Kikwete kainua uchumi wa Tanzania

Kikwete kainua uchumi wa Tanzania

Huna hoja na uache longongo zako wee Zawadi Ngudu! Kulikoni ulete takwimu za CIA, ambao kwa Waislamu walio wengi wanafahamika kuwa ni ADUI NAMBARI WANI WA ISLAMU, na ambao bila shaka, Ansar al Sunna/Shura ya Maimamu wanapinga kwa nguvu zao zote (ikiwamo mabomu ya atomiki na nyuklia kama ikiwezekana) chochote kile kinachohusiana na CIA/Wazungu/Wakristo/Makuruseda/Makafiri?

Afterall, if Muslims really do make up 50% of the population in Tanzania, then chances are, one or another Muslim intellectual would have come up with figures that side with your side of the story about the unprecedented, phenomenal successes of Kikwete's economic policies.

Wewe unachotakiwa kufanya hapa, Ms. Zawadi Ngedere, ni kutumwagia takwimu zilizotayarishwa na hao milioni 20 (au 50%) ya Watanzania unaodai ni Waislamu.
Ndugu, hizi si data za uchumi si za waislam peke yao. Hizi ni data za watanzania wote. Sasa sijui hayo mambo ya mashura wa maimamu na intellectual muslims yanakujaje?

Kwa muhtasari nimeelewa kuwa somo limelewka kwako vizuri sana. Ukweli umeufahamu na kwa muujibu wa maelezao yako nahisi nawe unamuunga mkono Kikwete. Hatua nzuri! Sasa tuungane pamoja kuziendeleza na kuzikuza hizo data. Naona tupo pamoja, kwasababu hakuna aliyepinga yale maendeleo ya kiuchumi niliyoyaorodhesha katika #85.

Haluta kontinua!!! Kikwete anaweza.
 
They will come in all kinds of sizes. 2010 is around the corner and ari mpya, kasi mpya, and whatever mpya has brought nothing. So send some spinners to the rescue.
 
Naona sasa kampeni za JK 2010 zimeanzia JF! Unapoona post ya mtu unayeweza kumhisi kama kada wa SISIEM, watch out! Just ignore them!

JF kama community ya great thinkers, sio watu wakudanganywa kirahisi na watu wachache wenye lengo la kutimiza malengo yao ya KIBINAFSI. Nashukuru kwa kuwa wengi wetu tunaelewa ni nini cha kufanya ili kuikomboa nchi yetu. Tubaki na msimamo wetu na kujenga hoja zisizo na mitazamo binafsi kama ile ya wachache waliovamia JF wakijaribu kuendelea kuipotosha jamii yetu ya watanzania.

Tanzania tunaipenda wengi, ila wachache wenye nguvu ndio wanaoiharibu. MUNGU atusaidie.
Jamani, hebu angalieni wenyewe, hizo data nilizoziandika zikuzichukua CCM, CUF, CHADEMA au Serikali ya Tanzania. Takwimu zote nimezichukua www.aneki.com. Ni shirika linalopata Takwimu zake toka UN na CIA. Hapa hakuna cha mkono wa Kikwete , CCM wala Serikali. Sasa mtanihukumuje katika kampeni za uchaguzi 2010?

Wengine wameniita mwanasiasa na kwamba nimekuja hapa JF kama msaliti na mchafuzi wa wapenda maendeleo. Hayo yanasemwa bila kutoa uthibitisho. Kumbukeni JF imejitangaza kama uwanja ambao watu wana dare to speak their mind and trueth openly. Wengine wamekuja na mapya kabisa, kuwa hizi takwimu za hawa jamaa tusiziamini, na hawa hawa waliposema uchaguzi wa TZ 2000 ulikuwa na kasoro tuliwakubalia sana. Sasa sisi watanzania ni watu wa aina gani?

Njia pekee na nzuri sana ya kumuumbua Zawadi, ni kutoa takwimu na vyanzo vyake zitazoonyesha kuwa uchumi unashuka. Zawadi kaingia www.aneki.com akapata GDP per capita ya $1400. Kuna mwingine kaingia www.cia.gov na akapata GDP per capita $1300. Haidhuru, tofauti kidogo lakini bado uchumi umekua toka $600(2005) mpaka $1300(2008). Sasa dhambi yangu iko wapi? Kinachotakiwa na cha msingi ni kuchacharika katika vyanzo mbali mbali na kutafuta kile kitachoonyesha kuwa GDP per capita ni $500(2008). Hapo nitatokea hapa tena na kuwaomba msamaha. Naninahakika hamtakipata chanco hicho, tiara haishikiki inatereza kama kambale iko juuuuu.

