Kumuita Kikwete mbabaishaji ni kumkweza.
Mana ili mtu kuwa mbabaishaji inabidi awe anaelewa angalau the basics, lakini hawezi kufanya mambo vizuri, anababaisha babaisha na kubahatisha bahatisha, hii ni bora kuliko Kikwete.
Kikwete ni chini ya mbabaishaji, huyu anaitwa "bora liende", yaani yeye mwenyewe hajui kazi (fine, hata Mwinyi hakujua kazi, lakini alichagua watu wakamfanyia kazi to an extent)
Sasa huyu Kikwete yeye kazi hajui, hata kuchagua watu watakaomfanyia kazi nako hajui, unaenda kuchagua PM Pinda, sijui Sophia Simba, Makamba, Mkullo aibu aibu aibu.
Kuna a famous physicist alikuwa anaitwa Wolfgang Pauli, aliletewa arguments za physicist mwingine, akaambiwa aseme kama ziko right or wrong, Pauli akasema "This is not even wrong" yaani arguments na constructs ziko so off base hata kuziita wrong itakuwa ni kuzi elevate.
Ndiyo Kikwete huyo, he is not even wrong, hata si mbabaishaji.
Kikwete ni bora liende, kama dege liko katika autopilot, halina pilot, rais hatuna.
Autopilot dege likiwa hewani unaweza hata usijue.
Tatizo huwezi kutua na autopilot, inabidi uwe na pilot.
I dread to think of how Kikwete will handle a crisis that require his immediate attention and calculations, hapo ndipo tutajua hatuna rais.