana na Gire baada ya mazungumzo yao huko U.S. Baada ya mambo kuharibika ndipo rostam na edward wakashirikishwa. Unafahamu vizuri role aliyoicheza rostam kuhakikisha angalau dowans inazaliwa ili kumwokoa JK.Ya lowassa kujiuzulu unayafahamu vizuri sana sitaki kuyazungumzia kwa sasa.

Sitta hakuwahi kuwa rafiki wa Harrison hata siku moja. Alimtumia tu ili kutimiza malengo yake ya kumwondoa Lowassa kwenye nafasi yake. Wewe ndiye uliyekuwa ukiwachonganisha mara kwa mara JK na PM wake Lowassa. Hata nafasi ya nje uliipata kwa jungu kubwa na la ustadi wa hali ya juu ulilochezewa na vijana wawili wa usalama wa taifa kwa kumchafua Lowassa. JK akaanza kukuamini.Ulicheza vizuri karata kwani ulijua fika jinsi gani sitta alivyomchukia rostam na Lowassa kwa yale waliyomtendea ili asiwe PM na kwa ustadi wa hali ya juu ukamshawishi sitta alitumie bunge ili kumwadhibu lowassa.

Mwakyembe ana ugomvi wa siku nyingi na rostam hata kabla ya JK kuwa rais. Alitumia nafasi hiyo kumnyonga Lowassa na rafiki yake Rostam na kwa bahati mbaya akakiri ndani ya bunge kuwa kuna machafu mengi yameachwa ili kunusuru heshima ya serikali. Kosa kubwa sana kuwahi kufanywa na mtu aliyepitia idara ya usalama wa taifa. Unafahamu vyema kuwa hili kosa ndilo linalomgharimu Harrison huko Appollo. Baada ya Lowassa kuangushwa, ulikumbatiana na Mwakyembe, Rais akawapongeza, mkafurahi, mkabweteka na kumwamini JK. Kosa la pili kubwa.

Kwa bahati mbaya sana ukaungana na Mwakyembe, Mengi, Sitta, na wafuasi wake kwa ajili ya kuutafuta urais tena kwa kumtumia mwanaye Ridhiwani. Hili ni kosa la tatu kubwa kwani ulichanganya kwenye kundi lako watu wasio marafiki wa JK ambao kwa hakika wata-demand umburuze JK mahakamani pindi utakapokuwa rais.

Rostam-JK-lowassa

1. Hawa ni marafiki wakubwa ambao licha ya wawili kuwa nje ya serikali lakini wote watatu wanaendesha serikali na hawasiti 'kuwanyamazisha'' wabaya wao wanaogusa interest zao.Individually wanatofautiana ila wakiwa watatu ni wamoja.Membe naomba ufahamu hili.
2. Wewe ulimtaka sitta awe spika kwa mara nyingine tena. JK alimtaka sitta pia lakini katika kikao cha watatu akakubaliana na pendekezo ingawa kwa shingo upande la Anne kuwa spika.
3. JK atakuwa safe kama lowassa akiwa rais.Hatakuwa safe endapo mmoja wenu atakuwa rais.Anafahamu hili fika.
4. Richmond itarudi bungeni kabla ya 2015.Wakati wa kujadili, wewe na mwakyembe mko tayari kusema ukweli.Ili kuwazima, mwakyembe 'ataondoka' then wewe waweza kufuata!.Haya yatafanywa na umoja wa hawa watatu na si individually
5. Ndani ya CC iliyopita zilipigwa kura za siri ili kumfukuza Lowassa uanachama.Kati ya wajumbe 32, 19 walimsupport lowassa na 13 kwa JK!.Hapa wanaonekana ni wapinzani ingawa wakiwa watatu ni wamoja.
6. JK anaweza kukusikiliza na kujifanya mko pamoja naye. Lengo ni kutaka kujua what's going on in your group ili wawamalize vizuri.
7. JK hakumtaka Bilal, lakini umoja ukalazimisha ndiye awe makamu wa rais. Mkapa alitumwa bila kuelewa.
8. Hawa watatu kwa pamoja walimteua Mkama. Wewe hujui hilo ingawa mwenzako chiligati alishastukia!
9. Membe unafahamu ya kwamba kujivua gamba ni hoja iliyoletwa na rostam kwa mara ya kwanza kwenye kikao cha watatu hao ili game iishie bungeni kwenye kujadili Richmond upya? Symbion iko nchini Membe. Unajua kaileta nani?. Je, nani kamleta Mama Clinton nchini?
10. Membe muulize Mwandosya akwambie jinsi watatu hawa wanavyomtesa. Umesahau tulipokuwa Marekani jinsi Balali alivyosema kuhusiana na chanzo cha afya yake kuzorota?.
etc, etc, etc, etc

Ushauri wangu kwa Membe
:

Be careful sana katika game hili Membe. Kama kweli unautaka urais lazima kwanza uufahamu mchezo unavyokwenda. Wenzako wanacheza game nzito na kisayansi zaidi. Know your enemy first. Na kwa kukusaidia, adui yako namba moja ni huo utatu and not an individual person


NAKUULIZA BWANA HUTAKI UNAACHA HADITHI ZAKO ZOTE NI TAMU,SASA IPI YA UKWELI KATI YA HIZI YA MBILI?

JE NI:

Membe be careful AU JK, huu mtandao ni hatari! Be careful,


 
Maandishi yako haya naweza kusema kwangu yameleta mapinduzi makubwa leo...nikiri kwamba baada kukusoma wewe nikalazimika kurudia maandiko ya P moja baada ya jingine toka thread hii ianze,niseme tu nimewaelewa wote japo nasikitika sana kuchelewa kuelewa,kama mtafuatilia maandishi yangu sijawahi hata kuliandika jina Pasco kwenye michango yangu mbalimbali,nilimuona nuksi,alieruhusu bei yake kufahamika,nilikosea,naomba mlioelewa mapema mniwie radhil,leo naliandika jina pasco kwa mara ya kwanza kwenye maandishi yangu.....ila napenda kumuasa awe muangalifu sana katika kazi yake hapa ndani,pasco ni miongoni mwa watu wanaojua kuandika na maandishi yake yana ushawashi sana,humu kuna watu mbalimbali na tunaingia humu kwa malengo tofauti tofauti wapo watu sio wengi lakini wapo ambao huja humu kuchukua maneno ya kwenda kuhadithia huko site,ambako ndiko waliko wapiga kura ambao wengi kuingia humu na kumuelewa mtu kama pasco anasema nini ni muhali,wao watamtegemea huyu mwenzetu mshereheshaji wa maneno ya pasco bila tafakuli ya kina,tuwatizame kwa jicho la huruma hao wenzetu wa huko site ambao ni muhimu sana katika kuleta mapinduzi!

Lingine kuna mwenzetu mmoja hapa aliligusia hapo nyuma,la kwamba uzoefu unaonyesha mgombea wa ccm mara zote ndio huwa rais wetu,hili pia watu wa aina ya Pasco walitazame pia kwa kina,sisi wengine hilo tumeshalipima ndio maana mnaona tunajaribu kuanzisha mapambano ya ndani kwa ndani,ambayo mimi nasisitiza ntaendelea nayo,naamini zaidi katika ushindi wa ndani dhidi ya adui!

mwisho wa siku niseme asante kwako Bwana Mag 3,si kawaida yangu kutaja taja majina ya watu humu lakini kama nilivyosema leo imekua ni siku ya mapinduzi makubwa kwangu.

Aluta Continua japo kwa strategy tofauti!

Pole sana kaka kama ulikua hujamuelewa Pasco. Sie tuliliona toka mwanzo na bahati mbaya kazi aliyokua anaifanya nadhani bado hamjamuelewa.

Ngoja niiweke wazi basi angalau uelewe zaidi!.

Chadema wanaamini akisimama EL watashinda urais kwa ulaini. Mie NINAKATAA

Uchaguzi uliopita walishinda, ilikuwaje?.

Niamini ndugu yangu, kama CCM wakimweka EL watashinda uchaguzi kwenye nafasi ya urais. Kama wakimweka Membe wamekwisha. Believe me.

Chaguzi nyingi Tanzania zinaendeshwa na non Human RESOURCES, Human resources zina play party ndogo zana kwenye kura especially za urais. Vyama vya upinzani hawana wawakilishi kwenye vituo vyote vya kupigia kura Tanzania nzima.

Nimekumegea kidogo tu kwanini hii strategy ya Pasco imekufanya UHAMISHE GOAL POST huku Pasco akilirudisha bila wewe kujua na mwishoni TUNAWAFUNGA BAO........ kutahamaki mmechelewa ELAirline ina tua pale MAGOGONI.

EL anachohitaji sasa hivi nikupitishw ana CCM tu, baada ya hapo ma master strategists na ma spin doctors wapo wa kumwaga tunafanya kazi kuliko ya bwana ROVE wa GWBush!
 
DSN.....watu wamenunuliwa
halafu wanajifanya ndio strategy ya ushindi........wanafikiri Lowassa ni mjinga??

yaani aweze kuwa mgombea wa ccm halafu ashindwe kuwa rais????

hii nchi ni full comedy.....

Ninapoipendea JF ni pale unapojua wazi nani ana information na nani ni GREAT THINKER.

Ndugu yangu wewe ni mmoja wa great thinkers humu. Huandiki sana lakini una akili ya kupambanua mambo.

Mfano mwingine ni jinsi watu walivyofungwa GOLI ya kisigino na Pasco.

Naipenda JF

ELAirline inatua 2015 Magogoni.
 
mkuu heshima yako,
pasco amepanda EL airline imfikishe NEC na sio magogoni, akishaona EL kafika NEC atahamia ndege nyingine itakayomfikisha magogoni. hata mimi nimeamua kupanda hiyo ndege kwa mda,

Utakaso unazidi kuenea. Karibu sana zumbemkuu ELairLine ni 5 star airline, humu ndani kuna huduma bora inayotolewa na wahudumu wenye ukarimu wa hali ya juu. Jisikie huru
 
DSN.....watu wamenunuliwa
halafu wanajifanya ndio strategy ya ushindi........wanafikiri Lowassa ni mjinga??

yaani aweze kuwa mgombea wa ccm halafu ashindwe kuwa rais????

hii nchi ni full comedy.....

Naaam nilishawaona toka awali, nakubali mwaka 2000 tulinunuliwa Watanzania na kumbariki Kikwete kupitia mambo mengi likiwemo lile la kuwa chaguo la Mungu.Lakini hii ELAirline ina lipi hilo ambalo litatubadilisha wengine tuone bora kupanda ndege hiyo au ndio hivyo, bora kupanda kwa kusingizia kuwa ni heri yeye mwenye dare ya kuforce mambo bila reasoning.Hakika naona burudani anyway tusiondani ya vyama vya siasa yetu mach😵le wao !!!!!!!!!!!!!!
 
DSN.....watu wamenunuliwa
halafu wanajifanya ndio strategy ya ushindi........wanafikiri Lowassa ni mjinga??

yaani aweze kuwa mgombea wa ccm halafu ashindwe kuwa rais????

hii nchi ni full comedy.....

Bravo the Boss,
Watu wanaandika sana lakini wanasahau mambo ya msingi sana, Mabadiliko ya kweli hayataletwa na CCM, Kwa kuwa CCM Adui yao mkubwa ni mabadiliko na hasa kwa kuzingatia kuwa Mabadiliko yatavuruga Interests zao. Kama ulivyosema hapo juu mgombea yoyote toka CCM Atashinda. System yote ni yao. Hapa nilitegemea watu wangekuwa wanapanga Stratergy ya namna gani kuiondoa CCM, Kamwe CCM Haitaondoka kwa Ballot Box, Hilo Dunia nzima inajua.
 
Pole sana kaka kama ulikua hujamuelewa Pasco. Sie tuliliona toka mwanzo na bahati mbaya kazi aliyokua anaifanya nadhani bado hamjamuelewa.

Ngoja niiweke wazi basi angalau uelewe zaidi!.

Chadema wanaamini akisimama EL watashinda urais kwa ulaini. Mie NINAKATAA

Uchaguzi uliopita walishinda, ilikuwaje?.

Niamini ndugu yangu, kama CCM wakimweka EL watashinda uchaguzi kwenye nafasi ya urais. Kama wakimweka Membe wamekwisha. Believe me.

Chaguzi nyingi Tanzania zinaendeshwa na non Human RESOURCES, Human resources zina play party ndogo zana kwenye kura especially za urais. Vyama vya upinzani hawana wawakilishi kwenye vituo vyote vya kupigia kura Tanzania nzima.

Nimekumegea kidogo tu kwanini hii strategy ya Pasco imekufanya UHAMISHE GOAL POST huku Pasco akilirudisha bila wewe kujua na mwishoni TUNAWAFUNGA BAO........ kutahamaki mmechelewa ELAirline ina tua pale MAGOGONI.

EL anachohitaji sasa hivi nikupitishw ana CCM tu, baada ya hapo ma master strategists na ma spin doctors wapo wa kumwaga tunafanya kazi kuliko ya bwana ROVE wa GWBush!

Kama umenisoma sawasawa bila kukurupuka utagundua kwamba nimetoa na tahadhari pia nakusisitiza kwamba mimi naamini zaidi katika mapambano ya ndani ambayo nimetoa ahadi ya kuendelea nayo hadi kieleweke!Lowassa ni mtu wangu sana kama nilivyopata kusema pahala huko nyuma na wala si dhambi kuwa na rafiki fisadi lakini kwa urais ama hata ugombea urais hapana,nilitoa tahadhari kwa waumini wa strategy ya pasco,mtu akishakua mgombea urais kwa tikiti ya ccm kwa utamaduni wa siasa zetu uchwara(according to mburushi wa igunga) huyo ndio rais.

Aluta continua kitaelewaka tu huko mbele ya safari!
 
Boss, mkuu mimi nawaelewa sana jamaa zangu lakini ngome pekee tulobakia nayo ni wananchi wenyewe. Nasikitika sana kusema kwamba nimesikia habari za pembeni pembeni ingawa sina uhakika kwamba Chadema wanampigia debe Lowasssa kwa sababu wanataka yeye asimame ati itakuwa baraka kwao na watamshinda kirahisi ktk sanduku la Kura..

Hizi ni ndoto za mwendawazimu kabisa....Mifano ya JK nimeutoa huko nyuma Na mtu yeyote atakayesimama kugombea Urais CCM lazima ashinde hata iwe Karamagi sasa unapofikiria Jemedari Lowassa ndiye asimame kama mgombea kweli akili hii nzuri?...CCM hawawezi kushindwa kupitia sanduku la Kura na Chadema wanatakiwa kufikiria nje kabisa ya sanduku la kura maana huko hakuna ushindi..

Labda niwakumbusheni tu kwamba Rev. Kishoka aliwahi kuandika hapa JF kwamba Ujio wa JK ni baraka kwetu na akamshukuru Mungu.... Je, mnakumbuka akidhania ya kwamba mwaka 2010 itakuwa rahisi sana kwa Chadema kuchukua majimbo mengi tena wakiweka hesabu ndogo ya kupata majimbo 100. Na tukumbuke machafu yote yalikuwa ya Lowassa na kweli EL alibeba mzito wa chama laa sivyo CCM ingesambaratika. Pengine watu mnasahau jinsi chama kilivyoingia matatani hadi kukazuka wapambanaji?.. JK asingepona wala CCM tuijuayo isingefika leo lakini kujiuzulu kwa Lowassa ndiko kuliko kiweka chama pamoja na kikubwa zaidi kuvuruga tactic ya Chadema dhidi ya JK na uchaguzi wa mwaka 2010..

Toka siku hiyo story kubwa ilikuwa Richmond ni mali ya Lowassa na Rostam tukasahau kwamba NEC bado ni ile ile (ya uchakachuaji) na utaratibu wa uchaguzi bado in favour of chama kimoja yaani kumchagua mtu (nyumba au Jembe) na sio chama maana siku zote tunatumikia dira na sera za CCM pekee..

Mbinu inayofuata toka CCM ni kuvibomoa vyama vya Upinzani from within. Mimi nina hakika kabisa watu kuweka makundi dhidi ya kambi ya Zitto ni mpango uliotoka CCM. Maana CUF kumchukia pia Hamad Rashid ni mpango uliotoka CCM kwa maana kwamba hawa watu wakielewana kuna uwezekanao mkubwa wa CCM kuanguka. Kwa hiyo kambi ya Mbowe, Maalim Seif, Zitto na Hamad Rashid wote wana habari za kutisha kuhusu kambi nyingine..Wanaogopana sana na wengine hata kuwa karibu na CCM zaidi kwa hofu ya kuogopa unyasi..

Hivyo wakati mnafikiria kumbomoa ama kumpandisha chat Lowassa fahamuni pia kwamba naye EL na CCM wako kazini kumaliza nguvu ya vyama vya Upinzani (offense) wakati vyama hivi vimeshindwa kuweka defence against CCM isipokuwa wao wneyewe..Na sisi wananchi tunaendelea kuota ndoto za mchana na kuomba Mungu CCM kugawanyika wenyewe. There is no way tutamshinda CCM kwa fikra na tactics, Mzee Malecela aliisha sema CCM ina mbinu nyingin sana haiwezi kushindwa uchaguzi.
 
boss, mkuu mimi nawaelewa sana jamaa zangu lakini ngome pekee tulobakia nayo ni wananchi wenyewe. Nasikitika sana kusema kwamba nimesikia habari za pembeni pembeni ingawa sina uhakika kwamba chadema wanampigia debe lowasssa kwa sababu wanataka yeye asimame maana itakuwa baraka kwao na watamshinda kirahisi ktk sanduku la kura..

