Kikwete kwanini hataki kujaza nafasi hizi? hakuna wanaofaa?

Kikwete kwanini hataki kujaza nafasi hizi? hakuna wanaofaa?

Na ideally alitakiwa kuwapa watu kumi anaoona wanafaa kuingia kwenye cabinet lakini hawana ubunge...hiyo ndio sababu ya kupewa nafasi hiyo lakini yeye anawapa maswahiba...sofia tu ndio yuko katika cabinet....

MMM by the way hivi Mama Anna Abdallah yuko bungeni kwa msingi gani?si aliingia kama mwenyekiti wa UWT ambao hana tena?
Ukishaingia Bungeni ni hadi uchaguzi unaofuata isipokuwa AG peke yake.
 
Mhe Rais ana mambo mengi kama mnavyoelewa lakini wasaidizi na washauri wake ndio wamezidi kabisa. rais anahitaji kupanga safu mpya kabisa toka wasaidizi wake wa karibu mpaka washauri. kumbuka sakata la kukabidhi ambulance.
 
Lakini kweli kuna ugumu wa kujaza nafasi hizi au ndiyo vetting process ni ndefu kiasi hiki?
Nani alikuambia kuna vetting tanzania?? ona hawa

  • Ngorongoro Conservation Area Authority - hata angefanya vetting form four leaver yule baba asingepata
  • TTB - nothing to say
  • TIC - check one two
  • MSD - sasa wanaipunguzia majukumu due to bunch of failures
  • Tanesco - what the hell?
  • Wakuu wa mikoa (may be 15% ONLY wanasuffice)
  • Wakuu wa wilaya - huko ni sodoma
  • Ministers - mention only three quality ministers
I think wanafanya Venting na sio vetting
 
you guys and your country, I always tell pipo of this tz kwamba, ili tubadilike tunahitaji dictator pale jimbo la ikulu angalau hata kwa miaka miwili. asafishe uozo aliouanzisha mwinyi, wakaumwagilia na kuutunza mkapa na JK.

Tunahitaji mtu wa kutupeleka mchaka mchaka, ili tubadilike. kwa style hii ya U-vasco Dagama, kuchekea chekea watu hovyo hovyo, viongozi bogus wa vyama kama akina makamba, chiligati...., less that 10% ya mawaziri ndiyo wanaostahili kuwa mawaziri..............!!!!!!development and change in TZ is like chasing Kambarage's figments of immagination.
 
you guys and your country, I always tell pipo of this tz kwamba, ili tubadilike tunahitaji dictator pale jimbo la ikulu angalau hata kwa miaka miwili. asafishe uozo aliouanzisha mwinyi, wakaumwagilia na kuutunza mkapa na JK.

Tunahitaji mtu wa kutupeleka mchaka mchaka, ili tubadilike. kwa style hii ya U-vasco Dagama, kuchekea chekea watu hovyo hovyo, viongozi bogus wa vyama kama akina makamba, chiligati...., less that 10% ya mawaziri ndiyo wanaostahili kuwa mawaziri..............!!!!!!development and change in TZ is like chasing Kambarage's figments of immagination.

Mkuu yote haya ni mazao ya nyerere, ali-deresponsibilitize wote akabaki mwenyewe (aliwashikia watu mawazo)

watanzania ni wavivu, walalamishi na hawapendi kuambiwa ukweli... for us to change hatuhitaji dictator, tunahitaji change ya mindset na mara nyingi inatoka kwa radicals

JK HAS FAILED US MISERABLY BECUASE WE ALLOWED HIM TO DO SO... WE ARE TO BLAME!!
 
Mkuu yote haya ni mazao ya nyerere, ali-deresponsibilitize wote akabaki mwenyewe (aliwashikia watu mawazo)

watanzania ni wavivu, walalamishi na hawapendi kuambiwa ukweli... for us to change hatuhitaji dictator, tunahitaji change ya mindset na mara nyingi inatoka kwa radicals

JK HAS FAILED US MISERABLY BECUASE WE ALLOWED HIM TO DO SO... WE ARE TO BLAME!!
Nyerere hata baada ya robo karne tangu aondoke madarakani? Hivi woote tulifanya kazi na Mwalimu?
 
Your rightly so...but for what purpose?
Wengine ni washauri wake wa karibu kama Kingunge, wengine ni wasaidizi wake kama SS, Mohamed Aboud, Makamba, Meghji, wengine baba zao ni rafiki na watu waliomsaidia kuukwaa Urais kama Mwang'onda.
Yule mama Albino ni kwa huruma tu. Wamekufa Albino wengi......
Bunge letu lilipo mtengea nafasi hizi halikumwambia ni kwa ajili gani!
 
Anasubiri term yake ya pili ndio azijaze.Wenyewe wanadai akiba haiozi.Anasubiri wapatikane watakaomuunga mkono kwenye term yake ya pili ndio aanze kutoa shukrani..Zitajazwa tu mwaka huu au mwakani.
 
