Kikwete: Kutokana na utoaji hafifu wa Elimu nchini, kuna hatari ya nusu ya ajira zilizopo kutoweka ifikapo mwaka 2050

Shida yao wampoteze mh rais Samia kwa kujifanya washauri kumbe Wana lao Jambo

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Rais mstaafu wa awamu ya nne Dk Jakaya Mrisho Kikwete ameonya tusipobadilika namna tunavyofundisha watoto wetu basi ajira zote zitatoweka ifikapo mwaka 2050.
Kuzeeka kuna mengi keshaanza kupoteza kumbukumbu

Kwa hiyo ikifika hiyo miaka serikalini na mahakamani tutaajiri wazungu kufanya kila kazi ya ajira iliyoko serikalini na kwenye mahakama zetu?
 
Ni kwamba tatizo la ajira litakuwa limekwisha..?
 
Najaribu kufikiri by 2050 zile boma za Masai zimejaa maroboti yanakamua maziwa na kuchunga ng'ombe.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo ikifika huo mwaka majeshi yetyu yote iwe polisi au JWTZ watakuwa wanaajiriwa wazungu wenye elimu bora?
 
Kwa hiyo mahakimu na majaji watakuwa ni hayo maroboti ,mapolisi watakuwa ni hayo maroboti,Leseni za biashara zitakuwa zinatolewa na hayo maroboti,madaktari na manesi watakuwa ni hayo maroboti,WAtoto mashuleni na vyuoni watafundishwa na hayo maroboti au?
 
Kumbe Mzee Kikwete ulishaanza kuminya ajira kitambo, je ulipanga kuwatumia kwa lipi walimu waliobakia
 
Kwa hiyo ikifika huo mwaka majeshi yetyu yote iwe polisi au JWTZ watakuwa wanaajiriwa wazungu wenye elimu bora?
Anamaanisha kwamba ifikapo 2050 baadhi ya ajira zitakuwa zinafanywa na mashine na marobot. Kwa mfano kiwanda kinachoajiri watu 200 kwa sasa kitakuwa kinaajiri watu 25 tuu yaani 175 wanaobaki watakuwa hawana kazi.
 
Anamaanisha kwamba ifikapo 2050 baadhi ya ajira zitakuwa zinafanywa na mashine na marobot. Kwa mfano kiwanda kinachoajiri watu 200 kwa sasa kitakuwa kinaajiri watu 25 tuu yaani 175 wanaobaki watakuwa hawana kazi.
Population itakuwaje mwaka huo? Population ikiongezeka ajira zinaongezeka pia haziwezi kushuka zaweza shuka eneo moja zikaongezeka eneo lingine mfano population ikiwa itaongezeka ajira za madaktari na manesi lazima ziongezeke,pia za walimu,Maaskari na watendaji wengine.Huwezi tu kusema tu kwa sababu kiwandani zitashuka haina maana sekta nyingine kuwa nako zitashuka

Kuongelea kushuka au kutoweka kwa ajira unatakiwa kuangalia vitu vingi kimojawapo ni population je itakuwaje kipindi hicho na itahitaji nini kutoka soko la ajira wa kuwahudumia?
 
Kwa hiyo wewe unataka Chadema wafanye nini? Yaani sula ni elimu ya Tanzania, wewe mwenzetu unaitaja Chadema. mmmmm! kazi tunayo.
 
2050 ni keshokutwa tu mkuu, Ajira ngumu za mikono zitaendelea kuwepo nyingi. Huu utabiri wa JK ni hewa au baada ya miaka 150 ambapo hatujui hata kama Tz itaendelea kuwepo jinsi ilivyo.
 
Sasa Chadema na madudu yanayofanywa na ccm na Serikali yao,wapi na wapi?Chadema inahusika vipi kila mradi ccm inachemka,hata kama Chadema wanacheka,na kufurahia,nyie ccm mna vyombo vya habari,watumishi wote wanafata amri Zenu,sasa mnashindwa Nini kupangua hoja,na kubadirisha "narative"?kama mnashindwa,basi ni waumbavu msio na weredi.
Jiwe alipotaka asikike,badala ya kupangua hoja kwa hoja,anafungia vyombo vingine,wanaomkosoa anaua!!!!
Kama midege yenu inafaida acheni uchumi uongee wenyewe,tatizo ni kwamba hakuna mnachojua,hamjui mnapotaka kwenda,njia hamuijuhi,lakini bado mnataka muendelee kushika usukani.
 
Hizo ni siasa tu! Hakuna uhalisia wowote kwa kile alichokizungumza mbele ya waandishi wa habari.

Kwa sababu, yeye pia aliwahi kuwa kiongozi serikalini kwa kushika nafasi mbalimbali na hata kuwa kiongozi wa nchi, yaani rais.

Kwa kipindi chote cha uongozi wake, alilifanyia nini taifa kwa upande wa sekta ya elimu? Jibu ni hakuna!

Kipindi cha uongozi wa Mrisho Khalufani Kikwete tumeshuhudia uozo mwingi mno kwenye sekta ya elimu.

Uozo huo uliambatana na upishi wa matokeo ya wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari yaani "Repression and Falsification of Pupils and Students Academic Results".

Hivyo kupelekea kuzorota kwa mfumo mzima wa elimu kwa kuzalisha wahitimu wasiokuwa na sifa za kuajiriwa au kujiajiri wenyewe kwa kutokukidhi matakwa ya soko la ajira.
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…