Hizi ni ndoto za mwendawazimu kabisa....mifano ya jk nimeutoa huko nyuma na mtu yeyote atakayesimama kugombea urais ccm lazima ashinde hata iwe karamagi sasa unapofikiria jemedari lowassa ndiye asimame kama mgombea kweli akili hii nzuri?...ccm hawawezi kushindwa kupitia sanduku la kura na chadema wanatakiwa kufikiria nje kabisa ya sanduku la kura maana huko hakuna ushindi..

Labda niwakumbusheni tu kwamba rev. Kishoka aliwahi kuandika hapa jf kwamba ujio wa jk ni baraka kwetu na akamshukuru mungu.... Je, mnakumbuka akidhania ya kwamba mwaka 2010 itakuwa rahisi sana kwa chadema kuchukua majimbo mengi tena wakiweka hesabu ndogo ya kupata majimbo 100. Na tukumbuke machafu yote yalikuwa ya lowassa na kweli el alibeba mzito wa chama laa sivyo ccm ingesambaratika. Pengine watu mnasahau jinsi chama kilivyoingia matatani hadi kukazuka mapambanaji?.. Jk asingepona wala ccm tuijuayo isingefika leo lakini kujiuzulu kwa lowassa ndiko kuliko kiweka chama pamoja na kikubwa zaidi kuvuruga tactic ya chadema dhidi ya jk na uchaguzi wa mwaka 2010..

Toka siku hiyo story kubwa ilikuwa richmond ni mali ya lowassa na rostam tukasahau kwamba nec bado ni ile ile (ya uchakachuaji) na utaratibu wa uchaguzi bado in favour of chama kimoja yaani kumchagua mtu (nyumba au jembe) na sio chama maana siku zote tunatumikia dira na sera za ccm pekee..

Mbinu iliyofuata toka ccm ni kuvibomoa vyama vya upinzani from within. Mimi nina hakika kabisa watu kuweka makundi dhidi ya kambi ya zitto ni mpango uliotoka ccm. Mana cuf kumchukuia hamad rashid ni mpango uliotoka ccm kwa maana kwamba hawa watu wakielewana kuna uwezekanao mkubwa wa ccm kuanguka. Kwa hiyo kambi ya mbowe, maalim seif, zitto na hamad rashid wote wana habari za kutisha kuhusu kambi nyingine..wanaogopana sana na wengine hata kuwa karibu na ccm zaidi kwa hofu ya kuogopa unyasi..


Hivyo wakati mnafikiria kumbomoa ama kumpandisha chat lowassa fahamuni pia kwamba naye el na ccm wako kazini kumaliza nguvu ya vyama vya upinzani (offense) wakati vyama hivi vimeshindwa kuweka defend..na sisi wananchi tunaendelea kuota ndoto za mchana na kuomba mungu ccm kugawanyika wenyewe. There is no way tutamshinda ccm kwa fikra na tactics, mzee malecela aliisha sema ccm ina mbinu nyingin sana haiwezi kushindwa uchaguzi.

kiukweli upinzani si watu wa kuwategemea kuleta changamoto yeyote,tazama sasa wakati hapa kila kukicha tunawasikia kuwachambua wanaotajwa tajwa kumrithi jakaya magogoni sio (lumbumba wala chimwaga)lakini upinzani hatuwasikii hata mmoja,hivi nani wanaotajwa tajwa kugombea kwa tiketi ya chadema ambacho ndicho cha tunachokitegemea sana?au wanasubiri dakika za mwisho wakati ccm wameshampata mgombea ambae wakati huo atakuwa mashuhuri tayari kupitia hili debe tunalopiga hapa magazetini,kwenye barza za kahawa na kila mahalai kuhusu mgombea wa ccm?mbona wa cdm mpaka sasa hatumsikii,amejificha wapi?maana hata mashabiki wa kutupwa wa chadema sasa wanacheza ngoma hii ya ccm,vipi kuhusu kumuandaa mgombea wao?wamemuachia nani kazi hiyo?au mwisho wa siku tunataka matokeo bila maandalizi na kuandaa mabegi ya sababu za kushindwa ikiwemo hii ambayo imeshaanza kutajwa tajwa hapa ya tume ya uchaguzi kuipendelea ccm,manazi wa chadema amkeni tokeni kwenye usingizi mzito,achanaeni na na hii ngoma ya ccm,wenzenu ndio wameshaanza kampeni ya kumuandaa mgombea wao ambayo na nyie mnaishiriki bila kujua!
 
Back
Top Bottom