Wengine ni washauri wake wa karibu kama Kingunge, wengine ni wasaidizi wake kama SS, Mohamed Aboud, Makamba, Meghji, wengine baba zao ni rafiki na watu waliomsaidia kuukwaa Urais kama Mwang'onda.
Yule mama Albino ni kwa huruma tu. Wamekufa Albino wengi......
Bunge letu lilipo mtengea nafasi hizi halikumwambia ni ajili gani!

Asante kwa ufahamu ila
1.Hao washauri lazima wawe bungeni?hawawezi kumshauri nje ya bunge?
2.Wasaidizi pia?bungeni si wanawakilishwa wananchi
3.Mimi nilidhani dhana sawia ni kumuwezesha rais kupata mawaziri makini pale ambapo atashindwa kuwapata kutoka kwa elected MPs kwa vile huwezi kuwa waziri pasi kuwa mbunge
 

Nafasi hizi hazitakiwi kuchezewa na kuzimaliza. Ukihitaji waziri mwenye sifa zisizopatikana Bungeni ndo unateua mtu ili akusaidie. Ila sasa hivi zimekuwa kama shukrani kwa ma-wifi na mashoga zake.

Tatizo kubwa kwangu ni mtindo wa kuwaongezea muda wa kukaa ofisini wakurugenzi, makatibu, nk. Tena wanaachiwa madaraka yao. Hii tabia chafu saaana!

Nasikia hata Katibu mkuu kiongozi naye yuko ktk muda kama huo. Mtu anaongezewa muda wa utumishi pamoja na wadhifa wake. Wana nini hawa mpaka wafie ofisini? Au ndo wanafanikisha siri zisitoke nje?
 
Asante kwa ufahamu ila
1.Hao washauri lazima wawe bungeni?hawawezi kumshauri nje ya bunge?
2.Wasaidizi pia?bungeni si wanawakilishwa wananchi
3.Mimi nilidhani dhana sawia ni kumuwezesha rais kupata mawaziri makini pale ambapo atashindwa kuwapata kutoka kwa elected MPs kwa vile huwezi kuwa waziri pasi kuwa mbunge
Angalia pia mishahara/maslahi, mafao, marupurupu, posho wanazopata Wabunge wetu. Ni lazima uwaweke mle wanaokusaidia/kushauri ili nao waambulie, akili zikae sawa, ili wakusaidie vizuri.
 
Unajua tatizo moja la kupenda kuzungusha watendaji (recycling) ni kuwa unaweza ukafika mahali ukakuta hauna watu wa kuwazungusha tena. Sasa inabidi utegee tu. Kuna katabia ambako kamekubalika kuwa nafasi fulani za juu bado ni za kundi fulani la watu na hivyo ni hao hao watazungushwa kiasi kwamba wale makada wa ngazi ya kati ni vigumu kwela kupasua paa hilo la nafasi za juu.

Matokeo yake Mkurugenzi wa taasisi moja kubwa anahamishwa na kuwa Mkurugenzi wa taasisi nyingine na vivyo hivyo hadi inafika mahali wanapofika wakati wa kustaafu hatuko tayari wastaafu kwa sababu hatuna watu wengine wa kuingia katika nafasi hizo. Matokeo yake waliostaafu wanaoengezewa muda zaidi si kwa sababu wanahitajika sana la hasha; kwa sababu "hakuna" watu wa kuchukua nafasi zao.

Lakini hili pia linaelezea matokeo ya tatizo jingine ambalo naweza kusema ni sehemu ya "gharama ya ufisadi". Unapokuwa na mfumo wa kiutawala wa ufisadi (MUK) waliomafisadi na makuwadi wao ni wengi sana kwenye system kiasi kwamba ikitokea nafasi nyeti ya kujaza ni vigumu mno kwa sababu wale wote ambao unafikiria wajaze nafasi hizo tayari wana harufu ya ufisadi fisadi.

Pia ni dalili ya mfumo mbaya ambapo hata wakurugenzi wa makampuni ambayo hayahusiani na utendaji wa serikali moja kwa moja wanateuliwa na Rais! Kwanini mtendaji wa Shirika la Bima ateuliwa na Rais? Kwanini mtendaji wa Shirika la Tanesco ateuliwe na Rais? Vipi mtendaji wa ATCL ateuliwe na Rais na wakati huo huo Rais anatakiwa ateue Mkuu wa Usalama wa Taifa n.k ?

Kama wabunge wetu wangeamua kufikiri kidogo wangeondoa mzigo huu wa uteuzi kwenye makampuni yafanyayo biashara ili wakurugenzi wake waingie kwa kushindanishwa (kuomba) na kuteuliwa na Bodi ya Wakurugenzi ambayo nayo iundwe na wadau siyo na wanasiasa.

Matokeo yake Mtawala anaamua Kusettle; yaani kuteua mtu yule ambaye aidha ni fisadi "mdebe mdebe" (mdogo) au fisadi asiyejulikana sana. Na hili linaweza kuelezea kwanini hadi leohii Rais Kikwete anapata shida ya kuachia watu wastaafu na kuteu watendaji wengine.

Hebu angalia taarifa hii kutoka katoto ka "nzi"...

Kwenye hiyo list ya "nzi" zimesahaulika nafasi mbili ambazo zipo "pending":

  1. National Housing Corporation (NHC) - ina very able person deputizing but the word is that some bigshot in CCM wants his person to be there.
  2. Tanzania Postal Bank (TPB) - mwanakijiji nzi wako amasahau hata hii?! Anyway, maybe its because DG is on a consultant basis he is there after supposedly retiring some time back.
 
The Problem is not JK. The guy, by virtue of his position, lives in a bubble. He knows what he is told. So when it comes to vetting, leaving aside his political debts to the Asian heavyweights and his own political gratitude to CCM cronies, personal friends, "mashoriii", lobbyists have serious impact on the choices he makes when it comes to human resources. It is a fact that some ministers and his unofficial privy council and the senior civil service does most of the selection for him.

Think of it this way, if I were to ask you to choose between red, green and yellow, which would you pick? The answer is immaterial, the point is: what about blue and black and gold etc? When you think you have a choice, and you don't consider out prescribed candidates, you will pick someone that some people put infront of you. Its like airline food.

However it is true that patronage on JK's part has been a major set-back. Take for instance the Board of External Trade, kampa mchizi wake, jamaa mswahili mwenzangu ameharibu kweli kweli. Sasa vitu kama hivi vina affect sana utendaji, hawa kina Ngeleja wote ndio hadithi hiyo hiyo.

A machiavellian view of course would have it that this is political necessity to remain unchallenged within CCM. It is why it is done. It makes political sense that if your potential opponents are well fed, they wont take a bite at you unless they have an excess of ambitions. A wise leader would take action to make constitutional changes to make this kind of patronage difficult without acting in concert with the legislature. The US for example requires Congressional approval for all major appointments and although the President must have allies in Congress, it is inevitable that he will have opponents, who will speak out against any bad choice and either directly or indirectly (through public pressure via media etc) make it hard for him to choose unsuitable people. The system is not perfect but it is how democracy works. This is what Tanzania needs, constitutional evolution to strengthen democracy and make it impossible for anyone to take control of the State in a manner that is unconstitutional.

On the bright side, Uganda is exponentially worse than Tz, so although we could be better, we could ultimately be worse too. And it is rather amusing, once the Uganda oli wealth kicks in, their GDP will be much more than ours. Another Nigeria in the making.

So JK is to blame but he is also the subject of major lobbying and can not always ignore the suggestions because for one, he is not in a position to do the vetting himself. So the conclusion is that vested interests always come up on top, unless you have a president with busara na hekima zaajabu, perhaps on a saintly level (considering Nyerere kuchagua jamaa zake kina warioba et al. and that he is on his wa y to sainthood, maybe Jesus/God himself is the one that can do better..lol).

Kinyambiss for President 2020, I will fix all these things.
 
Mzee Mwanakijiji,

Kuna Power Struggle Tanzania ambayo imeota mizizi kotoka vyama vya kisiasa, kuelekea Serikalini na mpaka kwenye Taasisi.

Badala ya kuwa na Utamaduni wa kuchagua watu on merit basis, tunachagua watu kutumia loyalty and pleasing!

Utawala wa Jakaya unajali zaidi uanamtandao na sio uwezo!! Mkapa na mapungufu yake yote aliweza kuteua watu wengi on the basis of MERIT na sio PATRONAGE kama afanyavyo Kikwete; ndio maana nchi inamshinda kuiongoza anabakia kusafiri safiri nje ya nchi akiamini kuwa matatizo yatajitafutia ufumbuzi wake yenyewe [WATER WILL FIND ITS OWN LEVEL] !!!!
 
Wapi wabunge katika kulipigia kelele hili walau kuongeza ufanisi katika taasisi za umma kwa kuwa na board na menejiment zilizotokana kwa ushindani wa wazi??

Mwanakijiji hushangai jinsi wabunge wanavyogombania nafasi za ujumbe wa bodi ya mashirika ya Umma????? ni upuuzi bunge liwe linaisimamia serikali na bado wabunge kuwa wajumbe wa bodi za mashirikaa ya serikalii????

Ni watu wa mambo mepesi mepesi kwani yananufaishaa wengi au wachache?
 
Mkuu yote haya ni mazao ya nyerere, ali-deresponsibilitize wote akabaki mwenyewe (aliwashikia watu mawazo)

watanzania ni wavivu, walalamishi na hawapendi kuambiwa ukweli... for us to change hatuhitaji dictator, tunahitaji change ya mindset na mara nyingi inatoka kwa radicals

JK HAS FAILED US MISERABLY BECUASE WE ALLOWED HIM TO DO SO... WE ARE TO BLAME!!

You are right mkuu, radicals- do you know that when a radical cames in power most of his decisions and way of thinking is based on dictatorship?
 
Back
Top Bottom