Kikwete Kafanya Vyema Wapi?


kweli wewe ni GT
___pia amefanikiwa kudhibiti wezi na kwa kweli police wanakula rushwa ila hawacheki na majambazi hasa yale yanayotumia silaha__big up jk baba!
______________oo
ila tukisema mapungufu ni mengu sana kama wizi wa pesa za umma upo juu mno
 
Huyu msanii hana chema alichokifanya zaidi ya kutekeleza yale aliyoyaacha Mkapa. Ikumbukwe, yeye anatekeleza tu ila hajafanya maamuzi ya maana.
mipango ipi ya mkapa
anayoitekeleza jk? udom,barabara,kuongeza idadi ya wahitim vyuo vikuua,upanuzi wa muhi2...2015 rais atatoka zenj,utakonda sana,miaka 20!
 
Amefanikiwa kusafiri kuliko ma Rais wote waliomtangulia!
 
JK 'amefanya vyema' katika 'tasnia' ya kupigwa picha.

Amebobea kuliko rais yoyote yule ....Anapendezaga..!!!






 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…