Tusipende kuzungumza kama wanasiasa wenye kuficha ukweli bila kutaja Takwimu. Utawasikia, uchumi umekua, mauzo ni makubwa, umeme ni mwingi, ujambazi umepungua. ilimradi katika maelezo yao yote hakuna hata takwimu moja. Sasa ni wakati wa kuzungumza kwa NAMBA. Kama tuliweza kusema kuwa Mkapa alishinda kwa 52% ni lazima tuweze kusema kuwa ameondoka madarakaani huku GDP per capita ni $600. Vile vile tuweze kusema kuwa Mkapa aliingia madarakani akiwa na Benzi 2 na nyumba 2, na anatoka madarakani akiwa na Magari........, makampuni........., na pesa taslimu TZ SH........., na pesa taslimu nje $................

Tukiweza haya tutazungumza lugha moja. Kikwete anaweza!!!!!!!
 
Ndugu, hizi si data za uchumi si za waislam peke yao. Hizi ni data za watanzania wote. Sasa sijui hayo mambo ya mashura wa maimamu na intellectual muslims yanakujaje?

Kwa muhtasari nimeelewa kuwa somo limelewka kwako vizuri sana. Ukweli umeufahamu na kwa muujibu wa maelezao yako nahisi nawe unamuunga mkono Kikwete. Hatua nzuri! Sasa tuungane pamoja kuziendeleza na kuzikuza hizo data. Naona tupo pamoja, kwasababu hakuna aliyepinga yale maendeleo ya kiuchumi niliyoyaorodhesha katika #85.

Haluta kontinua!!! Kikwete anaweza.

Bado hujaorodhesha chochote ... cha kupingwa.
 
Ndugu, hizi si data za uchumi si za waislam peke yao. Hizi ni data za watanzania wote. Sasa sijui hayo mambo ya mashura wa maimamu na intellectual muslims yanakujaje?

Kwa muhtasari nimeelewa kuwa somo limelewka kwako vizuri sana. Ukweli umeufahamu na kwa muujibu wa maelezao yako nahisi nawe unamuunga mkono Kikwete. Hatua nzuri! Sasa tuungane pamoja kuziendeleza na kuzikuza hizo data. Naona tupo pamoja, kwasababu hakuna aliyepinga yale maendeleo ya kiuchumi niliyoyaorodhesha katika #85.

Haluta kontinua!!! Kikwete anaweza.

Hakuna cha "Haluta Kontinua" wala babake "Haluwa Kontinua" (kama wenzetu Waislamu msemavyo).

Hata kama ni kweli pato la Taifa limeongezeka baada ya JK kuchukua madaraka, ukweli ni kwamba itakuwani sawa na kupiga hatua moja mbele na hatua mbili nyuma kwani huduma za jamii zimelemewa maradufu kama unavyoona kwenye picha ya watoto ombaomba waliokithiri kila sehemu ya jiji licha ya kwamba Kikwete kuunda Wizara maalum ya MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO alipoingia madarakani. Na hapo bado hatujaenda mikoani na vijijini ambapo wengi wa watoto hawa na wazazi wao wanakotokea.

La msingi ni kwamba takwimu kavu na tupu za "ongezeko" la pato la Taifa unazosoma kwenye makaratasi na mtandaoni si za kuaminika na hazina maana yoyote wakati hali halisi ndiyo kama unavyoona. Kalagha Baho!
 
Hakuna cha "Haluta Kontinua" wala babake "Haluwa Kontinua" (kama wenzetu Waislamu msemavyo).

Hata kama ni kweli pato la Taifa limeongezeka baada ya JK kuchukua madaraka, ukweli ni kwamba itakuwani sawa na kupiga hatua moja mbele na hatua mbili nyuma kwani huduma za jamii zimelemewa maradufu kama unavyoona kwenye picha ya watoto ombaomba waliokithiri kila sehemu ya jiji licha ya kwamba Kikwete kuunda Wizara maalum ya MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO alipoingia madarakani. Na hapo bado hatujaenda mikoani na vijijini ambapo wengi wa watoto hawa na wazazi wao wanakotokea.

La msingi ni kwamba takwimu kavu na tupu za "ongezeko" la pato la Taifa unazosoma kwenye makaratasi na mtandaoni si za kuaminika na hazina maana yoyote wakati hali halisi ndiyo kama unavyoona. Kalagha Baho!
Usiseme hata ni kama uchumi umekuwa, tafadhali lete Takwimu. Hivi ni vigumu kuongea lugha ya Takwimu? .Mbona nimeelezea kirefu sana jinsi unavyoweza kunishutumu juu ya habari yangu. Nami nikaandika kuwa nitawaomba radhi wana JF kwa ujumla ikiwa itaonekana kuwa Takwimu hizo ni za kubabaisha.

Sasa kua mwanangu, na tuzungumze lugha ya kisomi hapa JF. wAOMBE HATA WASOMI wa mlimani WAKUSAIDIE. Ukifanya hivyo nitafurahi sana. Sina haja ya kurudia Takwimu, tumia hizo hizo nilizokwishaandika.

Takwimu tafadhaliiiii. Kikwete anaweza!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom